Mchina muhuni hiyo control center ya kwanza pc zinarun windows 7 , siamini macho yangu




Mchina muhuni hiyo control center ya kwanza pc zinarun windows 7 , siamini macho yangu




Nani kakuambia hakuna show room Tz tembea uone kijanaKenya watu wanangoja ziingie kwa showroom wanunue hapo, that's why tukona showroom za brand new luxury cars while nyinyi hamna, munategemea imports ju your economy is very informal. Muna pata customer mmoja inakua breaking news.![]()
![]()
![]()
![]()
Naanza kupata mashaka na degree yake sasa.Huyu jamaa ni mpuuzi eti anadai revenue ya GOT ina-involve revenue ya makampuni! Ni sawa tuseme revenue ya chai pale kunyaland ina-involve revenue ya makampuni ya chai!
Kwa sasa kenya ipo kwenye vicious cycle of hyperinflation(6.47) and falling currency, thnks to your endless and baseless borrowing plus poor policies on inflation6.47% mwezi wa Aprili.
Heheh. Nn tena
LR showroom ipo Tz kabla wewe hujazaliwa.Kenya watu wanangoja ziingie kwa showroom wanunue hapo, that's why tukona showroom za brand new luxury cars while nyinyi hamna, munategemea imports ju your economy is very informal. Muna pata customer mmoja inakua breaking news. 🤣 🤣 🤣 🤣
Hamna showroom ya Jaguar Land Rover, munauziwa na CMC amabao wanauza bajaji na malorry. 🤣 🤣 🤣 Nionyeshe website ya Land Rover kama hii nifunge account sahii.Nani kakuambia hakuna show room Tz tembea uone kijana
NILIKUAMBIA KUWA WEWE HAUNA AKILI SASA HUU NI USHAHIDI VIKWAZO HATA TZ TUNAWEZA KUIWEKEA USA AU NCHI YOYOTE . Vikwazo ni pamoja na kususia na kukataa ushilikiano nk ...NATO IKIKATAA KUNUNUA BIDHAA URUSI NI VIKWAZO NA URUSI IKIKATAA KUNUNUA BIDHAA NATO NI VIKWAZO , hivyo ni vikwazo vya kususiana ila kuna aina ya vikwazo vya kibabe aina hiyo ya vikwazo tunawekewa nchi uchwara ni vikwazo vya mabavu kana no fly zone ,kuzuia biashara kwa namna ya mabavu , vikwazo vya namna hiyo uwezi kuviweka kwa russiaRussia sio super power.Super power hawekewi vikwazo kizembe zembe.Russia ana uchumi mzuri lakini sio super power.
Huo ni ujinga ulio kidhiri, sababu inflation huletwa na over supply of money in the economy.Hahaha. Bei ya mkate na vyakula vingine huko Turkey inaongezeka karibu mara dufu kila mwezi. Rais Erdogan ni mpumbavu sana. Wachumi wanaamini kwamba njia sahihi ya kupunguza inflation ni central bank kuongeza interest rate. Lakini Erdogan amekataa kufanya hivyo na badala yake ameamuru central bank ipunguze interest rate. Anapingana na wachumi, hataki kufuata advice ya wachumi. Sasa wanaoumia ni wananchi wa Turkey.
Komredi kinana kwawaona hao wanyama ....kama namuona mate yakimdondokaTunayo kaka tena yetu ni noma zaidi ina wanyama wa aina nyingi zaidi na pia iko kwny bonge la view chini ya paa la Africa!!!Mount Kilimanjaro the place so called Serval Wildlife Kilimanjaro tumeshawahi kushare humu mpk tweets
View attachment 2251366
View attachment 2251367
View attachment 2251368View attachment 2251369
View attachment 2251372



Mzizima on its way

Russia is a shithole with big landmass, nukes and natural resources.NILIKUAMBIA KUWA WEWE HAUNA AKILI SASA HUU NI USHAHIDI VIKWAZO HATA TZ TUNAWEZA KUIWEKEA USA AU NCHI YOYOTE . Vikwazo ni pamoja na kususia na kukataa ushilikiano nk ...NATO IKIKATAA KUNUNUA BIDHAA URUSI NI VIKWAZO NA URUSI IKIKATAA KUNUNUA BIDHAA NATO NI VIKWAZO , hivyo ni vikwazo vya kususiana ila kuna aina ya vikwazo vya kibabe aina hiyo ya vikwazo tunawekewa nchi uchwara ni vikwazo vya mabavu kana no fly zone ,kuzuia biashara kwa namna ya mabavu , vikwazo vya namna hiyo uwezi kuviweka kwa russia
Kama Mombasa aisee
Remittance is not an investment