Ntapost Mkuu Tonny ngoja nitafute makaratasi yenyewe yalipo, Maana sijaona umuhimu wake, Wakati nasoma ughaibuni kuna mtu raia wa nje aliniona kupitia social media yangu, Akaniambia ukirudi njoo kwenye kampuni yangu upige kazi , Nilivyokuja tu nikaenda ofisini kwake kaniambia nianze kazi kesho yake, Sijawahi peleka hata hizo certificates na nina uhakika sintapeleka tena popote hata Copy yake [emoji1787][emoji41]. Kwa kuwa siku nikitoka kwake siombi kazi tena popote kwani hapa najiandaa kufanya yangu mwenyewe.
BTW nimeishi ughaibuni kwa Miaka zaidi ya kumi baada ya High school na nimeishi huko hadi Nilipopata masters nikarudi zangu.
View attachment 2241150
Hiko Kiatu kwa Bei ya Bongo ni kama Laki tano na Kitu, najua hutaamini ila ndio bei yake. Nikichanganya na hiyo bei ya saa unafungua duka [emoji1787], Btw angalia hilo koti La Moncler na bei zake kwa ajili ya rejea [emoji41]
View attachment 2241164
Nilikua napenda Sana Bike enzi hizo hata hapa nyumbani nilinunua Ki SYM Xross .
View attachment 2241152
View attachment 2241153
View attachment 2241154
Hiki hapa ki YSM xross 125 nikitoka kuangalia kiwanja changu kigamboni[emoji1787][emoji41], Niligongwa na Dereva Taxi pale Palm beach nikakauza siku hiyo hiyo nikahamia kwenye zile asset zako[emoji1787] ki F20 cha 2012
View attachment 2241163