Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,393
- 5,800
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji382]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji382]
Sio loan ni grantTanzanite ni loan ama sio loan?
so out of 3b wametoa 40m usd 😂😂😂 wewe vp mzee
imagine tanzanite loan ni 82% na 28% from tanzania
sasa show me nairobi expressway nini kenya imetoa kwenye huo mradi tuone 🤣🤣🤣🤣
yes sasa anioneshe nairobi express way kenya imetoa kitu gani 🤣🤣🤣🤣🤣18% from Tanzania (GoT)
Tofauti nn mbona viaduct Nairobi Express ilifungwa kwa ajili ya marathon?So bridge imefungwa watu waangalie boli, wafrika bana 🤔 🙄
tanzania imekua financed both south korea na gvt of tanzaniaTanzanite ni loan ama sio loan?
soma hii link itakufungua macho🤣🤣🤣Tanzanite ni loan ama sio loan?
najua hii habari haitakufurahisha 😂😂👇👇Tanzanite ni loan ama sio loan?
Thanks for your honesty.Sio loan ni grant
Thanks for proving my point right.
Watu mna vituko sana aisee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2228354
Hizi uniforms za trafiki wa uganda nzuri kuliko za kenya......
Ndo nshasema mimi[emoji41]
ukhekhekhekhe 3b usd na imekopea 40m usd wewe hata huoni aibu 😂😂😂😂😂 kwann uumie sasa yani 2.96b usd from gvt of tanzania and 40m usd loanThanks for proving my point right.
Sana hata namba za usajili wa magari zinaenda haraka haraka.Kama meli moja inaweza kubakisha magari 900 unaweza kuona ni jinsi Watanzania wanamiliki magari na wana pesa si mchezo.Na zingine nyingi zinakuja,Director wa TPA alisema Jana..
Msimu huu bandari ya Dar imepiga Kazi Sana kwenye magari,na Watz saizi wananunua Sana Magari
Ni kwa ajili ya mradi wa maji kutoka ziwa Victoria?Tatizo la maji Dodoma linaenda kuwa historia [emoji116]
View attachment 2228406
View attachment 2228422
Hivi jamaa Magufuli alikukosea nini mbona kila siku ni kumtaja taja tu huoni wenzako hata hawamzungumzii?Serikali ya magufala ilikua ya ujinga sana View attachment 2228427