Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtu mwenye chuki hawezi ona miradi mipya,iko mingi Sana naweza jaza Seva bure..

Kilichobadilika ni kuitumia kutafuta sifa lukuki..mfano anaesema hakuna mradi mpya anafahamu kwamba ujenzi wa sgr ya makutopora -Tabora ni mradi mpya, barabara ya Pangani -Mkange ni mradi mpya,kuna hospital za Rufaa 5 mpya za Mikoa zinajengwa nk nk..

Wewe si ni mtu wa Afya kama huna Kazi awamu ya 6 inawatafutia kazi so hii inakuhusu
Mm sitafuti kazi...hao wanaosema hawaoni miradi mipya wasikusumbue maana inawezekana wanafuatilia zaidi habari za udaku
 
Labda mambo yako ndio hayaendi unajumuisha mambo hayaendi unaweza defend?
Unapoteza muda kujadiliana na huyo,anavyomuelezea huyo Magu unaweza dhani Magu alikamilisha mradi hata mmja wakati kiuhalisia hadi anakufa hata km 200 za reli zilishindikana kumalizika kwa miaka yote aliyokaa madarakani..

Muulize Magu alikamilisha mradi Gani hasa? Hana jibu..

Kwa mda mfupi tuu mama kajenga vituo vya afya 234 kwa mwaka mmja wakati Mwendazake alijenga na kukarabati vya zamani kwa ujumla 353 for 6 years sasa unaweza ona hapo nani anafanya Kazi..

Kwenye elimu, maji kuna maelfu ya miradi imekamilika na inaendelea..Nyumba hizi za watumishi wa Afya zimejengwa mwaka uliopita 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-085207.png
    Screenshot_20220528-085207.png
    141.6 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220528-085044.png
    Screenshot_20220528-085044.png
    122.4 KB · Views: 15
Mm sitafuti kazi...hao wanaosema hawaoni miradi mipya wasikusumbue maana inawezekana wanafuatilia zaidi habari za udaku
😂😂 Nilikuwa nafikisha ujumbe tuu mkuu,hakuna jobless atashinda kwenye mitandao maana bando lenyewe mtihani..

Mwaka wa Fedha ujao una maelfu ya miradi na mwezi ujao wa Sita Rais atazindua kuanza ujenzi wa miradi 28 kusambaza maji 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220525-192603.png
    Screenshot_20220525-192603.png
    105.5 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220525-190304.png
    Screenshot_20220525-190304.png
    188.6 KB · Views: 16
Unapoteza muda kujadiliana na huyo,anavyomuelezea huyo Magu unaweza dhani Magu alikamilisha mradi hata mmja wakati kiuhalisia hadi anakufa hata km 200 za reli zilishindikana kumalizika kwa miaka yote aliyokaa madarakani..

Muulize Magu alikamilisha mradi Gani hasa? Hana jibu..

Kwa mda mfupi tuu mama kajenga vituo vya afya 234 kwa mwaka mmja wakati Mwendazake alijenga na kukarabati vya zamani kwa ujumla 353 for 6 years sasa unaweza ona hapo nani anafanya Kazi..

Kwenye elimu, maji kuna maelfu ya miradi imekamilika na inaendelea..Nyumba hizi za watumishi wa Afya zimejengwa mwaka uliopita 👇
JPM hajakaa madarakani miaka 6 wacha ku-exaggerate mambo!
 
JPM hajakaa madarakani miaka 6 wacha ku-exaggerate mambo!
Tupe uwiano wa miaka 5 aliyokaa na alichofanya tulinganishe na alichofanya Samia..

Weka hapa tulinganishe kuanzia makusanyo hadi matumizi na matokeo across all sectors..

Maji Kwa Samia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220525-082552.png
    Screenshot_20220525-082552.png
    99 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220328-115637.png
    Screenshot_20220328-115637.png
    100.4 KB · Views: 16
Unajua kumtetea mtu lazma uwe smart kichwani, sasa huu u-fanatism unaofanya haumsaidii mama!
Nimesema weka hapa Takwimu za mwaka mmja wa Magufuli tulinganishe acha ufala..

