Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa unataka nitishike kwa sababu nimesoma na kugraduate? Hahaha [emoji1787][emoji28] Jamaa anataka nitishike kwa sababu ya kusoma hadi chuo kikuu. Majority ya watu hapa JF hawajamaliza hata high school. Siwezi kupata aibu kwa sababu ya werevu ambao nimepewa na Mungu. So far bado hakuna Mtanzania yeyote aliyepost degree certificate yake humu Including NDINDA anayeringa bila kupost chochote.
Vyeti ni makaratasi tu kama cheti cha ndoa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
In a room of full professors, no one calls himself a prof.. unamvimbia nan sasa kama wote ni maprof, lbd kama kuna na maDr ndan kujiita prof kidogo utaleta heshima (kujivimbia).. im a degree holder too kutoka USA and masters kutoka UDSM (ya juzijuzi tu hapa) ... kama hutaki kuamin niseme tu nimeishia la saba [emoji28].. na sijakutisha sababu umesoma.. what i did is kujua details zako mana ulificha kwa cheti.. and through them nimejua majina yako na grade ulizopata (mana kuna waliopata 1st class honours, 2nd class honours upper division & lower division)..hata wew najua ulipata ngap.. thats all.. & through them ninaweza kujua humu ndan unasema ukwel au unadanganya.. mana nyie kwa kusema uongo hamjambo. Ila kuwa na aman [emoji111]
View attachment 2241214
Heheheheeee mpaka sasa tayari Watz wawili hapa wamesoma mbele, wao wanatamba na videgree vya Maseno, samahani bwana Tony ngoja na mm nikupige kdg [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hongereni wafanyakazi, chonde chonde mkiwa mnatupita na STK,STJ,msitumwagie maji machafu barabarani kwa kuvimba kwenu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tafadhali sana
 
In a room of full professors, no one calls himself a prof.. unamvimbia nan sasa kama wote ni maprof, lbd kama kuna na maDr ndan kujiita prof kidogo utaleta heshima (kujivimbia).. im a degree holder too kutoka USA and masters kutoka UDSM (ya juzijuzi tu hapa) ... kama hutaki kuamin niseme tu nimeishia la saba 😅.. na sijakutisha sababu umesoma.. what i did is kujua details zako mana ulificha kwa cheti.. and through them nimejua majina yako na grade ulizopata (mana kuna waliopata 1st class honours, 2nd class honours upper division & lower division)..hata wew najua ulipata ngap.. thats all.. & through them ninaweza kujua humu ndan unasema ukwel au unadanganya.. mana nyie kwa kusema uongo hamjambo. Ila kuwa na aman ✌
View attachment 2241214
Tony254 , unajua Magna cum laude ni nn?
 
NDINDA Sawa. Kwanza, Mimi sitapinga na kusema kwamba unadanganya wala nini. Kwa uungwana wangu nitakubali kwamba hizi picha kweli ni zako.
Pili, sitadanganya kwamba nimefanya kazi kwa muda mrefu kukushinda kwa sababu nimefanya kazi kwa miaka michache tu. Umri wangu bado mdogo sana. Sasa nakubali pia upo mbele yangu kwenye mambo ya asset acquisition. Japo nami pia ninajaribu kujiendeleza upande huo.
Mzee aliyefanikiwa kama wewe unastahili kutupatia motisha sisi vijana wadogo tuliomaliza masomo juzi na kufanya kazi kwa miaka michache tu. Hongera. Mimi sipo JF kudhihaki au kudharau yeyote. Sasa sielewi kwa nini watu wasiheshimiane. Tuheshimiane tu kwa sababu kila mtu ana path yake ya maisha. Hapa nikiwa masomoni nje [emoji116] [emoji116]
View attachment 2241217View attachment 2241218
NDINDA co mzee wacha woga ni kijana kama wewe na huenda umemzidi umri au mko sawa au kakupita kdg, wengine wamezaliwa familia za kipato cha juu kufanikiwa kama kuvunja bua la mhindi vilee kama kina Simon na wengine pia hustling na mipango ya Mungu pia, so mtu kuendelea co lazima awe mtu mzima au mzee.
 
NDINDA co mzee wacha woga ni kijana kama wewe na huenda umemzidi umri au mko sawa au kakupita kdg, wengine wamezaliwa familia za kipato cha juu kufanikiwa kama kuvunja bua la mhindi vilee kama kina Simon na wengine pia hustling na mipango ya Mungu pia, so mtu kuendelea co lazima awe mtu mzima au mzee.
Soja unajua unaongea hapa na bado hujatuonyesha yako.
 
In a room of full professors, no one calls himself a prof.. unamvimbia nan sasa kama wote ni maprof, lbd kama kuna na maDr ndan kujiita prof kidogo utaleta heshima (kujivimbia).. im a degree holder too kutoka USA and masters kutoka UDSM (ya juzijuzi tu hapa) ... kama hutaki kuamin niseme tu nimeishia la saba 😅.. na sijakutisha sababu umesoma.. what i did is kujua details zako mana ulificha kwa cheti.. and through them nimejua majina yako na grade ulizopata (mana kuna waliopata 1st class honours, 2nd class honours upper division & lower division)..hata wew najua ulipata ngap.. thats all.. & through them ninaweza kujua humu ndan unasema ukwel au unadanganya.. mana nyie kwa kusema uongo hamjambo. Ila kuwa na aman ✌
View attachment 2241214
Pamoja mkuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20210701-113440_Chrome.jpg
    Screenshot_20210701-113440_Chrome.jpg
    40 KB · Views: 26
  • Screenshot_20210701-113502_Chrome.jpg
    Screenshot_20210701-113502_Chrome.jpg
    53.9 KB · Views: 24
  • Screenshot_20210701-113555_Chrome.jpg
    Screenshot_20210701-113555_Chrome.jpg
    52 KB · Views: 25
  • Screenshot_20210701-113606_Chrome.jpg
    Screenshot_20210701-113606_Chrome.jpg
    51.9 KB · Views: 22
  • Screenshot_20210701-113653_Chrome.jpg
    Screenshot_20210701-113653_Chrome.jpg
    47.9 KB · Views: 23
  • Screenshot_20210701-113616_Chrome.jpg
    Screenshot_20210701-113616_Chrome.jpg
    55.3 KB · Views: 25
So unajua unaongea hapa na bado hujatuonyesha yako.
Mm sijasoma mbwa wewe mzee wa kuomba cheti, eti kasoma university of Nairobi, eti ana ajira alafu anavaa buti lina mashavu na infinix yenye 2gb Ram, nenda kadanganye chokoraa wenzio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
In a room of full professors, no one calls himself a prof.. unamvimbia nan sasa kama wote ni maprof, lbd kama kuna na maDr ndan kujiita prof kidogo utaleta heshima (kujivimbia).. im a degree holder too kutoka USA and masters kutoka UDSM (ya juzijuzi tu hapa) ... kama hutaki kuamin niseme tu nimeishia la saba [emoji28].. na sijakutisha sababu umesoma.. what i did is kujua details zako mana ulificha kwa cheti.. and through them nimejua majina yako na grade ulizopata (mana kuna waliopata 1st class honours, 2nd class honours upper division & lower division)..hata wew najua ulipata ngap.. thats all.. & through them ninaweza kujua humu ndan unasema ukwel au unadanganya.. mana nyie kwa kusema uongo hamjambo. Ila kuwa na aman [emoji111]
View attachment 2241214
Nilisema mie [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom