Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Njia zipo nyingi sana, pembeni ya hyo bridge kuna selander bridge ambayo ndiyo ya kitambo. Tanzania kuna mambo mengi sana ya kushangaza.
Alafu kulikua na ulazima gani kujenga bridge ambayo iko karibu na shores. Wangejenga barabara kwenye fukwe ingeokoa pesa.
 
Time for a Walk.

IMG_7247.jpg

IMG_7248.jpg

IMG_7249.jpg

IMG_7250.jpg
 
Longest dual carriage in danganyika vs Kenya
20km vs 100 km from city [emoji23][emoji23]
Screenshot_20220517-183029.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220517-163052.jpg
    Screenshot_20220517-163052.jpg
    54.9 KB · Views: 34
Kuna mahali hapo juu nilisema sisi huwa hatuna tabia ya kuthaminisha vizuri mali zetu. Angalia GDP yetu, inaonekana ndogo lakini tunajenga Bwawa, SGR phase I, barabara na miradi mingine kwa fedha zetu.

Ukijumlisha tuu thamani magari ya Diamond (japo ni liabilty) yanafika zaidi ya $1 mil. Kampuni zake, royalties za kazi zake, brand yake, nyumba n.k jamaa anaweza kuwa na hata $100mil.

Lupita kwenye hizo filamu zake hana royalties, yeye ni mwajiriwa tuu anayelipwa mara moja kwa filamu.

1651668374260.jpg
 
You mean the total number of students who sat their national examinations in Kenya is two times the number that sat in Tanzania? 800k in Kenya against 400k in Tanzania?! Kumbe hata shule hawaendi hawa vilaza! 😂 😂 Yani hawa tumewafunika kwa kila kitu
We double them in everything, even the total number of schools we double them.

In Kenya Primary Schools were 33,000 as of 2016 while in Tz Primary schools were only 17,000 in 2018.

Secondary schools Kenya has 10,000 Tanzania has 4,800

IMG_20210106_200406_503.JPG


IMG_20210106_200323_041.JPG
 
Back
Top Bottom