Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe naona umechukua cheti cha mtu uje kulingisha huku, yani wewe ulivyo na mdomo mpana usioneshe cheti siku zote hizo uoneshe leo, rudisha cheti cha watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama ndio hivyo ni shida sana,yale yale Wizara ya Ardhi ninasema tena walienda shule kusomea ujinga haingii akili watoe vibali sehemu ambazo haziruhusiwi kujengwa au isiyo matumizi sahihi, watu hawajengi, tena sehemu kama hizo pasipo kupewa go ahead na Manispaa, Jiji,watu wa mipango miji wanakera sana.

Haya mambo ni magumu kuwalaumu tu Wizara ya ardhi siyo fair, kwa maana mara nyingi wanaochukuwa hayo maeneo ni wakubwa sana tena wa mihimili sasa watoa vibali hawawezi kuzuia kitu, Muhindi anakuja na barua kutoka juu kwamba aidhinishiwe mara moja, ofisa ardhi hawezo fanya kitu!
 
😂😂😂 Na ndio maana hata hajui kama mtu akimaliza chuo kikuu hupata cheti kimoja tu.. hizo transcript nyingi nyingi ni kwa wale wa short course
Wewe huwa unatudanganya kwamba umefika chuo kikuu. Kwa hivyo Universities za Tanzania haziwapi transcripts nne na degree certificate baada ya kugraduate? Mimi nina transcripts nne (ya first year, ya second year, ya third year na ya fourth year) Kisha nina degree certificate ambayo sijawahi kupost hapa. Wewe hujafika university kama hujui transcript ni nini na kama hujui kwamba mtu hupewa transcript ya kila mwaka aliyosoma. Mimi nilisoma miaka minne undergrad na ndio maana nina transcripts nne.

Na ujuwe hapa sizungumzii certificates zangu za CPA kwa sababu body inayotahini watahiniwa wa CPA ni body tofauti ya kitaifa inaitwa KASNEB (Kenya Accountants and Secretaries National Examinations Board).

Mimi ni mtu hata kama singeenda university, CPA niliyosoma pekee imenitosha kuandikwa kazi kama accountant. Watu wengi ninaofanya kazi nao wamesomea CPA pekee na wala hawajaenda chuo kikuu na wana kazi nzuri. Chuo kikuu nilienda kusomea uchumi na niliweka transcripts zangu hapa. Mtu aliye na degree pekee yupo sawa, aliye na CPA pekee yupo sawa, ila aliye na qualifications zote mbili ni hot cake.
 
Hehehe naona umechukua cheti cha mtu uje kulingisha huku, yani wewe ulivyo na mdomo mpana usioneshe cheti siku zote hizo uoneshe leo, rudisha cheti cha watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
You are allowed to cry

1653557022147.png
 
Ashaanza kulia ati nimeomba certificate😂😂
Hahaha. Usijali. Kenya kusoma sio shida. Shida huwa ni kupata kazi. Hio ndio imefanya wengine wetu tusome kama wazimu kiasi ya kuchelewa hata kuoa ili tupate top cream jobs. But huyo jamaa The best 007 amekuzoea sana sijui ni wivu au nini. Leo umemuweza by posting your certificate.
 
sio hapa hasa.. hivi ulimi uliteleza kiaći, nilimaanisha Kariakor
Kkoo tizama hayo magorofa kwa makini kisha hesabu karibu yote ni zaidi ya 10f kama unabisha zoom hiyo picha na kuna wakenya wanasema kkoo siyo CBD hivi kwa akili ya kawaida tu hapo siyo CBD? Hilo eneo unalo liona hapo ni nusu au asilimia 60% tu ya kkoo ndiyo maana hapo huoni kituo kikuu cha BRT wala SOKO LA KKOO.hapo wakenya wengi wakija dar wanapoteaga kila kukicha ndiyo maana yule vlog wa uganda alisema mombasa na nairobi siyo rahisi kupotea tofauti na dar
20220525_233857.jpg
 
Hahaha. Usijali. Kenya kusoma sio shida. Shida huwa ni kupata kazi. Hio ndio imefanya wengine wetu tusome kama wazimu kiasi ya kuchelewa hata kuoa ili tupate top cream jobs. But huyo jamaa The best 007 amekuzoea sana sijui ni wivu au nini. Leo umemuweza by posting your certificate.
Soja anasumbuliwa na wivu. Nishaimpostia hadi payslips zangu lakini bado ujinga umemjaza akilini.
 
