Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani wanaokulipa mshahara(Kodi zao) wasione faida ila wewe uliezoea BAU ndio uone faida? Mlipa Kodi ana haki ya kuona tija ya Kodi yake acheni kuishi kwa mazoea. Hao unawaona hawana direction na maisha yao ndio wanaolipa mshahara wa watumishi wa umma.
Wewe unawazimu sio bure,unafikiri kwa kutumia miguu
 
Watu wasiofika ht 2% wanakula nusu ya mapato ya serikali...hii sio sawa.
Tunaserikali yenye wafanyakazi wengi wasio kazi za kufanya na wengine wanaproduce less than 20%.
Infact nna washkaji zangu wapo serikalini now wame abandon post zao ili wafanye mambo yao, wengine wapo Moro na Singida wanalima, wengine wapo Dar wana fanya mishe zao and still wanapata salary km kawaida. Ukiwauliza wanakwambia Mzee alibana sana wacha wapumue. na bado wanalilia mishahara ipande.
Bajeti ya Nchi ni zaidi ya Til.38.5 kwa hiyo how comes Til.9 iwe nusu ya keki ya Taifa? Ulimaliza hata darasa la saba wewe?

Nchi ina vyanzo vingi vya mapato,hayo aliyoeleza Geza ni mapato ya Wizara ya fedha kupitia TRA..Mnakurupukia vitu hata msivyovijua.

Harafu huu uzushi wa hao rafiki zako ni uongo wa kitoto,hakuna Serikali ya hivyo hapa Duniani kwamba mfanyakazi anaweza jiamulia kufanya anavyojiskia..

Narudia tena kwamba huu ni uzushi na hakuna namna hilo linawezekana kufanyika kwenye taasisi ya umma ambayo ina HR na Wakuu wa Idara/Taasisi..

Kwa hiyo usijikoshe kwa sababu ya chuki zako binafsi..
 
Kwakua umezungumzia Mishahara let me give u the numbers.
1. Mama kapandisha mishahara kwa 1.59T. Now wages bill inasoma 9.7T kwa mwaka.
2. Leo Mwigulu wakati ana table bajeti yake amesema 9.09T ni ya kulipia madeni.
3. Ukichukua madeni na mishahara total ni 18.79T kwa mwaka or average ya 1.57T kwa mwenzi just kwa mambo hayo mawili.
4. Nenda kaangalie average ya mapato ya TRA kwa mwezi then uone km inakidhi hayo mambo mawili.
5. So where do we get pesa za maendeleo na matumizi mengineyo?kifupi from now onward we cant finance miradi kwa pesa za kodi(ukweli mchungu).
8. How come watumishi wa serikali ambao hawafiki ht milioni mgawane nusu ya kodi zetu za watanzania baki 54M?
9. Kwann ile 1.57T ktk wages bill isingemalizia bwawa la nyerere or reli ASAP then tulipane mishahara kwa faida itakayopatikana?
10. Nway kupanga ni kuchagua. Mimi ni muumini wa nitoke jasho now, nijinyime now ili wanangu na wajukuu wasijetoa lawama na mimi niishi kwa raha mushtarehe ktk uzee wangu, hii kauli mbiu la lamba asali, kula bata maisha ndo haya haya does go well with my soul.
ALL THE GREAT NATIONS WERE BUILT BY PEOPLE WHO PREPARED THEIR GENERATION FOR THE FUTURE and NEVER WORRIED BY THEIR CURRENT WELL BEING.
Unajua ni wTz wangapi wanalipa kodi au unarap tu hapa? Walipa kodi hawafiki
4m ,hakuna watu wa hovyo kama watu mnaoandika vitu msivyovijua,debt servicing haiepukiki madeni yapo tangu ya tawala zilizopita lazima yalipwe unafikiri serikali ipo tu kwaajili ya kumfrahisha masikini
 
