Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimecapture hii just a moment ago.. ndege mbil za mbal sana zinapishana
Hio yenye moshi inaonekana ilikuwa na spid, mana before..huyo mwingine alikuwa karibu..mara naona kapitwa distance ndefu after intersection point
20220528_070015.jpg
 
Your level of stupid is terrible!
Haiondoi ukweli kwamba Samia keshaizidi legacy...

Kila kitu kinaenda smoothly bila excuses za kindezi ndezi eti hatupandishi salaries kwa sababu tunajenga sgr and such nonsense...

Sasa hivi pesa ya kujengea sgr sijui Bwawa nk vimetika wapi na salaries,posho na madaraja vimepanda?

Failures huwa Wana excuses nyingi Sana.Kuendesha Uchumi wa Nchi ni sayansi ya akili sio kubweka bweka kama mbwa na kufanya maigizo ya kipumbavu.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-192638.png
    Screenshot_20220527-192638.png
    95 KB · Views: 31
  • Screenshot_20220527-192730.png
    Screenshot_20220527-192730.png
    59.7 KB · Views: 28
Nimecapture hii just a moment ago.. ndege mbil za mbal sana zinapishana
Hio yenye moshi inaonekana ilikuwa na spid, mana before..huyo mwingine alikuwa karibu..mara naona kapitwa distance ndefu after intersection point
View attachment 2241742
Ngoja wazee wa infinix 2gb Ram nao wapige picha kama hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwaka mmoja bado mapema kukamilisha Big project
Mtu mwenye chuki hawezi ona miradi mipya,iko mingi Sana naweza jaza Seva bure..

Kilichobadilika ni kuitumia kutafuta sifa lukuki..mfano anaesema hakuna mradi mpya anafahamu kwamba ujenzi wa sgr ya makutopora -Tabora ni mradi mpya, barabara ya Pangani -Mkange ni mradi mpya,kuna hospital za Rufaa 5 mpya za Mikoa zinajengwa nk nk..

Wewe si ni mtu wa Afya kama huna Kazi awamu ya 6 inawatafutia kazi so hii inakuhusu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-084839.png
    Screenshot_20220528-084839.png
    99.6 KB · Views: 31
  • Screenshot_20220528-084809.png
    Screenshot_20220528-084809.png
    140.6 KB · Views: 30
N Mbona umesahau sweet aroma breeze from Kibera.
ti9n
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
The simple fact that you guys mention Kibera every time a debate comes up says a lot about Dar. Just shows your city lacks anything in Nairobi to compare it with except slums like Kibera. Anyway, just to remind you, Kibera ipo mbali sana na Gigiri, but you can always be directed there ukaone mazingira ambayo umezoea Dar kama ya Gigiri yatakuwa yanakupa chenga. You are most welcome
 
Mtu mwenye chuki hawezi ona miradi mipya,iko mingi Sana naweza jaza Seva bure..

Kilichobadilika ni kuitumia kutafuta sifa lukuki..mfano anaesema hakuna mradi mpya anafahamu kwamba ujenzi wa sgr ya makutopora -Tabora ni mradi mpya, barabara ya Pangani -Mkange ni mradi mpya,kuna hospital za Rufaa 5 mpya za Mikoa zinajengwa nk nk..

Wewe si ni mtu wa Afya kama huna Kazi awamu ya 6 inawatafutia kazi so hii inakuhusu [emoji116]
Siyo Afya tu hata Walimu wa Kiswahili wangesaidiwa kutafutiwa ajira huko nje, kuna uhitaji mkubwa sana na hapa nchini wapo wengi waliohitimu. Nawapongeza Wizara ya Afya kwa kufanya hivi.
 
Siyo Afya tu hata Walimu wa Kiswahili wangesaidiwa kutafutiwa ajira huko nje, kuna uhitaji mkubwa sana na hapa nchini wapo wengi waliohitimu. Nawapongeza Wizara ya Afya kwa kufanya hivi.
Tutawafikishia wahusika..

Fursa za mafunzo na ujenzi wa studio za kisasa hizi hapa kutoka China 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-080910.png
    Screenshot_20220528-080910.png
    122.3 KB · Views: 23
  • Screenshot_20220528-081056.png
    Screenshot_20220528-081056.png
    45 KB · Views: 27
Uchumi hafifu 😂 😂 😂 😂
Mwaka ulioisha kwa sehemu ulikuwa ni mwaka wa kufukia mashimo na kuziba viraka na matobo.. Uchumi ulikuwa kwenye growth rate ya 4% na Sasa uko kwenye 4.9-5.2%

As from next financial year kuna maelfu ya miradi kila sekta yatakayoturudisha kwenye growth rate ya 5.6- 6% ..
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-092734.png
    Screenshot_20220528-092734.png
    105.4 KB · Views: 31
  • Screenshot_20220528-093141.png
    Screenshot_20220528-093141.png
    233.5 KB · Views: 28
  • Screenshot_20220528-093020.png
    Screenshot_20220528-093020.png
    118.1 KB · Views: 28
Back
Top Bottom