Pili mimi sijatumwa na Samia najituma mwenyewe..

Vituo vya afya hivi hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220328-114505.png
    Screenshot_20220328-114505.png
    98.7 KB · Views: 16
Kishindo kingine cha Samia hiki hapa kimfikie Geza and the likes..

Bajeti ya Tarura kutoka bil.272 hadi bil.802 ndani ya mwaka mmja tuu👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220328-115000.png
    Screenshot_20220328-115000.png
    152.9 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220329-160231.png
    Screenshot_20220329-160231.png
    239.1 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220329-162800.png
    Screenshot_20220329-162800.png
    226.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220329-162855.png
    Screenshot_20220329-162855.png
    243.8 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220406-153134.png
    Screenshot_20220406-153134.png
    266.2 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220402-230047.png
    Screenshot_20220402-230047.png
    160.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220522-164714.png
    Screenshot_20220522-164714.png
    220.5 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220528-101217.png
    Screenshot_20220528-101217.png
    246.6 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220528-101832.png
    Screenshot_20220528-101832.png
    138.6 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220327-202239.png
    Screenshot_20220327-202239.png
    195.5 KB · Views: 16
Kishindo kingine cha Samia hiki hapa kimfikie Geza and the likes..

Bajeti ya Tarura kutoka bil.272 hadi bil.802 ndani ya mwaka mmja tuu👇
Utaira ulionao ni kushindwa kujua miradi yote hii unayoiweka imeanzishwa na JPM 😅😅😅

Na huna akili sababu hujui namna serikali inafanya kazi, yaani hakuna hata kimoja Samia kafanya zaidi ya kupokea zile pesa za uviko, hizi barabara, miradi ya maji, sgr, ndege 5 zijazo, kila kitu ni legacy, ukitaka jinyonge
 
Magufuli kaingia madarakani kakuta TRA inakusanywa billion 850 kwa mwezi, kaondoka TRA inakusanya trillion 1.3 ongezeko la billion 500, kichaa anachekelea mishahara kuongezwa hajui aliefanya mapato yapande mishahara iongezeke ni nani! 😂😂😂

Anyway idiots are just idiots

 
Huyo sii fundi simu wewe kilaza, huyo anatengeneza simu from scratch. Kuna siku mmebrag humu vile mnaintroduce new generation token meters ambazo mtu haitaji kubonyeza code kwa meter. Mnajua hizo meter zimetoka wapi? Ni huyo kijana mbetsa anazitengeneza kwa factory yake akiwauzia. Tazama video kama huna bundles useme.
Akimuuzia nani? 😅😅😅
 
Utaira ulionao ni kushindwa kujua miradi yote hii unayoiweka imeanzishwa na JPM 😅😅😅

Na huna akili sababu hujui namna serikali inafanya kazi, yaani hakuna hata kimoja Samia kafanya zaidi ya kupokea zile pesa za uviko, hizi barabara, miradi ya maji, sgr, ndege 5 zijazo, kila kitu ni legacy, ukitaka jinyonge
Kubishana na huyo kilaza ni kujichosha tuu huyo ni mzee wa mapambio tuu usipoteze mda wako
 
Jana umekimbia nilivyokuuliza uback up ur claims kuhusu africab kuwa ni kampuni ya kenya
Sikukimbia, ni kuwa wise maanake wengine wenu humu mnapenda ubishi tu. Utaonyeshwa ila utabisha tu kama unavyoona hapa mnavyobisha hustle ya kijana Mbetsa ambaye amejenga kampuni ya kuunda electronics hadi akaitwa ikulu ya Marekani na nimewapea video ila mnapisha eti anafanya kazi ya kurepair simu. Juzi mkasema kuna slum statehouse Kenya nikawauliza muonyeshe hiyo slum kwa Google maps mkashindwa yet bado mnabisha tu. Sasa kuna haja gani ya kudebate na mtu aina hiyo? Si heri umuache aamini anachotaka kuamini?
 
Back
Top Bottom