Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haswa approach wanayoenda nayo ya kutumia budget ya serikali bila ya kuoainisha zitarudi vipi! Ila PPP inawezekana na viwanja vya CCM haswa Kirumba unalipa. Ni jinsi ya modalities zinakuwa formulated! Angalia hata Spain na France jinsi wanafanya kabla ya ku-host tournaments!
Zitarudi vipi? Viwanja vinakarabatiwa kwa ajili gani?
 
Aisee Under 17 nikitu ya kusherehekea kweli. Mbona tulishinda U16 ya Africa na hatukujigamba. Juzi tumeshinda volleyball club cup ya Africa na tumetulia. Wacheni Kuhype mediocrity,View attachment 2252499View attachment 2252500View attachment 2252501View attachment 2252502
Acha mabinti wapambane ....
20220606_190035.png
20220606_190056.png
20220606_190112.png
 
Vilijengwa kipindi hicho kukiwa na chama kimoja cha siasa wananchi ndo waliokuwa wanachangia ujenzi wake
Kuna jambo nimetaka kuuliza kwa muda. Hivi viwanja vya CCM vilijengwa na pesa ya wanachama wa CCM au vilijengwa na pesa ya serikali ya Tanzania? Na kama vilijengwa na pesa ya serikali basi kwa nini viitwe viwanja vya CCM?
 
Hivi ile project iliyokuwa chini ya Tamisemi ilikuwa inaitwa Tanzania cities Strategic project imekufa?

Wakati Magu anakufa ilikuwa kuna miradi kwenye miji mingi tu ikiwemo stendi za mabasi na masoko Arusha, Kagera nk.
Miradi hii ilikuwa ianze Toka last year ila kimya, kuna anayejua?
Lilikuwa jina tuu kwa ajili ya mradi wa kuboresha miundombinu kwenye majiji 6 chini ya WB,ilianza sanajali na DART ambayo bado inatekelezwa under phases..

Baada ya hapo TSCT ikaja ULGSP na baada ya kumalizika hiyo Sasa ni TACTIC,,watoa pesa ni wale wale WB.
 
Kirumba hakuna timu ya ligi kuu unakarabatiwa iweje acheni usukumagang😝😝
Wewe Sukuma gang acha kujichekesha kama unatekenywa..

Geza alisema hakuna sababu za kujenga uwanja Mwanza bali wakarabati na ndicho serikali inataka kufanya na Sababu ya kufanya hivyo ni hii hapa👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220606-143748.png
    Screenshot_20220606-143748.png
    122.4 KB · Views: 12
Hakuna miradi mipya 😆😆👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220606-144016.png
    Screenshot_20220606-144016.png
    91.9 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220606-144046.png
    Screenshot_20220606-144046.png
    83.2 KB · Views: 12
Kama wanafaham makosa yao poa na wanajirekebisha kisha wanachukua hatua sio mbaya
 
Back
Top Bottom