Wewe wacha kuvuta bangi. Kenya wakati huo hata kama tulikuwa na uchumi mbovu bado tulikuwa nchi imara sana kiusalama. Moi alikuwa hana ujuzi wowote wa kiuchumi lakini area moja ambao alikuwa perfect ni eneo la usalama. Nchi ya Kenya wakati wa Moi ilikuwa ni salama sana. Sisi ndio tungewapiga, nyie hamngeshinda hio vita. Pamoja na uchumi mbaya, kiusalama Kenya ilikuwa dhabiti.
Mbona hueleweki, Kuna wakati kichwa yako inapata moto

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Baadhi ya Mambo hapa ninakubaliana na wewe, hasa yanayohusu Chato, lakini hayo ya maduka ya kubadilishia pesa Arusha, serikali kupitia Gavana wa Benki kuu aliyatolea maelezo vizuri Sana, Kama hukupata bahati ya kusikiliza bado unaweza kutafuta "video clips YouTube"

Mambo mengi unayoyasema ni shutuma ambazo hakuna uhusiano wowote na kuwapendelea wasukuma, hata Kama ni kweli (90% huna ushahidi), lakini hakuna uhusiano na ukabila, kwasababu huko Arusha pia Kuna wasukuma wenye hayo maduka ya kubadilishia pesa

Kwa ufupi mengi unavyosema ni maneno na shutuma ambazo kila rais aliyepo madarakani lazima atapakwa matope, Kama ambavyo Samia anavyopakwa matope kwamba anapeleka pesa nyingi Zanzibar, kwamba anaendeshwa na Kikwete, kwamba anatembea na vijana wadogo kimapenzi, wenye akili wanajua kwamba hizi ni shutuma ambazo nyingi hazina nguvu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo uharibifu mali za Mbowe unakataa wakati clip zipo online?







Umesahau hii? Watu kuishi Kama mashetani kwa jasho Lao? Na JPM kujitamba!





 
We jamaa huwa ni kilaza tu wewe, no wonder watu wote wanakudharau humu ndani, unaropoka alaf still unapost miradi aliyoitengeneza Magufuli .. kwa bahati mbaya sasa hakuna unaweza post ambacho tz tunajivunia ambacho kwasasa kisiwe kimefannywa JPM, taja barabara, taja masoko,taja stendi, taja Afya, taja utalii, taja Maji, taja umeme na kila kitu Magufuli ndio Mwanaume alithubutu kutekeleza hivyo vitu kwa ukubwa zaidi ya Raisi yeyote yule kuwahi kutokea hapa Tz
Tulikubaliana tusijibu posts za huyu jamaa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Yaani wanaokulipa mshahara(Kodi zao) wasione faida ila wewe uliezoea BAU ndio uone faida? Mlipa Kodi ana haki ya kuona tija ya Kodi yake acheni kuishi kwa mazoea. Hao unawaona hawana direction na maisha yao ndio wanaolipa mshahara wa watumishi wa umma.
Kwa hiyo huoni tija sio? Barabara unazosafiri kajenga baba yako? Maji unayosafishia mtaro wako distribution systems ni mama yako kajenga?

Hospital unazoenda ni Babu yako amejenga? Na hao wanaotoa huduma huko ni bibi yako anawalipa salary? Acha upumbavu..
 
Mkuu, wafanyakazi serikalini hawazidi 1M, wakulima ni zaidi ya 30M hapa Tanzania, mbona sisikii ukizungunzia maslahi ya wakulima ambao ni zaidi ya 70% ya watanzania badala yake unazungumzia maslahi ya watu 1M ambao ni chini ya 2% ya watanzania wote?, hivi unadhani nchi hii inajengwa na wafanyakazi wa serikalini pekee?.

Mkuu, sisi wote tulishawahi kuitumikia serikali katika nyadhifa tofauti, Kuna tafiti zilionyesha kwamba, wafanyakazi wengi serikali wanapaswa kulipwa 30% ya kile wanacholipwa kwasababu wengi wanaofanya kazi, wanazalisha 30% ya kile wanachopaswa kuzalisha.

