Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NDINDA naona unanitafuta sana na utanipata tu. Mimi nimepost sehemu ndogo sana ya maisha yangu. Hujui lolote kunihusu sasa unapocheka kwamba nimesomea Maseno university unanishangaza sana. Halafu unasema kwamba sina exposure kwamba nimejifungia ndani yet wiki mbili zilizopita nilipost hapa air ticket yangu nikienda majuu kwa masomo zaidi.

Wewe zaidi ya picha uchwara unayopost hapa hujawahi kupost chochote kuhusu maisha yako. Upo sure umesoma sana kunishinda? Upo sure una kazi nzuri kunishinda? Upo sure una exposure kunishinda? Narudia kwamba nimepost asilimia ndogo sana ya maisha yangu humu.
Sasa wewe endelea kucheka. Tukienda battle ya watu wawili mimi na wewe upo sure utanishinda? Unajua ninafanya kazi gani, kwa kampuni gani? Kama upo willing kuanika maisha yako hata mimi nipo willing kuanika maisha yangu, sasa tuanze battle. Kama unajiamini. Uwache ujinga.
🤣🤣 hivyo vitisho.. on ground im sure uhalisia ni zero..hamna chochote.. kwenye maneno 100 ondoka na moja tu 😂..
nimekumbuka "next time, i wont show you even my nails if you ask for them" 😂
 
🤣🤣 hivyo vitisho.. on ground im sure uhalisia ni zero..hamna chochote.. kwenye maneno 100 ondoka na moja tu 😂..
nimekumbuka "next time, i wont show you even my nails if you ask for them" 😂
Ashakubali waweke wazi sasa vitisho iko wapi hapo? Huyo NDINDA angekubali tu waweke kila kitu wazi kama anajiamini. But now that you are talking on his behalf says a lot
 
Dodoma inakuja taratibu....
Wazee tukawekeze kwenye huu mji
tapatalk_1653645673001.jpg
tapatalk_1653645659134.jpg
 
Ashakubali waweke wazi sasa vitisho iko wapi hapo? Huyo NDINDA angekubali tu waweke kila kitu wazi kama anajiamini. But now that you are talking on his behalf says a lot
Kwa kawaida.. binadam huwa tunapewa kushow off kitu cha thaman ulichonacho kuzid.. now imagine kaenda sijui kusoma nje.. lkn kapost cheti cha chuo cha maseno 😂😂
yan umesoma nje ila unapost maseno tena kwa kufichaficha kisijulikane🙄😂

Kibaya zaid naweza kumtrack majina yake na kujua ukweli anayoyasema.. kaonyesha graduation year (12/2015), school aliyosomea (business & economics), na jina lake moja (TONY), huko mtandaon maseno inatoa graduation booklet kila mwaka inaonyesha list ya waliograduate mwaka husika na school husika
Screenshot_20220527-152648_Google.jpg
 
Wewe hakuna kitu utaonesha kipya humu ndani, we all know that ka Nairobi and Kenya as a whole are being sorrounded by slums everywhere and every corner of the country, the truth is after every 1 rich person's house there are more than 1,000 mabati houses in Kenya and I can prove it to you through Google earth.

I have always been telling you to mention any county in Kenya and I will show you a slum around it but you always end up hesitating to do that.

So these cherry peeking pictures ain't save u at all.
 
Kwa kawaida.. binadam huwa tunapewa kushow off kitu cha thaman ulichonacho kuzid.. now imagine kaenda sijui kusoma nje.. lkn kapost cheti cha chuo cha maseno [emoji23][emoji23]
yan umesoma nje ila unapost maseno tena kwa kufichaficha kisijulikane[emoji849][emoji23]

Kibaya zaid naweza kumtrack majina yake na kujua ukweli anayoyasema.. kaonyesha graduation year (12/2015), school aliyosomea (business & economics), na jina lake moja (TONY), huko mtandaon maseno inatoa graduation booklet kila mwaka inaonyesha list ya waliograduate mwaka husika na school husika
View attachment 2240857

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi nilijaribu Ku search Chuo chake Maseno nikaona kipo huko Kisumu ila kina Vijitawi kadhaa najua Kitawi kingine kipo Moi Avenue kama ndio hiko Tony kasomea basi hakina tofauti na Datastar au Amazon College Bongo [emoji1787]J/K

BTW niliangalia Maseno ina rank Kama chuo cha Elfu saba na kitu duniani, mimi chuo nilichipitia kipo Top 300. Kwa wanavyopenda Sifa na ranking mpaka hapo sifanani nae .

Pia kuna Swala la Private Car kama asset kwa jinsi alivyogaragara nalo huko mi sipo[emoji1787]. Non of my Business.
 
Nilikuwa nazungumza kuhusu 2017-2019 ambapo nilikuwa nje ya nchi kwa masomo zaidi. Nilipost hio air-ticket yangu hapa. NDINDA hajawahi kupost anything personal kuhusu maisha yake lakini anadharau watu wengine.
😂 kwahiyo umehifadhi tiketi ya ndege toka 2017-18 kwa ajili ya kulingishia kama ulipanda ndege
 
Wewe hakuna kitu utaonesha kipya humu ndani, we all know that ka Nairobi and Kenya as a whole are being sorrounded by slums everywhere and every corner of the country, the truth is after every 1 rich person's house there are more than 1,000 mabati houses in Kenya and I can prove it to you through Google earth.

I have always been telling you to mention any county in Kenya and I will show you a slum around it but you always end up hesitating to do that.

So these cherry peeking pictures ain't save u at all.
'After every 1 rich person's house there are more than 1,000 mabati houses', whatever that means ndio hii hapa 😂 😂 😂.
Screenshot_20220527-003427~2.png
Screenshot_20220527-005042~2.png
Screenshot_20220527-004945~2.png
Screenshot_20220527-004329~2.png
Screenshot_20220527-004307~2.png
Screenshot_20220527-004828~2.png
Screenshot_20220527-004646~2.png
Screenshot_20220527-004137~2.png
Screenshot_20220527-004123~2.png
Screenshot_20220527-004414~2.png
Screenshot_20220527-004347~2.png
Screenshot_20220527-003956~2.png
Screenshot_20220527-003609~2.png


Now do the comparison
Screenshot_20220527-124538~2.png
Screenshot_20220527-155502~2.png
Screenshot_20220527-160154~2.png
Screenshot_20220527-160113~2.png
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-124538.png
    Screenshot_20220527-124538.png
    496.3 KB · Views: 26
Wewe hakuna kitu utaonesha kipya humu ndani, we all know that ka Nairobi and Kenya as a whole are being sorrounded by slums everywhere and every corner of the country, the truth is after every 1 rich person's house there are more than 1,000 mabati houses in Kenya and I can prove it to you through Google earth.

I have always been telling you to mention any county in Kenya and I will show you a slum around it but you always end up hesitating to do that.

So these cherry peeking pictures ain't save u at all.
'After every 1 rich person's house there are more than 1,000 mabati houses', whatever that means ndio hii hapa 😂 😂 😂.
View attachment 2240866View attachment 2240867View attachment 2240868View attachment 2240870View attachment 2240871View attachment 2240872View attachment 2240874View attachment 2240878View attachment 2240882View attachment 2240883View attachment 2240884View attachment 2240886View attachment 2240887

Now do the comparison
View attachment 2240914View attachment 2240916View attachment 2240917View attachment 2240919
 
Back
Top Bottom