Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Soja The best 007 na primary school dropout chongchung wakifunguliana mangumi. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

1653674852624.png
 
Mm sijasoma mbwa wewe mzee wa kuomba cheti, eti kasoma university of Nairobi, eti ana ajira alafu anavaa buti lina mashavu na infinix yenye 2gb Ram, nenda kadanganye chokoraa wenzio
Umemwaga povu gunia mzima. Ukizoea kuomba vitu usidhani kila mtu ako kama wewe.
 
Ingekuwa inaingia mfukoni mwa wanasiasa saa hii Tanzania ingekuwa imeshinda Kenya when it comes to the number of

1. Total paved roads
2. People connected to the electricity
3. Primary Schools, Secondary Schools and Universities
4. Hospitals
5. Enclosed markets.
6. Bigger ports.
7. Industries
Hata sasa tunawaahinda kwenye umeme Vijijini,maji mjini na kijijini nk..

Hata sekta ya Afya tunazidi kuwadukua kama hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-191617.png
    Screenshot_20220527-191617.png
    146 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220527-214104.png
    Screenshot_20220527-214104.png
    165.1 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220527-214134.png
    Screenshot_20220527-214134.png
    45 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220525-225904.png
    Screenshot_20220525-225904.png
    253.1 KB · Views: 12
NDINDA Sawa. Kwanza, Mimi sitapinga na kusema kwamba unadanganya wala nini. Kwa uungwana wangu nitakubali kwamba hizi picha kweli ni zako.
Pili, sitadanganya kwamba nimefanya kazi kwa muda mrefu kukushinda kwa sababu nimefanya kazi kwa miaka michache tu. Umri wangu bado mdogo sana. Sasa nakubali pia upo mbele yangu kwenye mambo ya asset acquisition. Japo nami pia ninajaribu kujiendeleza upande huo.
Mzee aliyefanikiwa kama wewe unastahili kutupatia motisha sisi vijana wadogo tuliomaliza masomo juzi na kufanya kazi kwa miaka michache tu. Hongera. Mimi sipo JF kudhihaki au kudharau yeyote. Sasa sielewi kwa nini watu wasiheshimiane. Tuheshimiane tu kwa sababu kila mtu ana path yake ya maisha. Hapa nikiwa masomoni nje
View attachment 2241217View attachment 2241218

Ni kweli Tony, Kuhusu path ya Maisha kila mtu ana yake na haifai kudhihaki, Mimi siwezi dhihaki njia yoyote ya Maisha anayofuata mtu. Mimi nimebahatika kuona watu wanaoishi , Yaani unajijua live mimi kweli nasurvive siishi. Pia nimewahi kukaa na watu matajiri na wanaotoka mataifa Tajiri na walioendelea na kuona wanavyoishi na wanabishana kuhusu usafi wa miji yao. Wakati mimi naabudu mji flani ulivyomsafi kuna mtu anauponda na kusema mchafu . Basi hapo ndio unapojua hujui. Je wewe umefanya kazi miaka mingapi toka umemaliza shule? Inawezekana hatujaachana sana
 
Hili nalo neno mkuu. Wataanza kufanyiana vigisu vigisu kupangiana safari, kuharibiana mood ya kazi, kuhonga/kuhongwa ili wapangiwe safari.
Hizo pesa zimeongezwa kuwasaidia viongozi na Wakuu wa Taasisi ila mwenzangu na mimi hadi upate safari mpaka aamue huyo huyo boss..

Pia watakaofaidika na hizo posho ni watu wanaofanya Kazi sekta ya Afya kwa sababu ya nights, emergency na exta time..

Pia watu walioko TanRoads, Tarura na RUWASA na taasisi kama hizo maana Wana Kazi za site moja kwa moja.
 
Ni kweli Tony, Kuhusu path ya Maisha kila mtu ana yake na haifai kudhihaki, Mimi siwezi dhihaki njia yoyote ya Maisha anayofuata mtu. Mimi nimebahatika kuona watu wanaoishi , Yaani unajijua live mimi kweli nasurvive siishi. Pia nimewahi kukaa na watu matajiri na wanaotoka mataifa Tajiri na walioendelea na kuona wanavyoishi na wanabishana kuhusu usafi wa miji yao. Wakati mimi naabudu mji flani ulivyomsafi kuna mtu anauponda na kusema mchafu . Basi hapo ndio unapojua hujui. Je wewe umefanya kazi miaka mingapi toka umemaliza shule? Inawezekana hatujaachana sana
Nimefuta picha yangu. Nilikuwa nataka kupost kwa dakika chache tu. Kuhusu swali lako. Nilifanya kazi mwaka mmoja unusu kabla ya kupata fully paid Czech government scholarship. Unalipiwa kila kitu kwa miaka miwili ya masomo ikiwemo monthly stipend ya upkeep.

Baada ya kurudi nyumbani June 2019, nilipata kazi baada ya mwezi mmoja tu ya kuwasili. Ni miaka mitatu sasa baada ya kuwasili Kenya. Ukiongeza na mwaka mmoja unusu ile ya awali basi nimefanya kazi miaka minne unusu pekee.
 
Hizo pesa zimeongezwa kuwasaidia viongozi na Wakuu wa Taasisi ila mwenzangu na mimi hadi upate safari mpaka aamue huyo huyo boss..

Pia watakaofaidika na hizo posho ni watu wanaofanya Kazi sekta ya Afya kwa sababu ya nights, emergency na exta time..

Pia watu walioko TanRoads, Tarura na RUWASA na taasisi kama hizo maana Wana Kazi za site moja kwa moja.
Ndio hivyo mkuu watu wasio na maamuzi ndio watapigwa bench sana labda awe na mahusiano mazuri na boss. Hapa sasa kujipendekeza kwa bosi watu watafanya sana
 
Back
Top Bottom