Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Analenga nini kuamuru hivyo?
Yeye yupo kisiasa na kidini zaidi. Yeye anajua kwamba ikiwa central bank itaongeza interest rate basi bei ya mikopo itapanda na kufanya mzunguko wa fedha kupungua na watu watakosa pesa. Hii itapunguza inflation lakini pia itakasirisha watu na hataki kukasirisha wapiga kura. Lingine ni kwamba anasema eti dini lake haliruhusu interest rate au riba kwa hivyo hataki liongezwe. Soma hapa, jamaa anasema eti riba ni maovu. Huyu pimbi ni mzigo kwa uchumi wa Turkey. Kuleta udini kwenye mambo ya uchumi sio nzuri.
 
Yeye yupo kisiasa na kidini zaidi. Yeye anajua kwamba ikiwa central bank itaongeza interest rate basi bei ya mikopo itapanda na kufanya mzunguko wa fedha kupungua na watu watakosa pesa. Hii itapunguza inflation lakini pia itakasirisha watu na hataki kukasirisha wapiga kura. Lingine ni kwamba anasema eti dini lake haliruhusu interest rate au riba kwa hivyo hataki liongezwe. Soma hapa, jamaa anasema eti riba ni maovu.
Duu hapo anawanufaisha wenye nazo/wafanyabiashara..

Huko kwao maskini hawapo?

Mwisho kuna haja ya debate ya kiuchumi kwenye issue ya inflation maana Kama Uchumi unakua na maisha yanaenda hii inflation inaonyesha kanakwamba haina uzito..

Ujue inflation italeta maana kama kweli inatatiza maisha ya watu, kinyume na hapo inabakia kuwa namba tuu zisizo na maana..

Binafsi huwa bado Nina mashaka na inflation rate,kwa sababu kama mfumuko wa bei upo lakini Bado watu Wana uwezo wa kununua na kuuza ,then maana yake ni ipi hasa?
 
Mjini Dar es salaam
tapatalk_1654435294230.jpg
tapatalk_1654435405587.jpg
tapatalk_1654435260791.jpg
tapatalk_1654435311597.jpg
 
Duu hapo anawanufaisha wenye nazo/wafanyabiashara..

Huko kwao maskini hawapo?

Mwisho kuna haja ya debate ya kiuchumi kwenye issue ya inflation maana Kama Uchumi unakua na maisha yanaenda hii inflation inaonyesha kanakwamba haina uzito..

Ujue inflation italeta maana kama kweli inatatiza maisha ya watu, kinyume na hapo inabakia kuwa namba tuu zisizo na maana..

Binafsi huwa bado Nina mashaka na inflation rate,kwa sababu kama mfumuko wa bei upo lakini Bado watu Wana uwezo wa kununua na kuuza ,then maana yake ni ipi hasa?
Mkuu tofautisha kati ya inflation rate ya chini ya 2% hadi 8% ambayo wachumi wanaikubali na kuamini kwamba ni nzuri kwa afya ya uchumi na inflation rate kubwa ya zaidi ya 20% ambayo wachumi wanaamini ni mbaya kwa afya ya uchumi. Hii ya Turkey ya 73% ni mbaya na ina madhara mabaya sana hata kwa matajiri kwa sababu utajiri unapungua kwa kasi kwa sababu ya high inflation. Kwa mfano ksh 1,000,000 katika mwaka wa 2001 inaweza ikawa value yake ni ksh 30,000 mwaka wa 2022 kwa sababu ya inflation. Sasa Zimbabwe wakati walipata inflation kubwa unajua kuna watu wengi walikuwa millionaires lakini ndani ya miezi michache wakapoteza umillionaire wao kwa sababu ya bei ya bidhaa kupanda kishenzi kiasi cha kwamba milioni moja ya zimbabwe ilikuwa haina thamani tena, haingeweza kununua hata mkate dukani. Inflation ya juu inawaumiza hata matajiri.
 