Hahaha. Usijali. Kenya kusoma sio shida. Shida huwa ni kupata kazi. Hio ndio imefanya wengine wetu tusome kama wazimu kiasi ya kuchelewa hata kuoa ili tupate top cream jobs. But huyo jamaa The best 007 amekuzoea sana sijui ni wivu au nini. Leo umemuweza by posting your certificate.
Ww mwenyewe bwana Tony unajua fika kwamba ni uwongo, hv huyo mkunya jinsi alivyo na mdomo mpana asiweke cheti miaka yote hiyo namtesa ndiyo aweke leo, hapo kuna mawili huenda co chake au kakipata mwaka huu kama anabisha aweke mwaka tuone, mbona anaficha mpk chini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Halafu kuna ng'ombe inaitwa Sama boy haijui transcript ni nini. 😂 😂
That reasoning alone should tell you the kind of people we are dealing with. Hakuna venye mtu anaezafika University na akose kujua tofauti ya transcripts and Certificate. Alafu bila aibu anasema ati juu uko na certificates mingi, inaonekana unasoma courses short short 😂
 
Ww mwenyewe bwana Tony unajua fika kwamba ni uwongo, hv huyo mkunya jinsi alivyo na mdomo mpana asiweke cheti miaka yote hiyo namtesa ndiyo aweke leo, hapo kuna mawili huenda co chake au kakipata mwaka huu kama anabisha aweke mwaka tuone, mbona anaficha mpk chini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado hujatosheka nikuongeze na transcripts?
 
Hii sasa The best 007 atapinga kwa nguvu zake zote. Wanaona kama hatujasoma kwa sababu huwa tunacheka cheka nao hapa. Hawajui huku tunakuja kutoa stress za ofisi.
Hivi wewe Tony huyo mbwa asome university of Nairobi alafu miaka yote namtesa humu akae kimya na jinsi alivyo na mdomo mpana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe huwa unatudanganya kwamba umefika chuo kikuu. Kwa hivyo Universities za Tanzania haziwapi transcripts nne na degree certificate baada ya kugraduate? Mimi nina transcripts nne (ya first year, ya second year, ya third year na ya fourth year) Kisha nina degree certificate ambayo sijawahi kupost hapa. Wewe hujafika university kama hujui transcript ni nini na kama hujui kwamba mtu hupewa transcript ya kila mwaka aliyosoma. Mimi nilisoma miaka minne undergrad na ndio maana nina transcripts nne.

Na ujuwe hapa sizungumzii certificates zangu za CPA kwa sababu body inayotahini watahiniwa wa CPA ni body tofauti ya kitaifa inaitwa KASNEB (Kenya Accountants and Secretaries National Examinations Board).

Mimi ni mtu hata kama singeenda university, CPA niliyosoma pekee imenitosha kuandikwa kazi kama accountant. Watu wengi ninaofanya kazi nao wamesomea CPA pekee na wala hawajaenda chuo kikuu na wana kazi nzuri. Chuo kikuu nilienda kusomea uchumi na niliweka transcripts zangu hapa. Mtu aliye na degree pekee yupo sawa, aliye na CPA pekee yupo sawa, ila aliye na qualifications zote mbili ni hot cake.

That reasoning alone should tell you the kind of people we are dealing with. Hakuna venye mtu anaezafika University na akose kujua tofauti ya transcripts and Certificate. Alafu bila aibu anasema ati juu uko na certificates mingi, inaonekana unasoma courses short short 😂
Hahahaha nimeshambuliwa kama buru kenge 😂😂😂.. kumbe dhihaka inauma sana..? Sasa hiv mlivyojiskia ndivyo huwa, mkitukana wengine, hasa wewe mpuuzi nesi wa vidonda
 
Wewe kama hukusoma nyamaza. Certificate enyewe huna.
Tony254 unaona hàpa huyo mpuuzi baada ya kuomba cheti cha mtu akapata confidence ya kunijibu hivi. Yani hapo mapema kabisa alianza kuongelea vyeti ili nimjibu alafu atume hicho cheti, na hii ni baada ya jana kuwaponda Wakenya wengi hawaoneshi vyeti isipokuwa Tony pekee ndio jamaa akaona ngoja afanye juu chini aombe cheti aweke humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nairobi inavuliwa nguo na huyu mmarekani huko YouTube aisee 🤣

Kaanika slums zote peupe 😂😂😂

Kuna video juzi kati aliifanya akamwambia black American mwenzie kwamba Nairobi ni kuzuri kuliko Dar na ukienda Nairobi hurudi Dar, sasa sijui ni kituko gani hiki kaenda kukutana nacho yarabi 😂😂😂

 
[emoji106] Hapa kidogo umejikomboa utapata heshima humu ndani.. sasa mbona Bachelor holder, unafanya kazi kwenye ofisi chafu vile.? [emoji23][emoji23] nini shida.?
Mkuu usiingie kwenye mkenge, hamna degree holder hapo, mm nmekuwa nikimtesa mda mrefu, hata jana nikawachana sana wakunya hawaoneshi vyeti, huyo mbwa alikuwa mpole kama ilivyo kawaida tunaoongelea suala la vyeti, ila leo baada ya kuomba cheti cha mtu akaanza kuongelea suala la vyeti from nowhere ili niongelee suala la vyeti zen atume humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom