tuusan hili ni jengo la pili ndefu kuzinduliwa Nairobi ndani ya wiki moja na rais Uhuru Kenyatta. Hili lina 19 floors na ile ya last week ilikuwa na 27 floors. Halafu bado kuna watu wanaosema uchumi wa Kenya ni wa makaratasi.
View attachment 2253952View attachment 2253954
Sure, pesa nyingi hapa Africa zinaishia serikalini, serikali za Africa hazina uwezo lakini wao wanajilipa pesa nyingi zisizo na uhalisia kabisa. Unakuta mtu serikalini analipwa milioni 15 kwa mwezi kisa tu ni mkurugenzi na bado kuna allowance kibao na hapo Magufuli ndio alipunguza. Ukipiga hesabu haiingii kabisa akilini kwa nchi zetu hizi za kimaskini ambapo mpk leo mitaani huku maandazi bado yanauzwa sh 100.Inchi ni maskini kwa sababu ya wafanyakazi wa serikali!!
Wanajificha wakiona polisiMko na idadi kamili ya hao watz huko kwenu
Watanzania, ugadans na Burundians ni shamba boys huku Kenya. Wanazungusha mandazi kwa kahawa wakiuzia watchmen kwa gate huku wengine wakiomba omba kwa barabaraMtanzania aje kufanya nini huko kwenye uchumi unaoendeshwa kwa ukahaba? Nairobi CBD yote ni office ya machangudoa na malaya wanajiuza 24/7
Kama sio Tanzania yenye real economy kunyaland ni takataka by now!
View attachment 2253853
Bila kisahau ni majizi ingawa yanakula karibu 60% ya makusanyoSure, pesa nyingi hapa Africa zinaishia serikalini, serikali za Africa hazina uwezo lakini wao wanajilipa pesa nyingi zisizo na uhalisia kabisa. Unakuta mtu serikalini analipwa milioni 15 kwa mwezi kisa tu ni mkurugenzi na bado kuna allowance kibao na hapo Magufuli ndio alipunguza. Ukipiga hesabu haiingii kabisa akilini kwa nchi zetu hizi za kimaskini ambapo mpk leo mitaani huku maandazi bado yanauzwa sh 100.
Mjihadhari vinywa vyenuNchi ilikuwa ime stack ,kila sehemu madeni yamejaa,miradi inasua sua hakuna pesa, uchumi umesorora na upuuzi mwingine..
Kazi kubwa ya yule bwana ilikuwa ni kupambana na wakosoaji,kufanya maigizo ya kipuuzi na kutafuta sifa za kijinga huku Hali ikizidi kuwa mbaya ...
Tunamshukuru Sana Mungu kwa kutuondolea like balaa maana tungekuwa kama Zimbabwe,sasa Nchi iko kwenye msotafi na tunayembea kifua mbele.
Devidends kama hizi Mwendazake kwa kupenda sifa za kijinga na kukosa Kazi angeitisha kikao Ikulu eti anapokea gawio
![]()
Unajua hata maana ya Shamba boy au kila neno kutoka Tanzania mnafikiri ni applicable kunyaland? 😅😅😅Watanzania, ugadans na Burundians ni shamba boys huku Kenya. Wanazungusha mandazi kwa kahawa wakiuzia watchmen kwa gate huku wengine wakiomba omba kwa barabara
Aibu gani? Kwenye namba si ndio Sukuma gang mtaaibika? Nakupa mfano mdogo nenda wizara yeyote angalia bajeti ya 2020/2021,2021/2022 na 2022/2023..Anza na Wizara ya Nishati kwa ndugu yako Simon.Unajitia aibu tu...numbers always dont lie
Asubiri miaka 2 mbeleUganda is a middle-income country, says Museveni
TUESDAY JUNE 07 2022
![]()
President Yoweri Museveni addresses parliamentarians during the annual State of the Nation Address (SoNA) 2022 at Kololo Independence Grounds in Kampala on June 7, 2022. PHOTO | PARLIAMENTARY PRESS
Summary
- Museveni expresses confidence that Uganda would maintain its spot above the middle-income status GDP per capita minimum of about $1,030.
![]()
By David Vosh Ajuna
More by this Author
![]()
By NELSON NATURINDA
More by this Author
Uganda has reached the middle-income status despite an onslaught of crises in the past three years, President Yoweri Museveni said on Tuesday.
According to official data, the nation’s economy stood at about $45.7 billion by the exchange rate method or $131 billion by the purchasing power parity (PPP) system, one week to the
“This means that the GDP per capita is $1046. We have now passed that figure of middle-income status ($1,030),” Mr Museveni observed as he delivered the annual State of the Nation Address in Kampala.