Mnyonge mnyongeni ila Girrafe Manor ni Bonge la Idea ..na tourism site ...i would love Tz iwe na sehemu kama hyo
Tunayo kaka tena yetu ni noma zaidi ina wanyama wa aina nyingi zaidi na pia iko kwny bonge la view chini ya paa la Africa!!!Mount Kilimanjaro the place so called Serval Wildlife Kilimanjaro tumeshawahi kushare humu mpk tweets
servalwildlife_1654436280918340.jpg

servalwildlife_1654436024344217.jpg

servalwildlife_1654435948311139.jpg
servalwildlife_1654435707845125.jpg

servalwildlife_1654435585952223.jpg
 
Mkuu tofautisha kati ya inflation rate ya chini ya 2% hadi 8% ambayo wachumi wanaikubali na kuamini kwamba ni nzuri kwa afya ya uchumi na inflation rate kubwa ya zaidi ya 20% ambayo wachumi wanaamini ni mbaya kwa afya ya uchumi. Hii ya Turkey ya 73% ni mbaya na ina madhara mabaya sana hata kwa matajiri kwa sababu utajiri unapungua kwa kasi kwa sababu ya high inflation. Kwa mfano ksh 1,000,000 katika mwaka wa 2001 inaweza ikawa value yake ni ksh 30,000 mwaka wa 2022 kwa sababu ya inflation. Sasa Zimbabwe wakati walipata inflation kubwa unajua kuna watu wengi walikuwa millionaires lakini ndani ya miezi michache wakapoteza umillionaire wao kwa sababu ya bei ya bidhaa kupanda kishenzi kiasi cha kwamba milioni moja ya zimbabwe ilikuwa haina thamani tena, haingeweza kununua hata mkate dukani. Inflation ya juu inawaumiza hata matajiri.
Hayo nayafahamu na mimi nimesoma uchumi vilevile.., madhara yatakuwepo kwenye biashara/assets ambazo zina nature ya savings .

Hoja yangu ni kwamba kwani ukitrade kwenye Biashara zinazohusisha transactions za papo kwa papo hiyo hasara itatoka wapi?

Erdogan pamoja na kwamba anaamini kwenye mambo ya Imani ila ni kwamba ameamua kuweka uchumi kwenye mentality hiyo na it works so far hakuna hasara Nchi imepata..

Nimefuatilia trend za inflation rate kwenye Nchi nyingi kama Ghana,Nigeria,Sudan,Zimbabwe na hii ya Turkey,,nilichobaini ni kwamba kile kinaelezwa kwenye literature za Economics na kinachotokea kwenye uhalisia ni kama vile kuna shida kwenye hizo theories,kuna haja ya study zaidi..

My conclusion ni kwamba,naona inflation rate ina effects zaidi kwenye Nchi ambazo ziko assumed kwamba their economies are at fully employment level na pia zile ziko kwenye below 2% annul population growth..

Lakini kwenye Nchi zenye zina ukuaji wa zaidi ya 2% ya population growth inflation haina shida kwa sababu ya consumer behavior..

Pia Nchi ambazo bado zinaendelea na hazijafikia full employment ya resources sioni effects za inflation hata ikiwa higher than 10%..

Mwisho inflation ambayo inasababishwa na shortage ndio yenye athari mbaya kwenye uchumi wa Nchi..
 
She just autopilot, ceremonial, powerless.. hana maamuz yake kamili.. mwenye remote yuko Msoga anawacheck tu 😅
Hatari sana,dubai ana project yake kujenga zoo kubwa itakayoendana na baadhi na africa,kwa ajili ya utalii,nadhani hao wanyama sasa wanenda huko,baada ya miaka kadhaa watalii wanaweza kuanza kwenda huko,waafrika tumekua wapumbavu sana kwa kugawa rasilimali zetu kijinga kabisa ikiwa wenzetu mpaka leo wanatuficha kujua technology
 
Mbona Russia, superpower wako imeshindwa kuiteka Donbas siku 100 baada ya vita kuanza? Naelewa imeshindwa kuiteka Kyiv au Kharkiv kwa sababu hizo ni miji mikubwa lakini mbona kamji kadogo kama Severodonetsk imeishinda Superpower? Hii ni maajabu. Russia ni superpower wa kwenye makaratasi.
Russia sio super power.Super power hawekewi vikwazo kizembe zembe.Russia ana uchumi mzuri lakini sio super power.
 
Back
Top Bottom