Haya Mambo huko Kenya ni mara kumi ya haya yanayofanyika Tanzania, pamoja na kuandika Katiba mpya, mkuu hili suala la Katiba mpya halina maana Sana kwa watanzania wa kawaida, hiyo ni zaidi kwa ajili ya "politicians".
Katiba haina polisi Wala jeshi la kusimamia matakwa yake, kiongozi anaweza kutotekeleza Katiba na hakuna lolote litatokea, Magufuli alipoamua kupiga marufuku mikutano ya vyama vya Siasa konyume kabisa na Katiba ya nchi, Je hiyo Katiba ilisaidia nini kuhakikisha utawala wa kisheria unakuepo?
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app