Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatisha mkuu.
village2.jpg
 
Sasa unabisha nini?,;Kenya ndiyo nchi ya kwanza Afrika kujitambua serikali ya Did Amin baada ya kumpindua Obote, Kenya ndiyo nchi ya Kwanza kumkaribisha Did Amin na kumpa heshima zote Kama rais wa nchi.

Kenya ilikataa kuwakaribisha wapinzani wote wa Did Amin ambao walikimbia Uganda wakiwa na lengo la kumpindua serikali ya Amin, Kenya mliwatelekeza na kuwaambia watafute nchi ingine kwa kuogopa Did Amin angeishambulia Kenya, Sasa Kama mlikataa kuwasaidia waganda waliokua wanauliwa na Idd Amin, vipi mnajisifia kuwasaidia Israel kuwakomboa mateka wao?, Kwahiyo Kenya mpo tayari kuwasaidia watu weupe lakini suo5 waafrika wenzenu Kama mlivyofanya enzi za ukombozi wa Afrika.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawa sijui wana umri gani hata ukiwaelewesha kwa vitu vilivyo wazi hawaelewi. Ninahisi mitaala yao ya elimu kuna mahali walipotoshwa wakalishwa shubiri mwitu.
 
We are so useless that Iddi Amin was afraid of attacking Kenya and decided to attack Tanzania which has a stronger military than Kenya? What type of logic is that?
Hata wewe ukizungukwa na mtu mwenye nguvu na mwingine dhaifu attention yako itakuwa kwa yupi? Kama sio kwa mwenye nguvu maana huyu mdhaifu hata ukimgeuzia mgongo hawezi kukudhuru maana hana nguvu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Picha zina miaka zaidi ya 10! Unataka kipindupindu? 2022 in Nairobi..



Zii tumeweka measures labda irudi tu dar,kigoma,rukwa,katavi
Msisahau ni juzi tuu..
Screenshot_20220529-235538.jpg
Screenshot_20220529-235554.jpg
Screenshot_20220529-235929.jpg
Screenshot_20220529-235916.jpg

 
Mzee, there is a difference between monitoring an airspace of not only one country by radar and requesting clearance for landing... Hio "kuomba kutua" unaongelea landing clearance where the ATC of the specific airport is responsible, just like take off clearance and taxing clearance... Hata JNIA hawezi kupeana landing clearance ya Kilimanjaro airport.

Kwa the second story sioni mahali Norfolk ilibomiwa na ndege...mbona unaenda off topic
Kwahiyo uliposema Kenya ilikua Ina control airspace ya Tanzania ulimaanisha nini?,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Zii tumeweka measures labda irudi tu dar,kigoma,rukwa,katavi
Msisahau ni juzi tuu..View attachment 2244013View attachment 2244014View attachment 2244015View attachment 2244016
In Kenya cholera outbreaks occurs in Nairobi almost every after one year.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom