Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Ndio hii hapa 😂Leta video yako tuone, wacha kelele ya chura.
Even parts of Buru Buru look better
Ndio hii hapa 😂Leta video yako tuone, wacha kelele ya chura.
Tuusan ni bure kabisa.. watanzania wote infact labda walker255 kwa aslimiaHHata
Hata Tuusan anakuanga muungwana sana. One of the few Tanzanians I respect in this forum
wa Arusha hauna nafasi ya kutosha! na mbona kila kitu kijengwe kwenu tu? utaifa upo wapi?Kwani hivyo vya Arusha na mbeya haviwezi kukarabatiwa vikawa vya kisasa?
Kwa sasa hakuna ligi kuu huko na Afcon 2027 bado ukarabati wa nini?
Kwanza kuna viwanja viwili kuna nyamagana pia, bora kujengwe majukwaa nyamagana tena nyamagana ni wa serikali sio wa ccm.
Mnapenda kila kitu mwanza tu acheni usukumagang.
Embu tusaidie kubisha kwa hoja tafadhali ili nasisi tusiojua tuweze kuona ukweli ukojeMwanangu kila ukiandika kwa hii thread ndio nazidi kudharau elimu ya Tanzania. Tayari nishajua wewe ni wa sampuli gani.
Huu ni uwanja?🤣🤣wa Arusha hauna nafasi ya kutosha! na mbona kila kitu kijengwe kwenu tu? utaifa upo wapi?
Shiekh Abeid
![]()
![]()
VS
CCM Kirumba
![]()
![]()
View attachment 2252353
Hapa wanachimba katikati na kuongeza sitting levels pia kwa nje kuna nafasi unapanuliwa kama Olympic stadion au Estadio Bernabeu!
Mchina haendi mbinguniPia nawapongeza Wakunya kwa hii control center yenu ya diesel SGR japo sioni umuhimu wa mtungi wa chang'aa kukuwa na control center mixa window 7 nini. Look here every body, the most modern SGR control center in Africa (wamesema wao cku hz wana vitu bora Afrika nzima)View attachment 2251936




Enyewe ni ukweli Comedy za bongo ni boring sana kama tu bongo movies.
Huyo Walker 255 unayemsema hapa ndio alikuwa mwiba mkali kwa Wakunya humu ndani usijifanye umesahau yeye ndiye aliyekuwa anakufundisha kingereza, alibadilika siku moja baada ya Magu kumtaka mmoja aliyesomeshwa kwa gharama za taifa kufanya kazi serikalini kwanza, pia kuna mambo mengine alianza kuwa tofauti na serikali baada ya hapo kwa kutetea ushoga na mambo mengine ya watu wa haki za binadamu.They don't like divergent views, especially from their countrymen. Kuna wakati Geza na Walker255 walizozana sana humu ndani just because Walker wasn't subscribing to their line of thinking. In most cases, wanasemanga watu Kama hao sio patriots and they even go as far as saying they are Kenyans
Hebu taja hiyo the busiest airport in east and Central Africa inyopatikana Tanzania ni gani na inapokea passengers ngapi kwa mwakaThe biggest SGR control center in East and Central Africa is in Tanzania.
The longest SGR railway line in Africa is in Tanzania.
The biggest hydro power dam in East and Central Africa is in Tanzania.
The biggest ship in East and Central Africa is in Tanzania.
The biggest market in East and Central Africa is in Tanzania called Kariakoo market.
The modern public transport in East and Central Africa is in Tanzania.
The biggest and modern Airports in East and Central Africa are in Tanzania.
The most busiest airport in East and Central Africa is in Tanzania.
The one and only 3 level interchange in East and Central Africa is in Tanzania.
The biggest and modern bus terminals in East and Central Africa are found in Tanzania.
The busiest port in East and Central Africa is in Tanzania.
The biggest football stadium in East and Central Africa is in Tanzania.
The biggest and modern Arenas in East and Central Africa will be found in Tanzania soon.
The longest and modern dual carriage ring road will be found in Tanzania soon.
Na bado kuna mambo mengi sijayaweka hapa, so mtu anayetaka kushindana na Tz kwanza ajipime kwenye hayo mambo aone kama nchi yake inatosha?
Umeandika insha refu ila nataka tu kusema jambo moja. Tangu lini mtanzania akajua kiingereza aanze kufunfisha na wengine. Kama Magu mwenyeww hakuwahiijua hiyo lugha sasa vilaza wa humu wataijuaje?Huyo Walker 255 unayemsema hapa ndio alikuwa mwiba mkali kwa Wakunya humu ndani usijifanye umesahau yeye ndiye aliyekuwa anakufundisha kingereza, alibadilika siku moja baada ya Magu kumtaka mmoja aliyesomeshwa kwa gharama za taifa kufanya kazi serikalini kwanza, pia kuna mambo mengine alianza kuwa tofauti na serikali baada ya hapo kwa kutetea ushoga na mambo mengine ya watu wa haki za binadamu.
Sasa ukitaka kujua ni kiasi gani ulivyo biased ni pale unapomsifia Walker 255 kwamba ni muungwana just because leo yupo upande wako lkn kipindi kile anakupiga pini na kukufundisha kingereza hakuwa muungwana, yn wewe ni mjinga kweli kweli.
Bara la africa kuwa na miradi kama hiyo ni upumbavu kabisaHapa kidogo nawapongeza Wakunya kwa hii expressway yenu, angalia jinsi inavyo stretch from north to south kama nyoka hadi rahaView attachment 2251934
Hapo wakora kama wote

Take home:Msijesema hamkuwambiwa