Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you know the meaning of the word 'inland city' that you used? Ama hii ndio kubadilisha gear hewani?

And just in case you didn't know, there are so many rivers in Nairobi
Embu post hapa madaraja ya hizo rivers in Nairobi nicheke kidogo. There is a difference between a river and a stream.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu.. hii kitu inabidi niiwekee malengo yake.. at least pia niwe na degree nyingine ya mathematics
Yaani ni bonge la CV kubwa watu Mathematics wanatafutwa sana hata nje, kikiwa vizuri ni LULU. Kama uko kazini unaweza kuapply Open University mitaala yao iko vizuri kwa wafanyakazi na watu ambao muda wao hautoshi kuwa darasani wakati wote. Pia vyuo vya nje Online Courses vinafundisha pia.
 
Najua haya mambo hamjazoea huko kwenu glorified fishing village but it's called preserving green spaces. Nairobi ni green city under the sun. Hapo ni Gigiri ambapo makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapatikana. Besides that, kuna embassies nyingi sana hilo eneo ikiwemo za Marekani na Canada among many others. So usishangae sana. Ukifika Nairobi jaribu utembee maeneo hayo. Utarudi kwenu uswazini na maswali mengi sana bila kupata majibu
Sijawahi kuwa na hamu ya kuja kutembea Nairobi nasikia crine rate ni kubwa sana maana mimi ni reveller naogopa profiling. I have been there few times kikazi lakini sichezi mbali na hotel nazofikia Sarova Stanley, Panari au the Bomas.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
The same street.
Daily Life in Dar
Upo dar nini unajaribu kutafuta slums but uzioni unaishia kupost tu
 
Embu post hapa madaraja ya hizo rivers in Nairobi nicheke kidogo. There is a difference between a river and a stream.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
So it's no longer about 'inland cities shouldn't experience flooding' to now 'nionyeshe madaraja"
You are becoming delusional!
 
That magma cum laude is for Bachelor's degree of Science in Mechanical Engineering. And throughout my secondary school education, i was the best student in Basic Mathematics every year, & I also tool addition mathematics and effortlessly passed with A in both form four and form six national exams, but additional maths with B in form four. Ukitaka ushahid wa awards za best student in mathematics nakutumia humu publicly (for just one, look at pic below: tokeo la form 4). So kuwa na heshima/adabu[emoji28]

Kuongezea
(Mathematics is my best subject ever, i really love it, unfortunately sikutaka nibase kwenye maths kwa maana kusomea degree yake; niliplan niwe engineer).. but kama itawezekana in future, napenda niwe na cheti (degree) cha mathematics kutoka chuon ili hata nikiwaambia watoto na wajukuu kuwa naipenda maths, niwaonyeshe na evidence ya degree yake pia [emoji1787] View attachment 2241407
Kudos mzee...mm namba zilikua zinanigonga sana...I was gud in phy,chem &Biol, nikasoma pcb later medicine
 
Sijawahi kuwa na hamu ya kuja kutembea Nairobi nasikia crine rate ni kubwa sana maana mimi reveller naogopa profiling. I have been there few times kikazi lakini sichezi mbali na hotel nazofikia Sarova Stanley, Panari au the Bomas.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa kama akina Serena Williams come here and have a good time sasa wewe hustler nani atakuwa na haja ya kukuprofile?! 😂
Next time you are in Nairobi tembea yale maeneo uone hali ya utulivu na mandhari ya kuvutia yaliopo kule.
 
Back
Top Bottom