Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

REAL Comrade Kipepe. mzidi tu kuji console eti kenya kuna njaa. hao waturkana wachache mnao waona kwenye tv hata hawafiki lakh moja.! sasa kwenu hao ndo wanawakilisha kenya mzima katika swala la njaa. heb muulize Shebby01 kama ashawai ona dalili ya njaa kenya ukiondoa hao waturkana
 
Lies, on ground
Screenshot_20220429-095712.jpg
Screenshot_20220510-202046.jpg
JamiiForums13706022.jpg
 
Which specific variant? F5 ziko mingi ju Kenya inatumia F5 E/F Tiger II which is very upgraded. Bongo munatumia F7 A which is a very old variant huwezi compare F5 E Tiger which more expensive and sophisticated. Hizo zenu zinatumia old technology bana.

Mbona umekuwa mpole ghafla!
Nyie mlichotuzidi ni kelele mingi tu.

IMG_1800.jpg
 
Nearly every Kenyan can't afford a decent meal a day. Even with whichever shitty items affordable, still most Kenyans go to be hungry or never having had enough to eat.

Kenyans are shamefully poor and for this reason, I don't see the essence of constructing such infrastructural projects when millions die of hunger.
When was the last time a million people died of hunger anywhere in the world? Danganyikans mnakuanga wajinga sana
 
When was the last time a million people died of hunger anywhere in the world? Danganyikans mnakuanga wajinga sana
Give us the official numbers of those who died of hunger since 1980s.

Kenyans and hunger are twins - if you wanna know how hunger looks like just look at any Kenyan near you.

Akothee-raunchy.jpg


A genuine epitome of poor diet from childhood.
 
Mbona umekuwa mpole ghafla!
Nyie mlichotuzidi ni kelele mingi tu.

View attachment 2236186
Kwa vita ya Somalia VS Ethiopia, F5 E za Ethiopia ziliangusha hizi Mig 21 zenu tisa while no F5 E was shot, yani a 9 - 0 victory. Kwa Iraq vs Iran war it ended in a draw with 4 jets lost for each side. Iraq later retired all 80 F7 yani zote kabisa kwa fleet🤣 🤣 🤣 while Iran still operates their F5 E/F till date. Sasa wewe nionyeshe any war yenye hizo Mig-21 mwitu ilishinda any F5's.
 
Kwa vita ya Somalia VS Ethiopia, F5 E ziliangusha hizi Mig 21 zenu tisa while no F5 E was shot, yani a 9 - 0 victory. Kwa Iraq vs Iran war it ended in a draw with 4 jets lost for each side. Iraq later retired all 80 F7 yani zote kabisa kwa fleet while Iran still operates their F5 E/F till date.

Nyie mmetuzidi kelele tu.
Na fighter jet za 1950.
Zipelekeni museum tu.

IMG_1800.jpg

IMG_1799.jpg
 
Unataka kufananisha fighter jet za 1950 na 2010s J7G mpyaa tena upgraded!

Au ni ubishi wa kikunya unaendeleza hapa.
You can not compare fighter jet with reconnaissance capabilities na hizo Mig21 bandia kutoka China. Bado nangoja unionyeshe any victory ya hizo Chengdu over any F5'S. F5's zinapepeta hizo Mig21s kama njugu sembuse hizo mig21 bandia za China. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
You can not compare fighter jet with reconnaissance capabilities na hizo Mig21 bandia kutoka China. Bado nangoja unionyeshe any victory ya hizo Chengdu over any F5'S. F5's zinapepeta hizo Mig21s kama njugu sembuse hizo mig21 bandia za China.

Yaani hapa EA nchi zenye modern fighter jet ni Uganda na Tanzania tu.

Cheki hii aibu hapa.
Kwani ile bajeti kubwa huwa inaenda wapi!

IMG_1803.jpg
 
Yaani hapa EA nchi zenye modern fighter jet ni Uganda na Tanzania tu.

Cheki hii aibu hapa.
Kwani ile bajeti kubwa huwa inaenda wapi!

View attachment 2236262
Wewe ndio unajua kuliko fighter jet pilots. Hii hapa taarifa ingine. Bado unionyeshe victory ya hizo Chengdu aka mig21 bandia.
 
Wewe ndio unajua kuliko fighter jet pilots. Hii hapa taarifa ingine. Bado unionyeshe victory ya hizo Chengdu aka mig21 bandia.

Hivi huwa hamfanyi tafiti humu kabla ya kurukia comments za watu!
Kwa sababu ulisikia J7 ni copy ya Mig 21 basi ukadhani zinafanana kila kitu!
Mig 21 Ni Russia.
Chengdu j7 ni China.
Na hizi ni baadhi tu ya specifications.

Chengdu j7 vs Northrop F-5 vs Mig 21...jibu ni Northrop F-5 na Mig 21 ni wadogo mbele ya Mnyama Chengdu j7.

IMG_1805.jpg

IMG_1806.jpg

IMG_1807.jpg
 
Hii watalipa hata vitukuu vyenu kudadadeki,
Only 23,000 vehicles in 7 days?

View attachment 2235923

This tweet is misinformed. The 9 bn contract for enhanching the A104 is entirely different, damages done as a result of the construction of the expressway are entirely covered by the contractors. Here's CS Mucheru explaining at minute 4:17
 
Back
Top Bottom