Tafiti hizo zilizofanywa katika utawala wa Kikwete zilisema kwamba, utendaji wa kazi serikalini hauwezi kuongezeka kwa kuongeza mapato, Bali kwa kuweka usimamizi mzuri kwasababu hakuna utamaduni wa kupenda kufanya kazi kwa kujituma.

Mkuu, mishahara imekua ikiongezwa kila baada ya vipindi kadhaa toka enzi za Nyerere, lakini ufanisi maofisini haukuwahi kuongezeka *accordingly". Lakini pale ambapo usimamizi umeongezeka, basi ufanisi umeongezeka kwa Kasi Sana bila hata kuongeza mishahara, kumbuka uongozi wa Augustino Mrema, Keenja alipokabidhiwa Jiji la Dar es Salaam, na Utawala wa Magufuli, hiyo ni baadhi tu ya mifano.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Izo tafiti zako za vichochoroni,serikali ndio inapaswa kurasimisha kazi,mkulima auze mazao yake apate ujira wake sawasawa na thamani ya anachokizalisha,hatuwezi wote kua watumishi wa serikali unalijua hilo lakini nnapokua nawatumikia watz masaa nane kwa siku lazima niipate Tija kwasababu nilisoma nafanya kazi nna taaluma niliipata kwa gharama kubwa wazazi ndugu na jamaa walijinyima mimi nisome lazima niwarudishie.

Mfano, umemuajiri muhasibu pale bank kuu asimamie bank zote na sera za fedha na mambo ya inflation uyo mtu lazima umlipe anafanya kazi ya watz wote,tatizo humu ndani mnafukiri watumishi wapo tu kula hamuangalii pia wanazalisha kaa maslahi ya taifa
 
Bajeti ya Nchi ni zaidi ya Til.38.5 kwa hiyo how comes Til.9 iwe nusu ya keki ya Taifa? Ulimaliza hata darasa la saba wewe?

Nchi ina vyanzo vingi vya mapato,hayo aliyoeleza Geza ni mapato ya Wizara ya fedha kupitia TRA..Mnakurupukia vitu hata msivyovijua.

Harafu huu uzushi wa hao rafiki zako ni uongo wa kitoto,hakuna Serikali ya hivyo hapa Duniani kwamba mfanyakazi anaweza jiamulia kufanya anavyojiskia..

Narudia tena kwamba huu ni uzushi na hakuna namna hilo linawezekana kufanyika kwenye taasisi ya umma ambayo ina HR na Wakuu wa Idara/Taasisi..

Kwa hiyo usijikoshe kwa sababu ya chuki zako binafsi..
1. Ni lini uliona serikali ika execute bajeti yake ht kwa 70%? Unaleta bajeti za kwenye makaratasi? Nipe mwaka ambao serikali iliweza kuexecute bajeti yote iliyo table bungeni au ikakusanya kodi kwa 100%?(Mipango sio matumizi)
2. Mimi nazungumzia mapato yatokanayo na kodi, unataka nizungumzie grants, mikopo, maduhuri au hati fungani? Jitahidi uwe unasoma kuelewa sio kubishana.
3. Ukikosa hoja usikimbilie kufanya personal attacts..Elimu yangu ww ina kuhusu nn?nimetoa figures na ww nijibu kwa figures simple.
4. Nlikua nimekutia block ili nisiwe naona pumba zako na wenzio wenye calliber km yalo so bila notification alert nisingejua umeni quote, nway wacha niturn off notification, its better that way.
 
Wakuu naomba tuhame apo turudi kwenye agenda ya msingi tunamwaga sana mchele kwenye hawa kuku wa North
 
Shamba la bibi

Screenshot_20220607-232506_Opera.jpg
 
Kwa hiyo uharibifu mali za Mbowe unakataa wakati clip zipo online?



Umesahau hii? Watu kuishi Kama mashetani kwa jasho Lao? Na JPM kujitamba!



