Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ordinary level secondary education ni compulsory Tanzania na ni bure so hakuna mtu mwenye excuse ya kutompeleka mtoto shule kwa sababu yoyote ile

The only reason wakenya mna idadi kubwa ya wanafunzi ni kutokana na population kubwa mliyonayo kuliko Tanzania
You are one of the primary school dropouts. 🤣 🤣 🤣
 
Kuna mahali hapo juu nilisema sisi huwa hatuna tabia ya kuthaminisha vizuri mali zetu. Angalia GDP yetu, inaonekana ndogo lakini tunajenga Bwawa, SGR phase I, barabara na miradi mingine kwa fedha zetu.

Ukijumlisha tuu thamani magari ya Diamond (japo ni liabilty) yanafika zaidi ya $1 mil. Kampuni zake, royalties za kazi zake, brand yake, nyumba n.k jamaa anaweza kuwa na hata $100mil.

Lupita kwenye hizo filamu zake hana royalties, yeye ni mwajiriwa tuu anayelipwa mara moja kwa filamu.
Ni kweli kabisa magari sio asset, lakini garama yake inafika 1m usd, mfano hii ya RR cullinan tu ni dollar laki sita na ushee exclude gharama ya kusafirisha mpka Bongo na kodi juuView attachment 2227886
Wewe Chamoto na Justinr nani aliwadanganya kwamba magari sio asset? mnasema eti kwamba magari ni liability? Mnatia aibu sana aisee. Mambo ya uhasibu wacheni kama hamyawezi. Mzee wenu The best 007 aliyesomea haya mambo aje awasahihishe.
 
Slum la watu million 1
hivi, kwako hapa inakaa slums ama among prominent cities of africa.!
Screenshot_20220504-162250_Gallery.jpg
download (22).jpeg
 
Ordinary level secondary education ni compulsory Tanzania na ni bure so hakuna mtu mwenye excuse ya kutompeleka mtoto shule kwa sababu yoyote ile

The only reason wakenya mna idadi kubwa ya wanafunzi ni kutokana na population kubwa mliyonayo kuliko Tanzania
Nowonder kuna high number of primary school dropouts. Government schools ambazo munajivunia zina very poor performance. 🤣🤣🤣🤣 Yani hata ni aibu.

Image
 
Uhuru umepitiliza sasa

Oya wao wakiwa ndani ya compound ya embassy yao ujuwe wanaweza kufanya chochote watakacho na nyie hamuwezi kutia pua ndani ya hio embassy bila kibali chao. Hii ni kwa mujibu wa Vienna convention. Ujuwe compound ya embassy ya UK ndani ya Tanzania ni mali ya UK na territory ya UK na sheria za UK ndio zinatawala huko, sio sheria za TZ. Nyie hamuwezi kutia pua huko ndani eti mnakwenda kutoa hilo bendera.
 
Huyo lupita mwenyewe hataki hata kusikia upumbavu unaoitwa Kenya 😂😂😂




Miguna miguna alikuwa na machungu sana kusikia kwamba Lupita anatafutwa na Serikali ya Kenya ili kupewa nafasi ya tourism ambassador wakati yeye alitupwa nje kama mbwa. Huyu jamaa huwa anachangamsha sana.
 
Hizi ni zile Stori Sukuma gang huwa hawapendi kuzisikia..Mama kama Mama Samia.

Katoa bajeti ya Irrigation kutoka bil.46 hadi zaidi ya bil.360..,hakuna kutegemea utabiri wa kakakuona tena kwenye kilimo..

Ukisikia mapinduzi ya kilimo hiyo ndio maana yake.
👇

Screenshot_20220517-130843.png


Screenshot_20220517-130856.png


Screenshot_20220517-130801.png
 
Back
Top Bottom