The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Juzi KQ ya usiku imekuja ikiwa na livery ambayo co ya kq na kila siku inakuja na livery ya kq which means haikuwa ndege ya KenyaNinakubaluana na wewe mkuu katika Hilo, ATCL ndio shirika la ndege lenye bright future nyuma ya Ethiopia Airline, haya mengine yataporomoka kwasababu hawana domestic routes ambazo hazina completion na mashirika ya nje,hivyo kuwahakikishia kipato cha uhakika
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app











Hii imethibitisha kwamba shirika limeshajifia lina ndege 3 chakavu ambazo ndio wakunya wanakisifia humu ilihali TC ina ndege 11 brand new na nyingine 6 zinakuja











