Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo kwenu "inflation" ikipanda mnasema" it is a global problem, it happens even in western countries", kwenu ninyi kila linalotokea nchi za mabwana zetu mnadhani ninyi hamuwezi kupambana nalo.,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha ujinga inflation imepanda dunia nzima. Sasa unapinga pia hilo? Ulirogwa na nani wewe kiasi cha kupinga hata vitu obvious? Kwani ni uongo kwamba in the last one year inflation imepanda katika majority ya nchi za dunia? Ukiangalia data ya April 2021 na April 2022 ya nchi nyingi utaona ninachosema. Usiwe unapinga hovyo.
 
Dry Singida looks more organized than Mombasa

Mombasa-Maslums hapa haifui dafu!

IMG_20220604_092017_01.jpg
IMG_20220604_092047_01.jpg
IMG_20220604_092053_01.jpg
IMG_20220604_092040_01.jpg
IMG_20220604_092103_01.jpg
IMG_20220604_092057_01.jpg
 
Nionyeshe any article from TARURA ambayo inaonyesha wanajenga an average of 1000km of paved roads per year nifunge hii account sahii.
Focus ya Tarura kwa sasa ni gravel roads Vijijini ili kufungua Nchi kufika kusiko fikika.

TARURA imeanza last 5 years kwa hiyo tuna Kazi ya barabara za Vijijini zaidi..

By the way kwa mwaka tunajenga wastani WA km zaidi ya 400 za lami na Kwa maana hiyo ndani ya miaka 5 ni zaidi ya km 2,000👇
 

Attachments

  • IMG_20220524_173524_646.jpg
    IMG_20220524_173524_646.jpg
    947.6 KB · Views: 15
  • IMG_20220524_173605_258.jpg
    IMG_20220524_173605_258.jpg
    707.2 KB · Views: 14
  • IMG_20220529_114343_227.jpg
    IMG_20220529_114343_227.jpg
    1.2 MB · Views: 15
  • IMG_20220529_114506_002.jpg
    IMG_20220529_114506_002.jpg
    1.5 MB · Views: 18
  • IMG_20220529_114618_594.jpg
    IMG_20220529_114618_594.jpg
    1.4 MB · Views: 17
  • IMG_20220529_114250_339.jpg
    IMG_20220529_114250_339.jpg
    1.1 MB · Views: 14
  • Screenshot_20220604-092730.png
    Screenshot_20220604-092730.png
    46.8 KB · Views: 14
Huu ukweli lazima ilikuuma sana, Mombasa na Dar zinatembea pamoja maandishi yako yatabiki kukua tu maandishi 🤣 🤣🤣🤣🤣 😆 😆 😆
ningekua siijui mombasa kweli ungenidanganya lakini mbaya zaidi huna kitu utanidanganya🤣🤣 mm nakuomba upumzike kwa sasa najua relay ishapata moto
 
Wacha ujinga inflation imepanda dunia nzima. Sasa unapinga pia hilo? Ulirogwa na nani wewe kiasi cha kupinga hata vitu obvious? Kwani ni uongo kwamba in the last one year inflation imepanda katika majority ya nchi za dunia? Ukiangalia data ya April 2021 na April 2022 ya nchi nyingi utaona ninachosema. Usiwe unapinga hovyo.
Inflation Ya Kunyaland ni majanga 🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-083331.png
    Screenshot_20220603-083331.png
    120.4 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220603-083417.png
    Screenshot_20220603-083417.png
    43.5 KB · Views: 14
Hahaha ni vizuri umekubali bado mko nyuma lakini munajipanga. 😀
Pamoja na kuwa mpya ila Kazi makini ya TARURA inaendelea 👇
 

Attachments

  • thumb_1011_800x420_0_0_auto.jpg
    thumb_1011_800x420_0_0_auto.jpg
    45 KB · Views: 14
  • 3-31.jpg
    3-31.jpg
    89.4 KB · Views: 14
  • images - 2022-04-26T160713.084.jpeg
    images - 2022-04-26T160713.084.jpeg
    32.2 KB · Views: 13
  • images - 2022-04-26T160617.525.jpeg
    images - 2022-04-26T160617.525.jpeg
    37.6 KB · Views: 15
Eurowings imeanza kutua leo KIA direct from Frankfurt ,next week Turkish airline nao Wana resume flights za Instanbul -Kia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220604-100301.png
    Screenshot_20220604-100301.png
    78.7 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220604-095517.png
    Screenshot_20220604-095517.png
    138.6 KB · Views: 18
Woiyeeee wanajenga only 400km of paved roads per financial year for both Urban and Rural roads.
Leta zenu tulinganishe kwenye category zote za paved na unpaved..

Nimekwambia TARURA kwa sasa iko focused kufungua vijiji vyote Ili viwe accessible kwa gravel roads kama tulivyofanya kwenye umeme..

Tanzania ni kubwa 3 times ya Kakenya kwa hiyo hatuwezi ku focus kwenye paved kwa sasa hadi tuifungue Nchi.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220604-082128.png
    Screenshot_20220604-082128.png
    51.7 KB · Views: 18
shida ni venye Tz mnajipendekeza sana. mna try sana kuji align na kujifix kwa lazma to the southern countries ilahali nyinyi mpende msipende, mko africa ya mashariki.! hivi mnahisi sana as if south africa na nyinyi nikama chanda na pete ama ndugu wa toka nitoke.. ila kwa ground vitu ni different, hivi zamu zote za xenophobia, nyie ndo wa kwanza kufurushwa.!😆

so please please i beg u to slowly leave SOUTHERN AFRICA DEVELOPMENT COMMUNITY.!! to the owners.. eti kila mara SADC this SADC tht... nkt.! nyumbani ni nyumbani bwana.. ata kama ugali tembele

cc: Tony254 whts your take bout these fellas😆😆 joining sadc yet they are totaly in a very different region.!!🤔🤔🤔

View attachment 2250019

Hata hujui nini waongea.

SADC was *particularly established by Tanzania and Zambia - other countries invited to the gathering of its establishment were: Botswana, Angola and Mozambique.

The aboved mentioned countries are the original members of SADC, the rest of SADC members are invitees.
 
Back
Top Bottom