Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
BS hii ni Bullshit..inakera yaniAlafu ndo kapewa msalato huyo![]()
BS hii ni Bullshit..inakera yaniAlafu ndo kapewa msalato huyo![]()
Sasa kamba gani wakati umesema kuwa dar utumbo unauzwa juu kwa juu , mm najua dar kukuta utumbo buchani ni ndoto ,utumbo ni kama kongoro tu uwezi kuzikuta buchani isipokuwa machinjioni na kwenye vibanda maalumu . Labda useme nimekosea nilipo sema tz ...ila mm nilimaanisha dar ..kwadaa hadi kuna vibanda vya utumbo tu .buchani awataki shombo ya utumbo igusane na nyamaWewe unaishi wap?
Unakamba sana we jamaa...
Moshi ukienda buchani unakatiwa nyama unayotaka plus utumbo...Huku dar ndio nashangaa utumbo unauzwa juu kwa juu
hii habari wakenya hawataipenda 😂😂
Hayo majengo yote siyo mali za wakunya ni mali za beberu
mbona una panic sana 😂😂 nilisema hii habari haiwezi kua nzuri kwenu au hukunielewaYou're now publicly begging Apple to come open an Apple shop in Tanzania, to sell phones designed in California and manufactured in China.
Bongolala hatari. 🤣 🤣 🤣
And I doubt Apple will invest a couple of million dollars on a store to then sell 3 phones.
Stick to your refurbished iPhones from overseas.
Hii ni ndege imetumiwa hadi na NASA, Unataka wasifu hizo zenu za uchina zile zinatumiwa na Bangladesh na Pakistan airforce. 🤣 🤣 🤣
Kariakoo mnaiwaza sn ila hamtokuja kuwa na kariakoo kwa miaka 5000 ijayoLooks like kariakoo




Hii ni ndege imetumiwa hadi na NASA, Unataka wasifu hizo zenu za uchina zile zinatumiwa na Bangladesh na Pakistan airforce.![]()
![]()
![]()
If consumption of chicken stands at 3.6% at regional level and the same percentage stands at 92% domestically, then, generally, MEAT is sacrosanct in Kenya.Kwenye ulaji daily wa kuku Tanzania ni 34% while kunyaland ni 3% halafu bado ndio most preferred meat kuliko beef, sasa tukisema kwenye beef Tanzania itakua 500% zaidi ya kunyaland
View attachment 2235703
Which specific variant? F5 ziko mingi ju Kenya inatumia F5 E/F Tiger II which is very upgraded. Bongo munatumia F7 A which is a very old variant huwezi compare F5 E Tiger which more expensive and sophisticated. Hizo zenu zinatumia old technology bana.