Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
Dadaake Diamond Huyu





Dadaake Diamond Huyu





Sure, halafu ni kama whole district mall sababu hakuna kitu kariakoo utakosa, na bei ni sawa na bure!Alafu cha ajabu ni kwamba kariakoo unaweza ukatembea umbali mrefu usikute dust bin lkn co pachafu, ila Nairobi sasa![]()
dar port sasa hvi inawanyima usingizi naona 🤣🤣Dredging of berth number 23 has started. Mombasa hakuna kupumzika like Dar which build a new berth after 20yrs.
View attachment 2235801
ama huyu ndo yule dadake niliskia anaitwa Queen Dareen.!🤔Dadaake Diamond Huyu![]()
Kama ni 300 per car
Hapa kweli wamemaliza. Hii ni touch downhii nilisema toka mwanzo itakua mwiba kwao na hapa ndipo wachina wamewamaliza![]()



Wamepigwa na kitu kizito. Kama walivyo taka kutupiga sisi na Bagamoyo Port.washaanza kujipigia hesabu na mapemayani mchina sio mtu mzuri
Kwa Sasa angalau speed imeongezeka.Sasa hapo kuna kumaliza kweli au tunabaki hapo hapo kama gari bovu??



Kama ni kweli hii habari inasikitisha sana, kwahiyo alikodi hotel nzima mwenyewe?
Hizi gharama kwa uchumi wetu huu?![]()
Fact.Shida ni kwamba hako kahela kalikoongezeka hakana impact yoyote mana vitu vimepanda bei maradufu. It's better wasingeongeza ila wangejitahidi kudhibiti mfumuko wa bei.
Kwa wenye magari.. mfano yangu full tank ni litres 93.. nilikuwa najaza mara mbili full tanks kwa almost 460k ( 230k×2)
Saiz najaza full tank mara mbili kwa almost 630k
Sasa difference hapo ni almost 170k.. ambao ni kulekule kwenye ongezeko, so ongezeko lote limeenda kwenye mafuta (kwa wafanyabiashara na serikal)
Sasa hapo bado gharama zingine vya vyakula, ujenzi, etc. 2025 mtalii akapumzike












.