Mkuu, umetaja Mambo mengi sio rahisi kuyatolea maelezo yote kwa wakati mmoja, nilianza na lile la maduka ya kubadilishia pesa.

Kuhusu Mbowe, ninakumbuka sakata la Mbowe la hike Club Billicanas na mashamba yake, vyote vilitokana na hukumu ya mahakama, Mbowe aliendesha kesi na alishindwa mahakamani.

Mkuu utakumbuka kwamba nchi hii watu wengi walijigawia Mali nyingi za serikali kiholela Sana huko nyuma, Magufuli alijaribu kurudisha Mali za serikali na Mali za CCM zilizokua watu wengi matajiri wameuziana konyume cha taratibu, wengi walifunguliwa kesi na kushindwa mahakamani, Mbowe ni miongoni mwao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, umetaja Mambo mengi sio rahisi kuyatolea maelezo yote kwa wakati mmoja, nilianza na lile la maduka ya kubadilishia pesa.

Kuhusu Mbowe, ninakumbuka sakata la Mbowe la hike Club Billicanas na mashamba yake, vyote vilitokana na hukumu ya mahakama, Mbowe aliendesha kesi na alishindwa mahakamani.

Mkuu utakumbuka kwamba nchi hii watu wengi walijigawia Mali nyingi za serikali kiholela Sana huko nyuma, Magufuli alijaribu kurudisha Mali za serikali na Mali za CCM zilizokua watu wengi matajiri wameuziana konyume cha taratibu, wengi walifunguliwa kesi na kushindwa mahakamani, Mbowe ni miongoni mwao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hukumu ya mahakama iliyokuwa inaendeshwa na Magufuli sio? Mashamba ya kilimanjaro veggies hayakuharibiwa kwa hukumu ya mahakama bali DC ambaye alipata promotion baada ya uharibifu!
 
Mkuu, umetaja Mambo mengi sio rahisi kuyatolea maelezo yote kwa wakati mmoja, nilianza na lile la maduka ya kubadilishia pesa.

Kuhusu Mbowe, ninakumbuka sakata la Mbowe la hike Club Billicanas na mashamba yake, vyote vilitokana na hukumu ya mahakama, Mbowe aliendesha kesi na alishindwa mahakamani.

Mkuu utakumbuka kwamba nchi hii watu wengi walijigawia Mali nyingi za serikali kiholela Sana huko nyuma, Magufuli alijaribu kurudisha Mali za serikali na Mali za CCM zilizokua watu wengi matajiri wameuziana konyume cha taratibu, wengi walifunguliwa kesi na kushindwa mahakamani, Mbowe ni miongoni mwao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbowe alihujumiwa ili kumvunja nguvu since ndio alikua threat kwake,Mpaka Anaondoka Chuma siajabu hajawahi kua na utajiri wa Mbowe licha ya kujitahidi sana kumdhoofisha
 
Mkuu, umetaja Mambo mengi sio rahisi kuyatolea maelezo yote kwa wakati mmoja, nilianza na lile la maduka ya kubadilishia pesa.

Kuhusu Mbowe, ninakumbuka sakata la Mbowe la hike Club Billicanas na mashamba yake, vyote vilitokana na hukumu ya mahakama, Mbowe aliendesha kesi na alishindwa mahakamani.

Mkuu utakumbuka kwamba nchi hii watu wengi walijigawia Mali nyingi za serikali kiholela Sana huko nyuma, Magufuli alijaribu kurudisha Mali za serikali na Mali za CCM zilizokua watu wengi matajiri wameuziana konyume cha taratibu, wengi walifunguliwa kesi na kushindwa mahakamani, Mbowe ni miongoni mwao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbona hakurudisha nyumba za serikali alizojigawia yeye na wana CCM wenzie Oysterbay? Bilicanas na Much more zipo tangu 1990s na kabla ya hapo Mbowe hotel chini ya Marehemu babake Freeman ila kuja kuvunjwa kwa madai ya kujigawia 2015? Kaka hebu kuwa fair kidogo! Mbaya zaidi Ngosha huyuhuyu mwenye roho ya kwanini alijaribu ku-replicate alichoharibu Kaskazini Chato akashindwa! Hasidi haina hiyana!
 
