Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mi nilijaribu Ku search Chuo chake Maseno nikaona kipo huko Kisumu ila kina Vijitawi kadhaa najua Kitawi kingine kipo Moi Avenue kama ndio hiko Tony kasomea basi hakina tofauti na Datastar au Amazon College Bongo J/K

BTW niliangalia Maseno ina rank Kama chuo cha Elfu saba na kitu duniani, mimi chuo nilichipitia kipo Top 300. Kwa wanavyopenda Sifa na ranking mpaka hapo sifanani nae .

Pia kuna Swala la Private Car kama asset kwa jinsi alivyogaragara nalo huko mi sipo. Non of my Business.
DATASTAR AND AMAZON COLLEGE Ngoja tu niendelee kufurahi, kozi zake sasa Hotel Management, Tourism,House Keeping. Shauri yako mkuu
 
Iringa, Lake Manyara na Tanga ni muhimu sana kwenye Utalii..Pia hizo barabara za South tanzania ni muhimu cause ya Uzalishaji wa mazao mengi ,hasa Mahindi, Parachichi na Korosho
Apo nampa100
 
Iringa, Lake Manyara na Tanga ni muhimu sana kwenye Utalii..Pia hizo barabara za South tanzania ni muhimu cause ya Uzalishaji wa mazao mengi ,hasa Mahindi, Parachichi na Korosho
Kwa Tanga pia bandari hilo bomba litaleta Waganda wengi sana wa cargo Mwambaoni na airport ya Tanga inabidi kupanuliwa iwe at least na 2500 m runway!
 
Angalia kitu kama hiki pia nataka dyfre ambaye ni mjenzi na Tony254 ambaye ni somehow sober atoe tu honest review kama tofauti na Nairobi kuna estate ipi nyingine inaweza kupambana na hii new upcoming estate in Dodoma

dyfre hizi ndio nyumba Watanzania wanazitaka kwa sasa contemporary design, Dodoma ndani ya miaka mitano ijayo haishikiki


levels... 👏🏽
 
When it's Tanzania borrowing then it's good but when it comes to Kenya it becomes bad.
Iyo maneno umetoa wap? Tunataka maendeleo sote so kinachohitajika ni kuchukua mikopo kwa tahadhari kubwa...na kufanya maendeleo mana bado tuko nyuma sana ...Mi natamani kuona kila barabara inalami nzuri as long as watu wanaishi wanaenjoy life
 
Jamaa ananitishia eti atani-expose kwa sababu niligraduate. Jamaa anaenda hadi kwa graduation booklet just to try to scare me. Hahaha. Some people are desperate. Sasa hata akijua jina yangu itamsaidia na nini na yeye hata high school hajamaliza?
Instead of proving that you didn't graduate, yeye anaona ati atakuaibisha akiprove to JF members that you truly graduated. Again the University you graduated from is only led by one University from Tanzania which is UDSM. Zingine zote zinasoma number.
 
Iyo maneno umetoa wap? Tunataka maendeleo sote so kinachohitajika ni kuchukua mikopo kwa tahadhari kubwa...na kufanya maendeleo mana bado tuko nyuma sana ...Mi natamani kuona kila barabara inalami nzuri as long as watu wanaishi wanaenjoy life
Are you not one of the Tanzanians who usually ridicule Kenya when we take loans? Why is it that all over sudden you changed the tone?
 
Kwahiyo mafundi simu unawaweka level moja na minerals dealers? 😂😂😂😂
Huyo sii fundi simu wewe kilaza, huyo anatengeneza simu from scratch. Kuna siku mmebrag humu vile mnaintroduce new generation token meters ambazo mtu haitaji kubonyeza code kwa meter. Mnajua hizo meter zimetoka wapi? Ni huyo kijana mbetsa anazitengeneza kwa factory yake akiwauzia. Tazama video kama huna bundles useme.
 
Sasa unataka nitishike kwa sababu nimesoma na kugraduate? Hahaha Jamaa anataka nitishike kwa sababu ya kusoma hadi chuo kikuu. Majority ya watu hapa JF hawajamaliza hata high school. Siwezi kupata aibu kwa sababu ya werevu ambao nimepewa na Mungu. So far bado hakuna Mtanzania yeyote aliyepost degree certificate yake humu Including NDINDA anayeringa bila kupost chochote.

Ntapost Mkuu Tonny ngoja nitafute makaratasi yenyewe yalipo, Maana sijaona umuhimu wake, Wakati nasoma ughaibuni kuna mtu raia wa nje aliniona kupitia social media yangu, Akaniambia ukirudi njoo kwenye kampuni yangu upige kazi , Nilivyokuja tu nikaenda ofisini kwake kaniambia nianze kazi kesho yake, Sijawahi peleka hata hizo certificates na nina uhakika sintapeleka tena popote hata Copy yake . Kwa kuwa siku nikitoka kwake siombi kazi tena popote kwani hapa najiandaa kufanya yangu mwenyewe.

BTW nimeishi ughaibuni kwa Miaka zaidi ya kumi baada ya High school na nimeishi huko hadi Nilipopata masters nikarudi zangu.


Hiko Kiatu kwa Bei ya Bongo ni kama Laki tano na Kitu, najua hutaamini ila ndio bei yake. Nikichanganya na hiyo bei ya saa unafungua duka , Btw angalia hilo koti La Moncler na bei zake kwa ajili ya rejea

IMG_7505.jpg



Nilikua napenda Sana Bike enzi hizo hata hapa nyumbani nilinunua Ki SYM Xross .


Hiki hapa ki YSM xross 125 nikitoka kuangalia kiwanja changu kigamboni, Niligongwa na Dereva Taxi pale Palm beach nikakauza siku hiyo hiyo nikahamia kwenye zile asset zako ki F20 cha 2012
 
Nimesema i dont expect you to. Ni nini tena alafu lines za yellow zimedo nini?barabara inatumika kutwa kucha since 2016 unexpect ikuwe as perfect as siku ilijengwa, not like utaipa like siku ya kujengwa pia anyway mzee hata Usa barabara hazipo perfect.
New York
View attachment 2241073
Cali

View attachment 2241075
Alafu hawa kwnn huwa wanapenda kutumia mifano ya miji iliyoendelea dhidi ya shit hole yao? Unafananishaje miji iliyoendelea ambapo roads zao more than 90% ziko poa na kamji ambako kana vumbi na roads zenye potholes zisizo na idadi? Wacheni ujinga msirudie tena upumbavu huo.
 
Dar should borrow a leaf from Dodoma, at least Dodoma from the sky has a sense of organization which could've been replicated in Dar... it'll take long for Dar to re-organize those randomly arranged houses making up like 90% of it... whether you like it or not, that's the mere truth, Nairobi has it's own fair share of disorganization with the unplanned settlements (slums) but definitely insignificant in size as compared to Dar...
Muwe na adabu na Dodoma kuanzia leo, cc kwa sasa tumeshaachana na Dar tupo na Dom mzee, c unajua Tz maendeleo ni nchi nzima.
 
Huyo sii fundi simu wewe kilaza, huyo anatengeneza simu from scratch. Kuna siku mmebrag humu vile mnaintroduce new generation token meters ambazo mtu haitaji kubonyeza code kwa meter. Mnajua hizo meter zimetoka wapi? Ni huyo kijana mbetsa anazitengeneza kwa factory yake akiwauzia. Tazama video kama huna bundles useme.
Kwahiyo Tanzania nzima kumekosekana mtu mpaka tuje Kunyaland! Una wazimu wewe!
 
Back
Top Bottom