Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Kwani hawa AfDB hawajui kwamba kagame hana maelewano na wenzake, na hii line itapita kwa kina magufuli ambako haina faida yoyote........ walisikika😝😝😝
Kwani hawa AfDB hawajui kwamba kagame hana maelewano na wenzake, na hii line itapita kwa kina magufuli ambako haina faida yoyote........ walisikika😝😝😝
Hawa wajinga wana tembo weupe wawili.. sijui lamu port na hio sgr yaoNorthern corridor imezikwa rasmi, Wakenya poleni sana mlikopa kujenga reli lkn kama kawaida elimu yenu imeonekana jinsi gani ni dhaifu mbele ya elimu ya Tz, angalia wasomi tulivyopiga hesabu zetu na mambo yamejipa, poleni sana wakunya.
Assembled in Kenya.
Sasa video hawaangalii mkuu hawana bundle.Picha haitowapa uhondo wote
Zikapakiwa kwenye meli inayotoka ulaya zen zikaletwa Tz, ona hapa zimetolewa bandarini kutoka kwenye meli ya Ulaya iliyotokea KenyaAssembled in Kenya.









Zikapakiwa kwenye meli inayotoka ulaya zen zikaletwa Tz, ona hapa zimetolewa bandarini kutoka kwenye meli ya Ulaya iliyotokea Kenya
Buses zenu mingi zinakuwa assembled in Kenya with a few imported from China.
Example of companies getting their buses from Kenya.
View attachment 2223249
View attachment 2223250
View attachment 2223251
View attachment 2223252
View attachment 2223253
View attachment 2223254
View attachment 2223255
View attachment 2223256
View attachment 2223258
These ones are minibuses, assembled in Thika, Kenya.afu nyie mnaagiza haya kutoka ulaya sio?
View attachment 2223340
Wanasiasa wetu wana kitu cha kujifunza hapa.Huyu ni inspector general wa polisi anapigwa hivyo huko Sri Lanka,
Watu wa Sri Lanka wanarusha magari za wanasiasa mtoni.
wewe kweli ni mapumpum.. hivi hauoni barabara is u/c.. kitu ki wazi kabisa.. watanganyika kweli
Tumezungukwa na wavivu...Yani sisi ni wapwekeKweli East Africa nchi zote ni wazembe aisee, yn distance ya railway line ya Tz ni kubwa kuliko distance za railway line za nchi zote za EA combined na hazifikii, tuna majirani wazembe sn aisee.