Izo tafiti zako za vichochoroni,serikali ndio inapaswa kurasimisha kazi,mkulima auze mazao yake apate ujira wake sawasawa na thamani ya anachokizalisha,hatuwezi wote kua watumishi wa serikali unalijua hilo lakini nnapokua nawatumikia watz masaa nane kwa siku lazima niipate Tija kwasababu nilisoma nafanya kazi nna taaluma niliipata kwa gharama kubwa wazazi ndugu na jamaa walijinyima mimi nisome lazima niwarudishie.

Mfano, umemuajiri muhasibu pale bank kuu asimamie bank zote na sera za fedha na mambo ya inflation uyo mtu lazima umlipe anafanya kazi ya watz wote,tatizo humu ndani mnafukiri watumishi wapo tu kula hamuangalii pia wanazalisha kaa maslahi ya taifa
Mkuu, watumishi serikalini ni chini ya 2% ya watanzania wote, mishahara kw mwezi ni TZS 600B, hii zaidi ya 40% ya Makusanyo ya TRA kwa mwezi, kwahiyo 2% ya population ipewe 40% ya Pato la nchi nzima kwasababu tu wamesoma?,. Hivi unataka tulipie "degree certificates ", au tulipie kile mnachozalisha?, Kama kweli munesoma kwanini msitumie Elimu yenu kuongeza mapato ya nchi ili tupate pesa nyingi ndio mdai mishahara mikubwa?

Mkuu, hatuwezi kuwapa pesa nyingi kwasababu hamzalishi pesa nyingi, Kuna watanzania wengi wazalendo ambao wapo tayari kulitumikiabtaifa kwa hiyo mishahara iliyopo, wewe Kama unahisi ni kidogo haikutoshi, kwanini usitafute kazi yenye maslahi zaidi, au kwanini usitumie Elimu yako kujiajiri?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Five years down the line KRC staff not properly trained to run sgr operations.

Screenshot_20220607-234740_Opera.jpg
 
Hukumu ya mahakama iliyokuwa inaendeshwa na Magufuli sio? Mashamba ya kilimanjaro vegetables hayakuharibiwa kwa hukumu ya mahakama bali DC ambaye alipata promotion baada ya uharibifu!
Mkuu, mbona watu wakiwemo wapinzani ndio ambao walipokua wakikamatwa na polisi na kuwekwa ndani, walitaka wapelekwe mahakamani haraka?, Lissu alikua na kesi mahakamani zaidi ya 9, Kati ya hizo, 5 alishinda, kwa wapinzani wakishinda kesi, utasikia mahakama imetenda haki, ila serikali ikishinda kesi, utasikia ni mahakama za CCM/Magufuli.

Kama kweli alifanyiwa vitendo vya dhuluma, alipaswa kufungua kesi mahakamani, Kama aliamua kukaa kimya, Hilo ni tatizo lake, lakini ni wazi kwamba alijua hawezi kushinda kwasababu hana haki.

Kwahiyo mahakama zikiwafunga Sabaya na wenzaje, hapo zinatenda haki, ila zikiwafungia Fatuma Karume, Lissu na viongozi wa Upinzani, zinageuka kuwa za CCM

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo hapo kwa makadirio Tz ilitumia kama $10b kukomboa nchi za Afrika. Shida ya mzee wetu yule hakuwa ana claim anything in return.
worse of all, immediately after taking control of Uganda, we had prisoners of war from Libya and Gadafi promised Nyerere mafuta ya bure mwaka mzima in exchange of his captured soldiers, guess what!

Nyerere alisema hauzi watu, akawatoa bure kwa Libya, kipindi tulikua na matatizo makubwa mno ya uchumi baada ya vita ilee.
 
Back
Top Bottom