Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inflation sio kwamba ni mbaya wakati wote. Inflation rate ya juu ndio mbaya. Negative inflation pia ni mbaya. Lakini positive inflation rate ya chini ambayo ni stable is preferred kwa sababu ina manufaa kwa uchumi.
Inflation yenu kwa sasa ni ngapi? Before uconclude
 
Nearly a hundred LCs!
Serikali inalenga kufikia watalii mil.5 by 2025 na mapato yapatayo dola za Marekani bil.5..

Kwa mwendo huu tunaweza kufikia.

Pipa jingine hili hapa limetua na Watalii kibao 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220605-144718.png
    Screenshot_20220605-144718.png
    69 KB · Views: 14
Tony254 naona waume zenu wamejitia kitanzi wenyewe 🤣🤣🤣

Mbona Russia, superpower wako imeshindwa kuiteka Donbas siku 100 baada ya vita kuanza? Naelewa imeshindwa kuiteka Kyiv au Kharkiv kwa sababu hizo ni miji mikubwa lakini mbona kamji kadogo kama Severodonetsk imeishinda Superpower? Hii ni maajabu. Russia ni superpower wa kwenye makaratasi.
 
wacha uropokaji nawe zaidi ya wheat flour hebu nitajie hayo mazao mengi yanayotoka Russia na Ukraine! mbolea si mazao! Vodka?
bila mbolea utapata mazao gani?? au munalima mbinguni ?? 😂😂

na kama ukikua hujui russia inamazao mengi sana kama👇👇😂😂
3D4AD1DA-2A55-4332-B7E2-FE2770AD762E.jpeg







shida yako wewe hujifanya kila kitu unakijua alaf unajikuta umechelewa kujua ndio ubaya wako 🤣🤣🤣 kabla hujajibu mtu kwanza tafakari alaf mjibu mtu kwa adabu
 
Mbona Russia, superpower wako imeshindwa kuiteka Donbas siku 100 baada ya vita kuanza? Naelewa imeshindwa kuiteka Kyiv au Kharkiv kwa sababu hizo ni miji mikubwa lakini mbona kamji kadogo kama Severodonetsk imeishinda Superpower? Hii ni maajabu. Russia ni superpower wa kwenye makaratasi.
russia inakwepa sana kuua raia wakat huohuo ukraine inawatumia raia kama nguzo yao yakutopigwa na haya mbona yalishaongelewa 😂😂😂 yani wanajeshi wa ukraine wanaenda kujificha kwneye shule za watoto wa nursery serious??
 
Ujue ndio wanaongoza Duniani kwa sasa 😆😆...

Hivi hao jamaa wamekumbwa na nini hasa?
Hahaha. Bei ya mkate na vyakula vingine huko Turkey inaongezeka karibu mara dufu kila mwezi. Rais Erdogan ni mpumbavu sana. Wachumi wanaamini kwamba njia sahihi ya kupunguza inflation ni central bank kuongeza interest rate. Lakini Erdogan amekataa kufanya hivyo na badala yake ameamuru central bank ipunguze interest rate. Anapingana na wachumi, hataki kufuata advice ya wachumi. Sasa wanaoumia ni wananchi wa Turkey.
 
Hahaha. Bei ya mkate na vyakula vingine huko Turkey inaongezeka karibu mara dufu kila mwezi. Rais Erdogan ni mpumbavu sana. Wachumi wanaamini kwamba njia sahihi ya kupunguza inflation ni central bank kuongeza interest rate. Lakini Erdogan amekataa kufanya hivyo na badala yake ameamuru central bank ipunguze interest rate.
Analenga nini kuamuru hivyo?
 
Back
Top Bottom