Mbona hueleweki kijana wa Tandale? Ushatoa ushahidi kwama Ethiopia haipo East Africa?Remittance anachanganya na technology, haya niambie nyie mmegundua nn mpk muwe hapo mana bora kdg Nigeria wanaweza wakaongea![]()
Watanzania hupenda ubishi za kijinga sanaThat's a ring road in Dodoma, not a dual carriage way. Huu upuzi wa kuwadanganya wakenya akadanganye watanzania wenzake
Huyo ni mjinga tu. To begin with, that's not even Prism Tower. That's One Africa Place in Westlands. Prism Tower ipo Upperhill. Secondly, that picture was taken when that road was under construction sasa sijui alitegemea pafanane ajeTazama hapo sasa hivi.., fanya youtube iwe rafiki yako kilaza., mbona unahangaika., Prism iko upper hill kilaza, sio westlands., 😂 😂 😂
Huyo ugonjwa wake kubwa ni inferiority complexThe best 007 nini hiyo unavutaga? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂😂😂😂👆👆👆
Eti barabara inazunguka kijiji kwa jina Dodoma na hailekei mahala popote nje ya hicho kijiji eti ndio the longest dual carriageWatanzania hupenda ubishi za kijinga sana





upuzi na ata haijaanza kujengwa. 
says alot about her ama ni himWewe bongolala unasumbuka sana. Kenya huwezani nayo. Please watch to the endevidence? Bring evidence It is U/C! As far as i know Thika Highway has beeen there since Kibaki era!
I have already given him evidence. Wacha tuone atarudi na keleke gani tenaEti barabara inazunguka kijiji kwa jina Dodoma na hailekei mahala popote nje ya hicho kijiji eti ndio the longest dual carriageupuzi na ata haijaanza kujengwa.
Alafu tuusan anasema eti Geza Ulole ni one of the smartest na most educated Tanzanians she knowssays alot about her ama ni him
So ring road haiwezi kuwa dual carriage way?, Reasoning za kikenya bhnThat's a ring road in Dodoma, not a dual carriage way. Huu upuzi wa kuwadanganya wakenya akadanganye watanzania wenzake




Piga hesabu $500mil ya mwaka 1978 unapata kiasi gani kwa ss ndio utapata jibu kwnn tulipoteza nafasi yetu ya u super power wa EA kwa miaka ile mpk pale Magu alipoirudisha status yetu.Kuna wengine hata vita ya dollars 10k hawajawahi pigana
Ikiwa SSC unakula ban kwa kutoa habari za uongo hakuna mkenya angebaki mpk ss, si ni wewe na wakenya wenzio mlisema hii ni expressway yenu hii auWakenya hawana uwezo wa kumtoa mtu SSC. Huu ujinga ulio nao hapa ndio ulifanya Geza Ulole ale ban SSC. Akaja na account zingine na zote zikala ban. Meanwhile hakuna Mkenya amekula ban pale. Kuna jamaa hapa Uhuru n Umoja pia alikua anajiita Mark S kule akala ban, akaja kama Uhuru na Umoja pia akala ban. Ndio nawaambia Huu upuzi wenu mnaweza shamiri tu huku kwa mabongolala wenzenu Ila kwa international platforms hawezi kuwa tolerated. Pale SSC ukizoea kutoa habari za uongo ama zisizo eleweka ni ban tu utakula.




Chakula na maji mzozo, basic needs struggling!Tanzania has no quality life compared to Kenya. Kenya tunajilinganisha na South Africa.
wamemlima ban huko SSC? ndo maana kaja humu na alivyofika tu! Kaanza kunitafuta!Ikiwa SSC unakula ban kwa kutoa habari za uongo hakuna mkenya angebaki mpk ss, si ni wewe na wakenya wenzio mlisema hii ni expressway yenu hii auView attachment 2253326
Jambo Geza Ulole
Mkuu bado hujaweka pesa Nyerere alikua anatumia kugharamia ukombozi wa nchi za kusini, sio pesa ndogo ni pesa ndefu mno billions of USDPiga hesabu $500mil ya mwaka 1978 unapata kiasi gani kwa ss ndio utapata jibu kwnn tulipoteza nafasi yetu ya u super power wa EA kwa miaka ile mpk pale Magu alipoirudisha status yetu.
Rironi to thika road to Marua 142+37=179kmThika highway to marua junction 142km
Mimi bado niko SSC Geza, aliyelimwa ni wewe mara tatu na Wabongolala wengine kadhaa.wamemlima ban huko SSC? ndo maana kaja humu na alivyofika tu! Kaanza kunitafuta!