Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona hakurudisha nyumba za serikali alizojigawia yeye na wana CCM wenzie Oysterbay? Bilicanas na Much more zipo tangu 1990s na kabla ya hapo Mbowe hotel chini ya Marehemu babake Freeman ila kuja kuvunjwa kwa madai ya kujigawia 2015? Kaka hebu kuwa fair kidogo! Mbaya zaidi Ngosha huyuhuyu mwenye roho ya kwanini alijaribu ku-replicate alichoharibu Kaskazini Chato akashindwa! Hasidi haina hiyana!
Mkuu, Nyumba za serikali ziliuzwa kwa idhini ya bunge la Tanzania kuridhia ziuzwe, fuatilia haya Mambo kwa undani.

Kuhusu hiyo Billicanas, ni kweli kwamba ilikuwepo tangu 1990s, ndio kipindi hicho cha Mwinyi ambacho watu matajiri akiwemo baba yake Mbowe walijimilikisha Nyumba za serikali, mkuu mbona huzungumzii Nyumba zingine nyingi ambazo zilirudishwa pamoja na Billicanas, Kuna watu wengi tu walijimilikisha hizo Nyumba toka miaka hiyo ya 1990s na zilirudishwa, kwanini unamtetea Mbowe peke yake?, Kwani kosa linachakaa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, Nyumba za serikali ziliuzwa kwa idhini ya bunge la Tanzania kuridhia ziuzwe, fuatilia haya Mambo kwa undani.

Kuhusu hiyo Billicanas, ni kweli kwamba ilikuwepo tangu 1990s, ndio kipindi hicho cha Mwinyi ambacho watu matajiri akiwemo baba yake Mbowe walijimilikisha Nyumba za serikali, mkuu mbona huzingimzii Nyumba zingine nyingi ambazo zilirudishwa pamoja na Billicanas, Kuna watu wengi tu walijimilikisha hizo Nyumba toka miaka hiyo ya 1990s na zilirudishwa, kwanini unamtetea Mbowe peke yake?, Kwani kosa linachakaa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbowe hotel predecessor wa Club Billicanas ilikuwepo tangu 1973!

Kuna hii pia! Jamaa alikuwa anandaa mazingira ya kubaki madarakani milele!
 
Top 5 beautiful cities in Africa. Slum city nowhere to be seen

Screenshot_20220608-001057_Opera.jpg
 
Mkuu, mbona watu wakiwemo wapinzani ndio ambao walipokua wakikamatwa na polisi na kuwekwa ndani, walitaka wapelekwe mahakamani haraka?, Lissu alikua na kesi mahakamani zaidi ya 9, Kati ya hizo, 5 alishinda, kwa wapinzani wakishinda kesi, utasikia mahakama imetenda haki, ila serikali ikishinda kesi, utasikia ni mahakama za CCM/Magufuli.

Kama kweli alifanyiwa vitendo vya dhuluma, alipaswa kufungua kesi mahakamani, Kama aliamua kukaa kimya, Hilo ni tatizo lake, lakini ni wazi kwamba alijua hawezi kushinda kwasababu hana haki.

Kwahiyo mahakama zikiwafunga Sabaya na wenzaje, hapo zinatenda haki, ila zikiwafungia Fatuma Karume, Lissu na viongozi wa Upinzani, zinageuka kuwa za CCM

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbowe alishinda kesi ya kuharibiwa mashamba yake DC akaagizwa na mahakama amlipe mbowe 300m. DC akawa anataka na mwanasheria mkuu wa serikali nae aingizwe kwenye kesi ili serikali ndio ilipe lakini sijui kesi imeishia wapi sasa hivi.
 
Mkuu, Nyumba za serikali ziliuzwa kwa idhini ya bunge la Tanzania kuridhia ziuzwe, fuatilia haya Mambo kwa undani.

Kuhusu hiyo Billicanas, ni kweli kwamba ilikuwepo tangu 1990s, ndio kipindi hicho cha Mwinyi ambacho watu matajiri akiwemo baba yake Mbowe walijimilikisha Nyumba za serikali, mkuu mbona huzingimzii Nyumba zingine nyingi ambazo zilirudishwa pamoja na Billicanas, Kuna watu wengi tu walijimilikisha hizo Nyumba toka miaka hiyo ya 1990s na zilirudishwa, kwanini unamtetea Mbowe peke yake?, Kwani kosa linachakaa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mzee nachojaribu kusema hapa roho ya kimaskini ni ya kichawi!

Leo hii tunashangilia success ya TAHA kusafirisha maparachichi ila chimbuko lake hatujui ni mashamba ya horticulture kama ya Kilimanjaro veggies yaliyotapakaa Kilimanjaro na Arusha!

Ndio maana nasema JPM alikuwa way controversial ! Natamani kiandikwe kitabu juu yake kikimulika matendo yake kiunagaubaga!
 
Mbowe hotel predecessor wa Club Billicanas ilikuwepo tangu 1973!

Kuna hii pia! Jamaa alikuwa anandaa mazingira ya kubaki madarakani milele!
Mkuu, hili la Billicanas lilipitia mahakamani na Mbowe alupoteza hiyo kesi, Mbowe alikata rufaa na bado akapoteza hiyo kesi, tunapaswa kufuata Sheria na taratibu za Nchi zilizopo pamoja na kuheshimu maamuzi ya mahakama

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, hili la Billicanas lilipitia mahakamani na Mbowe alupoteza hiyo kesi, Mbowe alikata rufaa na bado akapoteza hiyo kesi, tunapaswa kufuata Sheria na taratibu za Nchi zilizopo pamoja na kuheshimu maamuzi ya mahakama

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha unafiki mahakama kipindi cha JPM hazikuwa free! Unajua judge wa kesi yake alituzwa nn baada ya hii hukumu? Hebu chunguza! BTW tusibishane sana Ila JPM hakuwa kama mnavyolazimisha tuamini!
 
Mzee nachojaribu kusema hapa roho ya kimaskini ni ya kichawi!

Leo hii tunashangilia success ya TAHA kusafirisha maparachichi ila chimbuko lake hatujui ni mashamba ya horticulture kama ya Kilimanjaro veggies yaliyotapakaa Kilimanjaro na Arusha!

Ndio maana nasema JPM alikuwa way controversial ! Natamani kiandikwe kitabu juu yake kikimulika matendo yake kiunagaubaga!
Ninakubaliana na wewe kwamba "he was very controversial", lakini mazuri yake ni mengi Sana kuzidi mabaya yake. Kabla ya Magufuli nchi ilikua imeoza kwa rushwa, ubadhilifu na upuuzi wa kila aina, CCM ilikua inakaribia kusambaratika, watumishi serikalini walikua wanafanya kazi wapendavyo, masikini hawakuwa na haki, watu walinyang'anywa mashamba Yao na matajiri wakishirikiana na viongozi wa serikali, Magufuli alifanya kazi kubwa Sana kurekebisha hayo makosa yaliyofanyika kwa muda mrefu.

Hiyo TAHA unavyosema, imeanza kupata nguvu katika kipindi cha utawala wa Magufuli, ni Magufuli ndiye aliyeagiza Ununuzi wa ndege maalumu ya mizigo ili kupunguza utegemezi wa wakulima wa maua ktk mikoa ya kaskazini (ambao unasema anawatenga)kwa Nairobi, ili maua Yao yasiharibike kwa kutegemea Nairobi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wacha unafiki mahakama kipindi cha JPM hazikuwa free! Unajua judge wa kesi yake alituzwa nn baada ya hii hukumu? Hebu chunguza! BTW tusibishane sana Ila JPM hakuwa kama mnavyolazimisha tuamini!
Ni kweli hakuwa Kama tunavyolazimisha, lakini pia hakuwa Kama ninyi mnavyolazimisha, alikua na mabaya yake mengi tu, lakini sio Kama mnavyojaribu kumchafua.

Ninalolisema kwa Magufuli, pia ninalisema kwa Samia, Mambo mengi anayosemwa ni kujaribu kumchafua. Mkuu Magufuli alikua na matatizo ninakubali, lakini mengi unayoyasema unamsingizia

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ninakubaliana na wewe kwamba "he was very controversial", lakini mazuri yake ni mengi Sana kuzidi mabaya yake. Kabla ya Magufuli nchi ilikua imeoza kwa rushwa, ubadhilifu na upuuzi wa kila aina, CCM ilikua inakaribia kusambaratika, watumishi serikalini walikua wanafanya kazi wapendavyo, masikini hawakuwa na haki, watu walinyang'anywa mashamba Yao na matajiri wakishirikiana na viongozi wa serikali, Magufuli alifanya kazi kubwa Sana kurekebisha hayo makosa yalitofanyika kwa muda mrefu.

Hiyo TAHA unavyosema, imeanza kupata nguvu katika kipindi cha utawala wa Magufuli, ni Magufuli ndiye aliyeagiza Ununuzi wa ndege maalumu ya mizigo ili kupunguza utegemezi wa wakulima wa maua ktk mikoa ya kaskazini (ambao unasema anawatenga)kwa Nairobi, ili maua Yao yasiharibike kwa kutegemea Nairobi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha wee ati imepata nguvu kipindi cha JPM labda TAHA ya Chato! BTW cargo plane imeagizwa budget 2021-2022 after JPM is dead! Hivi unajua TAHA walishawahi kukodisha cargo plane kabla 2009?

 
Wacha wee ati imepata nguvu kipindi cha JPM labda TAHA ya Chato! BTW cargo plane imeagizwa budget 2021-2022 after JPM is dead! Hivi unajua TAHA walishawahi kukodisha cargo plane kabla?
Hiyo mipango ya kuagiza hiyo ndege pamoja na budget alishaagiza Magufuli, kinachofanyika ni kutekeleza Maono na maagizo yake, kuwa mkweli, ni kipindi kipi TAHA ndio imeanza kupata nguvu? Kikwete, Magufuli au Samia?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli hakuwa Kama tunavyolazinisha, lakini pia hakuwa Kama ninyi mnavyolazimisha, alikua na mabaya yake mengi tu, lakini sio Kama mnavyojaribu kumchafua.

Ninalolisema kwa Magufuli, pia ninalisema kwa Samia, Mambo mengi anayosemwa ni kujaribu kumchafua. Mkuu Magufuli alikua na matatizo ninakubali, lakini mengi unayoyasema unamsingizia

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Baki na unachoamini! Si mahakama si Bunge havikuwa independent!
 
Hiyo mipango ya kuagiza hiyo ndege pamoja na budget alishaagiza Magufuli, kinachofanyika ni kutekeleza Maono na maagizo yake, kuwa mkweli, no kipindi kipi TAHA ndio imeanza kupata nguvu? Kikwete, Magufuli au Samia?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kipindi anakufa JPM bajeti ilikuwa haijapitishwa JPM alikuwa anatembelea ahadi! Sasa endelea kubisha kama Wakenya!
 
Kipindi anakufa JPM bajeti ilikuwa haijapitishwa JPM alikuwa anatembelea ahadi! Sasa endelea kubisha kama Wakenya!
Kumbe all along wakenya wakisema magufuli was a dictator ulikua unakubali kimoyoni, sasa nani hapo ndio mbishi mkenya ama mtz, that guy was bad news, see trade between the two countries flourishing
 
Back
Top Bottom