Malobabrian
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 254
- 298
Kalia io..mgeni ni weweWewe mgeni humu, haya unayoyapost tulishamaliza kitambo sana na Wakunya wenzio wote walikubali kwamba no slums in Tz.
Kalia io..mgeni ni weweWewe mgeni humu, haya unayoyapost tulishamaliza kitambo sana na Wakunya wenzio wote walikubali kwamba no slums in Tz.

Something sounds good and curious. Umenipa jambo ambalo sikuwa nimelifikiria hapo kabla. Ni kweli wasikurupuke wafanye utafiti kidogo. Hii miradi ya mwendo kasi ingefanyika hata huku pembezoni mfano Bagamoyo road to Bagamoyo town to Mkata,au hapo vipi?Chalinze-Morogoro highway is our economy mainstay si sawa kuwa toll highway wakati is the only link to Dar port from upcountry! Waziri aepuke mradi wa namna hii. Siafiki hapa!
Eti hizo picha ni za Haiti! 😂 😂 😂
Hawa Zanzibar ningelikuwa president ningelifuta habari za serikali ya Mapinduzi inawafanya wajisahau kwamba Zanzibar ni mkoa wa Tz.



mzee unataka kufanya maamuzi magumu, kuna mambo yanachosha, sema makubaliano ya Muungano nayo ni shida.Mkuu una kitu fulani ambacho nami ninacho kwa kweli ninapenda sana miji iliyopangwa, na Watanzania wengi tuko hivyo, tunapenda kuona inafanyika hivyo.Shida sasa viongozi wetu sijui ni vipofu hawaoni kabisa kwamba uzuri wa miji ni mipangilio na siyo ujenzi holela.Kwahyo Watu wa mipango miji hawawezi kabisa kufanya kazi kama hii? Sijaona cha maana kwenye suala la mipango miji kwenye miji yetu mingiView attachment 2244209
Tony254 Hujawai jua the 3 reason as to why mtu anaeza kuchukia..ni as follows...You Threaten Them 2. They Hate Themselves 3. They Want to Be Like You.Wewe chuki yako ya Kenya ilianzia wapi? Mbona unaichukia Kenya sana?
Ukanda wa kusini unaenda kufunguka. Miradi isichelewe kuanza pasipo sababu za msingi.So hizi barabara na airports zinaenda kujengwa
View attachment 2244223
Sasa hii Dar mnayoshabikia hapa ndio haijapangika mwanzo mwishoMkuu una kitu fulani ambacho nami ninacho kwa kweli ninapenda sana miji iliyopangwa, na Watanzania wengi tuko hivyo, tunapenda kuona inafanyika hivyo.Shida sasa viongozi wetu sijui ni vipofu hawaoni kabisa kwamba uzuri wa miji ni mipangilio na siyo ujenzi holela.
Iyo ni phase 4 mkuu na pesa zake zipo tayar tangu mwaka juzi ila brt itaishia Tegeta kibaoniSomething sounds good and curious. Umenipa jambo ambalo sikuwa nimelifikiria hapo kabla. Ni kweli wasikurupuke wafanye utafiti kidogo. Hii miradi ya mwendo kasi ingefanyika hata huku pembezoni mfano Bagamoyo road to Bagamoyo town to Mkata,au hapo vipi?
Hii Zanzibar ina historia tatanishi sana. Waarabu walikuwa wanawatumikisha Waafrika kama watumwa kwa Karne nyingi. Kuna huyu Mjaluo kutoka Uganda kwa jina la John Okello alikwenda Zanzibar na kuwachinja Waarabu sana. Hii historia hatukufunzwa shuleni. Nimekuja kuisoma juzi tu humu mitandaoni.mzee unataka kufanya maamuzi magumu, kuna mambo yanachosha, sema makubaliano ya Muungano nayo ni shida.
Ni sehemu chache ambazo hazijapangika na ni uzembe wa viongozi wetu. Kuna miji mingi sana hapa Tanzania imeanza kuchipua hii ndio tunaipigia kelele wawahi kufika na kuipanga. Hasa sehemu za vijijini wanapoona ni mashamba kumbe ndani ya muda mfupi tayari imekua.Sasa hii Dar mnayoshabikia hapa ndio haijapangika mwanzo mwisho
Lakini mbona naona kama wanachelewa kuanza? Tatizo ni nini, tender au mkandarasi?Iyo ni phase 4 mkuu na pesa zake zipo tayar tangu mwaka juzi ila brt itaishia Tegeta kibaoni
Ni kweli kuna mambo mengi yapo chini ya kapeti, kuna mtu mmoja alijifanya kutaka kufukunyua sana huu muungano kaishia kuisikilizia mbali Ikulu.Hii Zanzibar ina historia tatanishi sana. Waarabu walikuwa wanawatumikisha Waafrika kama watumwa kwa Karne nyingi. Kuna huyu Mjaluo kutoka Uganda kwa jina la John Okello alikwenda Zanzibar na kuwachinja Waarabu sana. Hii historia hatukufunzwa shuleni. Nimekuja kuisoma juzi tu humu mitandaoni.
View attachment 2244268View attachment 2244269
Waarabu wengine walitorokea Ughaibuni na mmoja wao ni yule ambaye alishinda Nobel prize in literature.John Okello - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Humu kuna mafala wanajifanya wanamikiki jukwaa na wanataka u post vinavyowafurahisha..Napost vle nataka...wewe weka zako na mjadala uendele,mgeni namna gani ulitaka nibishe nikafunguliwe
Hakuna picha za kuokota hapo. Si mfunge account We don't care.Tukiwagonga huwa mnakimbilia picha za kuokoteza! Niko na nyie wiki hii! Hapa na-compile picha za slums hapo Nairobi!