Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ichoboy01 theme park za dar ni za watoto tu. Ndio maana hata unatupostia roller coaster na ferris wheel za watoto.🤣 🤣 🤣 Kenya kuna hizo roller coaster za watoto but I can't bother to post ju huo ni ushamba. 🤣🤣🤣

Vitu thrilling za watu wazima kama hizi huwezi pata bongo.
No photo description available.
Umeanza kuiba picha sio?
 
joto la jiwe wewe ndio ulikuwa unafungua mdomo ukisema kwamba makampuni ya ICT yanayokuja Kenya yanaajiri watu wachache. Kuna hii kampuni ya call centre na BPO inayojenga headquarters yake Kenya ndani ya Tatu city. Ujenzi utakapokamilika, wataajiri Wakenya 4,000 kufanya kazi ya call centre na BPO. Biashara hii ya BPO imeajiri watu wengi India na Phillipines.


.



 
roller coastar ya kishamba 🤣 🤣 🤣 haiwezi hata enda upside down, theme park
za bongo ni za watoto tu, hakuna thrilling adventure hapo.

Kuja uone drop tower utoe ushamba.


Funscapes Themepark - Fun for the Whole Family at the Two Rivers Mall  Nairobi - Go Places ™ Digital
roller coaster leo ni ya kishamba kwasababu hamuna 🤣🤣🤣🤣🤣

mbona ipo huku kabla yenu 😂😂👇👇👇


8504522C-681D-43FB-9B75-CA72FC138BE8.jpeg







tafuta kama hii ukipata nitag 🤣🤣
 
Huu mji unaonekana uko well planned kwenye picha ya juu kwasababu ya maghorofa. Kiuhalisia haujapangiliwa vizuri sana na sidhani kama upo practical kwa watu wa kawaida.
Hakuna mji wa Afrika uko well planned kama huu. Tuambiane ukweli. Unaona wameweka limit kwa urefu wa ghorofa. Hakuna hapo upuuzi wa maghorofa kutotoshana. Kuna uniformity ambayo huwezi kuiona katika miji za Kiafrika.
 
Back
Top Bottom