Kwa kawaida.. binadam huwa tunapewa kushow off kitu cha thaman ulichonacho kuzid.. now imagine kaenda sijui kusoma nje.. lkn kapost cheti cha chuo cha maseno 😂😂
yan umesoma nje ila unapost maseno tena kwa kufichaficha kisijulikane🙄😂
Kibaya zaid naweza kumtrack majina yake na kujua ukweli anayoyasema.. kaonyesha graduation year (12/2015), school aliyosomea (business & economics), na jina lake moja (TONY), huko mtandaon maseno inatoa graduation booklet kila mwaka inaonyesha list ya waliograduate mwaka husika na school husika
View attachment 2240857