Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

evidence? Bring evidence It is U/C! As far as i know Thika Highway has beeen there since Kibaki era!
We sijui una matatizo gani..unasema hio ring road yenu will be the longest dual carriageway in East Africa, ukielezwa thika rd+kenol-sagana inamake over 140km continuous dual carriageway unasema thika road is not under construction. Hebu tuelezee unamaanisha nini kwa kusema 'longest dual carriageway in East Africa'
 
Devolution is overworking
FB_IMG_16545356550048051.jpeg

FB_IMG_16545358454455387.jpeg

FB_IMG_16545356627697893.jpeg

FB_IMG_16545359245143447.jpeg
 
A very good morning to you ladies and gentlemen, this is how a little Nairobi look like from above, fyi after every single rich person's house in little Nairobi there are more than 1000 poorest people's houses aside, evidence are there to witness the truth View attachment 2252813
Wakija wenyewe watakuambua hizo nyumba za mabati sasa hivi hazipo hiyo ni ya zamani!
 
Wanatuambia big Economy in GDP lakin wananchi wanakufa njaa kila mwaka hiyo GDP inawasaidia nn nibure kabisa
 
Let me help you. Africa has FOUR tech hubs and these are Nigeria, Egypt, South Africa and Kenya. If you know any other list that does not mention any of these four countries share it here tuone
Remittance anachanganya na technology, haya niambie nyie mmegundua nn mpk muwe hapo mana bora kdg Nigeria wanaweza wakaongea
 
We sijui una matatizo gani..unasema hio ring road yenu will be the longest dual carriageway in East Africa, ukielezwa thika rd+kenol-sagana inamake over 140km continuous dual carriageway unasema thika road is not under construction. Hebu tuelezee unamaanisha nini kwa kusema 'longest dual carriageway in East Africa'
That's a ring road in Dodoma, not a dual carriage way. Huu upuzi wa kuwadanganya wakenya akadanganye watanzania wenzake
 
Good morning ka Nairobi, hiyo apo unayoiona ndiyo wanaiita prism tower, ukute imepigwa kwa juu kiupande upande unaweza kusema kweli iko vzr ila ground sasa View attachment 2252812
Tazama hapo sasa hivi.., fanya youtube iwe rafiki yako kilaza., mbona unahangaika., Prism iko upper hill kilaza, sio westlands., 😂 😂 😂
 
Hapana Tony, haya Mambo yanahusiana kwa karibu na kwa ujumla ni kitu kimoja. Wakenya mnahisi ninyi mpo sahihi kwa Kila jambo, katika kusema na kutenda.

Kawaida mtu yeyote anayejiona kwamba wakati wote yeye yupo sahihi, basi hataki kuona watu wengine wanaofanya tofauti na vile anavyopenda au anavyotaka yeye.

Kenya Kama nchi au Kama wakenya mnalo Hilo tatizo Sana, na ndio sababu Kenya inakwaruzana na majirani wake wote, mara utasikia Kenya na Uganda wanagombania Mambo ya maziwa ya lato, mara sukari, mara ushuru wa magari, ukija Kenya na Tanzania ndio kabisaa migogoro haikatiki.

Tanzania tukichoma vifaranga ni makosa, lakini Kenya mkizuia mahindi yetu kwa kisingizio cha "aflotoxin" hiyo ni sawa.

Anachokifanya "Nairobiwalker" hapa kukuchagulia nini la kusema, ndicho mlichomfanyia Geza Ulole huko Skyscraper city mwisho alizuiliwa na mkampiga ban. Jambo la kushangaza, wewe unasifia kwamba Geza ni miongoni mwa watanzania hapa JF ambaye yupo independent, lakini huko Skyscraper city, hiyo indepence yake hamuhitaki



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kumbe wewe ni idiot pia, your reasoning is ever myopic, driven by blind patriotism, very subjective and biased, mbona wengi wenu watanzania mko hovyo hivi? though kuna wale hovyo zaidi(i.e.007)😂😂😂..,
 
Back
Top Bottom