Leo hiyo ndiyo umepata ujasiri wa kuongelea vyeti, wallahi dunia inazunguka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado hujatosheka nikuongeze na transcripts?
I have been talking about certificates since 2021. Kama umechelewa class shauri yako. Tony254 can you remember this discussion.Leo hiyo ndiyo umepata ujasiri wa kuongelea vyeti, wallahi dunia inazunguka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We slum boy acha ujingaBado hujatosheka nikuongeze na transcripts?
😂😂😂 Jamaa wanafurahisha haoMkuu usiingie kwenye mkenge, hamna degree holder hapo, mm nmekuwa nikimtesa mda mrefu, hata jana nikawachana sana wakunya hawaoneshi vyeti, huyo mbwa alikuwa mpole kama ilivyo kawaida tunaoongelea suala la vyeti, ila leo baada ya kuomba cheti cha mtu akaanza kuongelea suala la vyeti from nowhere ili niongelee suala la vyeti zen atume humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utameza hivyo hivyoDah, mi sijui kilichotokea manaake Magu mwenyewe alikuwa kama anatuaga na kutoa wosia kila akitoa hotuba.
Ila Uturn waliyoipiga kwenye korona, ilikuwa siyo yakawaida. Halafu wale wote waliokuwa wanampinga Magu mitandaoni, kuanzia yule mama wa BBC, Nape, Januari n.k... ndo wako nae bega kwa bega. Dah, ngumu kumeza aisee.
Alaf ikawaje wewe ushindwe kuweka certificate yako kipindi cha mwaka mzima.?I have been talking about certificates since 2021. Kama umechelewa class shauri yako. Tony254 can you remember this discussion.
View attachment 2239242View attachment 2239243View attachment 2239245
Kwa mujibu wa AfDB tuzo ilitakiwa kutolewa 2020 ila sasa kuna jamaa alikataa chanjo sasa sijui angeshiriki vipi mdahalo au nani wangemuwakilisha 😬😬😬😬Mwendazake alikuwa akiji-acknowledge yeye tu miradi ya Kikwete!
Hizo cashewnuts mnalima wapi?Cashew nut processing factory in Vipingo is complete. Kenya is on the move.
View attachment 2239117View attachment 2239120View attachment 2239123
Njooni mnunue korosho Tzn tunazo kama zote.Cashew nut processing factory in Vipingo is complete. Kenya is on the move.
View attachment 2239117View attachment 2239120View attachment 2239123
I agreed with the person I was arguing with that nieke certi zangu na yeye pia aweke zake akashindwa Venye wewe pia ulishindwa😂😂Alaf ikawaje wewe ushindwe kuweka certificate yako kipindi cha mwaka mzima.?
Ujinga ni wewe na jirani yako.We slum boy acha ujinga
Hata kama ulienda chuo japo nina mashaka sana basi GPA yako haizidi 2.2 kama unabisha weka hapa tuone.Huko nilipita kitambo, unadhani mimi ni school dropout kama wewe?
Hawa wakubwa nao ndio hao hao matumbo makubwa kufanya nchi yao. Lakini wanafanya juhudi gani maeneo ya wazi yasiporwe ?Haya mambo ni magumu kuwalaumu tu Wizara ya ardhi siyo fair, kwa maana mara nyingi wanaochukuwa hayo maeneo ni wakubwa sana tena wa mihimili sasa watoa vibali hawawezi kuzuia kitu, Muhindi anakuja na barua kutoka juu kwamba aidhinishiwe mara moja, ofisa ardhi hawezo fanya kitu!
Seychelles tops the African continent by far in Per capita index, some people don't know when to draw a line with opposing even facts... There are 155 islands in the archipelago, most of them are not even occupied, you can imagine all the wealth being shared by only 98,000 people. Industry, agriculture,fishing, let alone tourism...they do lots of trading as well. Victoria, the capital with a population of only 26,000... check out the number of ships coming to dock at the horizon, the number of tourist yachts ...this is a big economy per Capita, Kenya could only wish for such..Ukipenda kajinyonge. Narudia kwa mara ya tatu kwamba Seychelles is the richest country in Africa. Sitabadilisha kauli yangu kwa sababu chokoraa fulani wa JF anapinga.