Speaking in-person to mainly ruling NRM party legislators, Mr Museveni on June 7 expressed confidence that Uganda would maintain its spot above the middle-income status GDP per capita minimum of about $1,030.
“You need to sustain this for two to three consecutive years to be declared a middle-income country,” he echoed.
Food
On the soaring commodity prices, Mr Museveni said he was engaging global actors such as Russia’s President Vladimir Putin, using diplomacy, to urge him to solve the problems they created. The war in Ukraine following the February 14 Russian invasion has triggered shocks in the global supply chains.
On subsidies to rescue the economy, the President said the government cannot direct money into consumption instead of building infrastructure for development.
“I’m used to problems. When people are panicking, I am never bothered because I have handled bigger problems. But the most serious problem I don’t want is lack of food,” the president said.
He said the government would focus on production, saying his administration is working with the private sector to produce solar-powered water pumps that the rich farmers can buy and engage in mini irrigation.
On Tuesday, the 77-year-old leader of a country with millions of unemployed citizens further urged amplified agricultural production to suit global demands.
“Our strategy is that everything agricultural that is not consumed instantly should be processed industrially, so it's preserved to be able to reach distant markets,” he noted.
Over 100 opposition MPs Tuesday boycotted the constitutional occasion at Kololo, accusing the president of “interfering with the country’s judiciary” and “failing to solve” a raging economic meltdown.
![]()
Uganda is a middle-income country, says Museveni
Mr Museveni expressed confidence that Uganda would maintain its spot above the middle-income status.www.theeastafrican.co.ke
MY TAKE
Congrats to Uganda!
Asubiri miaka 2 mbeleUganda is a middle-income country, says Museveni
TUESDAY JUNE 07 2022
![]()
President Yoweri Museveni addresses parliamentarians during the annual State of the Nation Address (SoNA) 2022 at Kololo Independence Grounds in Kampala on June 7, 2022. PHOTO | PARLIAMENTARY PRESS
Summary
- Museveni expresses confidence that Uganda would maintain its spot above the middle-income status GDP per capita minimum of about $1,030.
![]()
By David Vosh Ajuna
More by this Author
![]()
By NELSON NATURINDA
More by this Author
Uganda has reached the middle-income status despite an onslaught of crises in the past three years, President Yoweri Museveni said on Tuesday.
According to official data, the nation’s economy stood at about $45.7 billion by the exchange rate method or $131 billion by the purchasing power parity (PPP) system, one week to the
“This means that the GDP per capita is $1046. We have now passed that figure of middle-income status ($1,030),” Mr Museveni observed as he delivered the annual State of the Nation Address in Kampala.
Speaking in-person to mainly ruling NRM party legislators, Mr Museveni on June 7 expressed confidence that Uganda would maintain its spot above the middle-income status GDP per capita minimum of about $1,030.
“You need to sustain this for two to three consecutive years to be declared a middle-income country,” he echoed.
Food
On the soaring commodity prices, Mr Museveni said he was engaging global actors such as Russia’s President Vladimir Putin, using diplomacy, to urge him to solve the problems they created. The war in Ukraine following the February 14 Russian invasion has triggered shocks in the global supply chains.
On subsidies to rescue the economy, the President said the government cannot direct money into consumption instead of building infrastructure for development.
“I’m used to problems. When people are panicking, I am never bothered because I have handled bigger problems. But the most serious problem I don’t want is lack of food,” the president said.
He said the government would focus on production, saying his administration is working with the private sector to produce solar-powered water pumps that the rich farmers can buy and engage in mini irrigation.
On Tuesday, the 77-year-old leader of a country with millions of unemployed citizens further urged amplified agricultural production to suit global demands.
“Our strategy is that everything agricultural that is not consumed instantly should be processed industrially, so it's preserved to be able to reach distant markets,” he noted.
Over 100 opposition MPs Tuesday boycotted the constitutional occasion at Kololo, accusing the president of “interfering with the country’s judiciary” and “failing to solve” a raging economic meltdown.
![]()
Uganda is a middle-income country, says Museveni
Mr Museveni expressed confidence that Uganda would maintain its spot above the middle-income status.www.theeastafrican.co.ke
MY TAKE
Congrats to Uganda!
With the oil investments current Uganda receives, they will be able to maintain the level!Asubiri miaka 2 mbele
Hahaha sasa umetupongeza au umetutukana? Lakini asante kwa pongezi.Jengo linasura mbaya kwa kweli.....
Lkn hongereni
I agree with you on that.With the oil investments current Uganda receives, they will be able to maintain the level!
Nacheka huku nasikitika maana hawaelewagi ataLuxury buses zs Tanzania na za kenya ni mbingu na chooni 😅😅😅
View attachment 2253987View attachment 2253988
Sababu ya kichawi hiiInchi ni maskini kwa sababu ya wafanyakazi wa serikali!!