Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Canadian investors show interest in ICT manufacturing 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-123435.png
    Screenshot_20220527-123435.png
    95.3 KB · Views: 24
Zote hizo ni sehemu moja tena hakuna slums hapo

Nairobi yote ni slums na huwezi kuziondoa kwa kubisha huku jf 😅😅😅

Eti hii ni slums!

View attachment 2240143
View attachment 2240142
Kwa hivyo Buguruni, Keko, Vingunguti na hayo maeneo mengine ni sehemu moja? Wewe kweli bongolala.

List yako imetaja Ruai as one of the slums. Now take a look at this Google image of Ruai below and compare with this high-end area in Dar 😂 😂
Screenshot_20220527-124538~2.png
Screenshot_20220527-003956~2.png
 
SKyscarapercity palikua poa sana Miaka ya 2010s Members wa kikenya wengi wapo abroad kwa hiyo wana exposure na wastaarabu na wanakubali pale wamepigwa,
Member wengi wa Kenya humu wa maseno[emoji1787]J/K hata kama yupo Nairobi hajawahi share picha aliyepiga yeye akiwa hata kwenye matatu[emoji1787] Inamaana wao wanakaa mdani tu kama utumbo hawatoki hata school trip? Au hawana simu zenye kamera?

wakenya Kama Kenguy wa skyscrapercity ni mtu poa sana na alikua anapost hata content za Tz kabla hatujapata members wengi na baadae kuwa na subforum yet. Kule kuna section ya kupost picha za members na wengi tunajuana kwa sura kama umewahi angalia picha ya member mwingine. Na wakenya ambao tumebefriend tukiongea pembeni wapo peace na wanasema kule tunazingua tu. Kazi ipo kwa hawa wenye vyeti hapa [emoji1787]


Kuna Nairoberry humu sijui ndio yule yule wa SSC ila wa humu ni kituko au kwa kuwa humu yupo huru [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Tunaishia hapa.

Kuna wakulungwa wa Kibongo nawakubali sana Skyscrapercity na Humu pia wanatumia Id hizo hizo, Wanatufumbua macho sana Mkuu Bantugbro na Chamoto na Geza Ulole[emoji41]Kudos guys.
We do post picha ambazo tumezipiga sisi wenyewe, ila wenzenu hawaezi commend hata mara moja and it's not like we expect them to. I remember I always like some pictures you post and even leave a positive comment on them, I've never seen you do so. The only person here who I've seen mature enough to leave positive comments ni tuusan otherwise hata upost the best infrastructural project on earth, likes of Geza Ulole chongchung The best 007 will always find a way to demerit 😅

I took these yester evening while relaxing.. Mombasa
IMG_20220526_165124_660.jpg

IMG_20220526_171046_232.jpg

IMG_20220526_171359_873.jpg

IMG_20220526_164601_313.jpg

IMG_20220526_164609_481.jpg
IMG_20220526_164616_299.jpg
IMG_20220526_165236_823.jpg
IMG_20220526_165138_385.jpg
IMG_20220526_165313_831.jpg
IMG_20220526_165444_712.jpg
IMG_20220526_171038_064.jpg
IMG_20220526_164434_253.jpg
 
SKyscarapercity palikua poa sana Miaka ya 2010s Members wa kikenya wengi wapo abroad kwa hiyo wana exposure na wastaarabu na wanakubali pale wamepigwa,
Member wengi wa Kenya humu wa maseno[emoji1787]J/K hata kama yupo Nairobi hajawahi share picha aliyepiga yeye akiwa hata kwenye matatu[emoji1787] Inamaana wao wanakaa mdani tu kama utumbo hawatoki hata school trip? Au hawana simu zenye kamera?

wakenya Kama Kenguy wa skyscrapercity ni mtu poa sana na alikua anapost hata content za Tz kabla hatujapata members wengi na baadae kuwa na subforum yet. Kule kuna section ya kupost picha za members na wengi tunajuana kwa sura kama umewahi angalia picha ya member mwingine. Na wakenya ambao tumebefriend tukiongea pembeni wapo peace na wanasema kule tunazingua tu. Kazi ipo kwa hawa wenye vyeti hapa [emoji1787]


Kuna Nairoberry humu sijui ndio yule yule wa SSC ila wa humu ni kituko au kwa kuwa humu yupo huru [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Tunaishia hapa.

Kuna wakulungwa wa Kibongo nawakubali sana Skyscrapercity na Humu pia wanatumia Id hizo hizo, Wanatufumbua macho sana Mkuu Bantugbro na Chamoto na Geza Ulole[emoji41]Kudos guys.
Umemaliza mkuu!!
 
TBT
Top CIA na KGB visiting each others private homes! Ukraine was non factor by then!


MY TAKE
Kweli Siasa ni mambo ya common interests!
Kweli mzee, kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu. Upepo ukibadilika kwenye maslahi na mtu anakubadilikia na kuamua kuufuata.
 
We do post picha ambazo tumezipiga sisi wenyewe, ila wenzenu hawaezi commend hata mara moja and it's not like we expect them to. I remember I always like some pictures you post and even leave a positive comment on them, I've never seen you do so. The only person here who I've seen mature enough to leave positive comments ni tuusan otherwise hata upost the best infrastructural project on earth, likes of Geza Ulole chongchung The best 007 will always find a way to demerit 😅

I took these yester evening while relaxing.. Mombasa
View attachment 2240579
View attachment 2240583
View attachment 2240585
View attachment 2240587
View attachment 2240590View attachment 2240596View attachment 2240598View attachment 2240606View attachment 2240608View attachment 2240610View attachment 2240612View attachment 2240614
sasa mimi ni-support shoddy work ili iweje angalia hizo lines za yellow halafu uniambie mbona ni-support upuuziu?
 
Back
Top Bottom