Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna Chuo kimemega, kuna Hotel pia nafikiri ni Southern sun kama sikosei wamemega na jengo lingine pia hapo pembeni pia limemega eneo la botanic garden!
Hata ukumbi wa wa Mikutano ya Kimataifa zilipo ofisi ya Mambo ya nje wamemega pia eneo la wazi, ubalozi nafikiri ni wa Denmark walimega pia eneo la wazi.

Original map ya Dar kuna Park kubwa sana ina extend mpaka Baharini hata ilipo Serena yote ni eneo la wazi, hata ufukwe wa Posta ya zamani mbele ya makanisa Azania front na St.Joseph ukivuka barabara wakati wa Ukoloni ilikuwa ni park ng‘ambo tu ya barabara ina extend mpaka feri !
Botanical garden haijamegwa labda uniambie gymkhana Southern sun iko upande mwingine wa Botanical garden

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nchi ya neema hii mkuu, halafu eti niende Ulaya kutafuta maisha kama mkimbizi? Ikiwa nimepata kazi ya uhakika sawa lakini kubahatisha siwezi. Kuna watu huko hawali chakula organic kama hicho chako
Jamaa hao wanadandia hadi tairi ya ndege alimradi wafike utumwani Ulaya maana maisha ya utumwa kwao ni bora kuliko maisha ya Kenya.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kuna Chuo kimemega, kuna Hotel pia nafikiri ni Southern sun kama sikosei wamemega na jengo lingine pia hapo pembeni pia limemega eneo la botanic garden!
Hata ukumbi wa wa Mikutano ya Kimataifa zilipo ofisi ya Mambo ya nje wamemega pia eneo la wazi, ubalozi nafikiri ni wa Denmark walimega pia eneo la wazi.

Original map ya Dar kuna Park kubwa sana ina extend mpaka Baharini hata ilipo Serena yote ni eneo la wazi, hata ufukwe wa Posta ya zamani mbele ya makanisa Azania front na St.Joseph ukivuka barabara wakati wa Ukoloni ilikuwa ni park ng‘ambo tu ya barabara ina extend mpaka feri !
Kama ndio hivyo ni shida sana,yale yale Wizara ya Ardhi ninasema tena walienda shule kusomea ujinga haingii akili watoe vibali sehemu ambazo haziruhusiwi kujengwa au isiyo matumizi sahihi, watu hawajengi, tena sehemu kama hizo pasipo kupewa go ahead na Manispaa, Jiji,watu wa mipango miji wanakera sana.
 
Cashew nut processing factory in Vipingo is complete. Kenya is on the move.

tapatalk_1653491321684.jpeg
tapatalk_1653491319239.jpeg
tapatalk_1653491316397.jpeg
 
Tulikuwa nayo mfano Mbezi Beach original map ya Mbezi beach ina kila kitu parks, public beaches, mito, maeneo ya shule lkn sasa hivi Mbezi beach watu wamejenga kwenye Mito na kuifukia maji yakitoka Mbezi juu kwenda Baharini hayana pa kupita matokeo yake mafuriko, beach karibia yote imejengwa wakati sheria za nchi ni Mita 50 ktk majini lazima pawe wazi, maeneo yalioyotengwa kwa ajili ya parks na michezo ya watoto yote wamejenga.

Sasa hivi ikinyesha mvua Mbezi beach hapapitiki kwa maana mito yote imejengwa maghorofa hivyo maji hayana pa kutiririkia !
Unaona sasa ni watu wazima na ndevu zao ndefu kama steel wire waliruhusu huu ujinga wote kutokea,hawastuki, hawaoni aibu,haiwasuti.

Kuna haja ya kuipanga upya hii miji yetu.Ukiwa ofisini kwao sasa wanajidai na kujiita wasomi utadhani usomi wao una tija yoyote ya maana,wamejaza mavyeti kumbe hayana maana kabisa.

Kuna watu ni nature yao kutokupenda vitu neatness,hawana maono, ubunifu wala uthubutu wa kufanya kitu kiwe kizuri, san sana utawasikia busy kusifia vya wengine, akili ya kuiga na kubuni hawana kabisaaa!!!
 
Hiv inakuaje mtu unakua na vyeti vya chuo kimoja vingi kiasi kile.? 😂😂😂. Au mwamba alisoma vi short course..?
Differentiate between transcripts and certificate. With this kind of reasoning I'm sure hata University ndio hukukanyaga.
 
Back
Top Bottom