Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Hapo bottom right naona daladalaNilikua nadhani ni jokes, kumbe haka kastation ni kadogo hivi.
![]()
Hapo bottom right naona daladalaNilikua nadhani ni jokes, kumbe haka kastation ni kadogo hivi.
![]()
Mbona umesahau sweet aroma breeze from Kibera.Sasa wewe pia nenda kule ukafurahie hali tulivu ya hewa safi, mandhari ya kuvutia, na upigwe na kibaridi cha Gigiri usahau joto la Dar for a minute
Ntapost Mkuu Tonny ngoja nitafute makaratasi yenyewe yalipo, Maana sijaona umuhimu wake, Wakati nasoma ughaibuni kuna mtu raia wa nje aliniona kupitia social media yangu, Akaniambia ukirudi njoo kwenye kampuni yangu upige kazi , Nilivyokuja tu nikaenda ofisini kwake kaniambia nianze kazi kesho yake, Sijawahi peleka hata hizo certificates na nina uhakika sintapeleka tena popote hata Copy yake. Kwa kuwa siku nikitoka kwake siombi kazi tena popote kwani hapa najiandaa kufanya yangu mwenyewe.
BTW nimeishi ughaibuni kwa Miaka zaidi ya kumi baada ya High school na nimeishi huko hadi Nilipopata masters nikarudi zangu.
View attachment 2241150
Hiko Kiatu kwa Bei ya Bongo ni kama Laki tano na Kitu, najua hutaamini ila ndio bei yake. Nikichanganya na hiyo bei ya saa unafungua duka, Btw angalia hilo koti La Moncler na bei zake kwa ajili ya rejea
View attachment 2241164
Nilikua napenda Sana Bike enzi hizo hata hapa nyumbani nilinunua Ki SYM Xross .
Hiki hapa ki YSM xross 125 nikitoka kuangalia kiwanja changu kigamboni, Niligongwa na Dereva Taxi pale Palm beach nikakauza siku hiyo hiyo nikahamia kwenye zile asset zako
ki F20 cha 2012




Sijui kazitoa wapi hizi pichaUpo dar nini unajaribu kutafuta slums but uzioni unaishia kupost tu
Kidogo ifanane na CRDB makao makuu DAR.Central Bank of Kenya (CBK) pension towers iliyozinduliwa rasmi jana na rais Uhuru Kenyatta.
View attachment 2241425
View attachment 2241430View attachment 2241431View attachment 2241433View attachment 2241434View attachment 2241435View attachment 2241436View attachment 2241437View attachment 2241438View attachment 2241439View attachment 2241440
View attachment 2241459View attachment 2241462View attachment 2241465
Nimeshamwambia lakini hataki kuelewa.Dar hakuna udongo mgumu na wa rangi hiyo umeuziwa matango pori
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Iyo gdp baada ya hivi viwanda kuanza rasmi itakua inaongezeka kwa $10b+ kwa mwaka, kuna watu pressure zinapanda..
Kishindo cha Samia,hakuna cha visingizio na excuses za kisenge eti tunajenga sgr..
Point ni kwamba uchafu huo haumaanishi kwamba kuna njia isiyo ya lami.Kwahiyo hao wazungu kila kinachotokea kwao ni "positive?"
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Magna cum laudeThat magma cum laude is for Bachelor's degree of Science in Mechanical Engineering. And throughout my secondary school education, i was the best student in Basic Mathematics every year, & I also tool addition mathematics and effortlessly passed with A in both form four and form six national exams, but additional maths with B in form four. Ukitaka ushahid wa awards za best student in mathematics nakutumia humu publicly (for just one, look at pic below: tokeo la form 4). So kuwa na heshima/adabu😅
Kuongezea
(Mathematics is my best subject ever, i really love it, unfortunately sikutaka nibase kwenye maths kwa maana kusomea degree yake; niliplan niwe engineer).. but kama itawezekana in future, napenda niwe na cheti (degree) cha mathematics kutoka chuon ili hata nikiwaambia watoto na wajukuu kuwa naipenda maths, niwaonyeshe na evidence ya degree yake pia 🤣 View attachment 2241407
Tatizo ahadi zimekuwa nyingi bila vitendo, unaenda mwaka huu tunatembea na miradi ile ile ila ahadi zimekuwa lukuki.Iyo gdp baada ya hivi viwanda kuanza rasmi itakua inaongezeka kwa $10b+ kwa mwaka, kuna watu pressure zinapanda..
Viwanda 200 sio mchezo
Nchi ambayo inatupa pesa ndefu kwa hizi transformers ni Kenya, tunawauzia maelfu ya transformers.
Aisee!Nimefuta picha yangu. Nilikuwa nataka kupost kwa dakika chache tu. Kuhusu swali lako. Nilifanya kazi mwaka mmoja unusu kabla ya kupata fully paid Czech government scholarship. Unalipiwa kila kitu kwa miaka miwili ya masomo ikiwemo monthly stipend ya upkeep.
Baada ya kurudi nyumbani June 2019, nilipata kazi baada ya mwezi mmoja tu ya kuwasili. Ni miaka mitatu sasa baada ya kuwasili Kenya. Ukiongeza na mwaka mmoja unusu ile ya awali basi nimefanya kazi miaka minne unusu pekee.
Sidhani kama zinafanana. Crdb hq ina 14 floors linganisha hio na cbk tower ambayo ina 27 floors. Ila zinatoshana kabisa kwenye bei. Majengo yote mawili yalicost around $25 million kujenga. So bei ni same, sasa wewe mwenyewe jiulize nani kapigwa!Kidogo ifanane na CRDB makao makuu DAR.
www.emporis.com
Tanzania kuna zaidi ya viwanda vi5 vya kutengeneza mita na vinatosheleza mahitaji ya mita, Tanzania haiagizi mita kutoka njeWho manufacturers electronics in Tanzania? Hata bulb pekee mnamanufacture nyinyi? Unadhani kumanufacture electronics from scratch ni mchezo? 🤣🤣