Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hili suala mama inabidi a-retaliate! kwann gas ya tanzania iwekewe import duty contrary to EAC common market principles! hawa washenzy ni wakuwafungia kama JPM alivyokuwa anafanya! Hapo ungekuta Brookside inapigwa imort duty ya kufa mtu!

CC: Tony254
Mzee baada ya Wakulima masikini wa Tanzania kupokea $0.5 billion kutoka Kenya kwa sababu ya upole wa mama, na baada ya Tanzania kupokea $.025 billion 2020 kwa sababu ya chuki za Magufuli, unatoa wapi ubavu wa kuitisha retaliation? Haya mambo ni ya kukaa chini na kuzungumza. Sasa wakulima wenu wanapokea nusu ya billion dollar kutoka Kenya halafu unaongea hivi? Huwajali wakulima wenu kabisa wewe.
 
Hawa jamaa hawaaminiki leo mnakubaliana hivi kesho wanageuka uki retaliate wanapiga kelele utawaonea huruma. Lakini hiyo yote inaonekana kuna mkubwa fulani kwenye serikali anafanya biashara hiyo hiyo ndio maana wali frustrate Rostam kuwekeza kwenye gas Kenya

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
The big problem with kunyans is inferiority complex. They fear of Tanzania all the time and all places they go think of Tanzania, it's Tanzania in their heads, it's Tanzania in their hearts, it's Tanzania in their muscles that's why even on social media Kunyans do not feel good unless they debate with Tanzanians.
 
The quality of education that is provided to these dunderheads kunyans is astonishing, how can someone be happy with high import figures revealed by his national body of statistics? Kunyans are being rejoiced in every data that puts them on top of other countries regardless whether the data potrays good or bad idea.
Sio kurejoice. Nilikuwa nawatajia statistics tu. Hakuna mahali nimesema import ni nzuri kushinda export. Nionyeshe ni wapi nimesifia imports nitoke JF. Nilikuwa nawajuza tu kwamba Kenya huwa inaimport bidhaa nyingi sana, sasa hio sio kusifia imports. Nilikuwa nawapa habari tu.
 
Mzee baada ya Wakulima masikini wa Tanzania kupokea $0.5 billion kutoka Kenya kwa sababu ya upole wa mama, na baada ya Tanzania kupokea $.025 billion 2020 kwa sababu ya chuki za Magufuli, unatoa wapi ubavu wa kuitisha retaliation? Haya mambo ni ya kukaa chini na kuzungumza. Sasa wakulima wenu wanapokea nusu ya billion dollar kutoka Kenya halafu unaongea hivi? Huwajali wakulima wenu kabisa wewe.
Vitu ambavyo mnanunua kutoka Tz ni vya lazima bila hivyo mtakufa.
 
Mzee baada ya Wakulima masikini wa Tanzania kupokea $0.5 billion kutoka Kenya kwa sababu ya upole wa mama, na baada ya Tanzania kupokea $.025 billion 2020 kwa sababu ya chuki za Magufuli, unatoa wapi ubavu wa kuitisha retaliation? Haya mambo ni ya kukaa chini na kuzungumza. Sasa wakulima wenu wanapokea nusu ya billion dollar kutoka Kenya halafu unaongea hivi? Huwajali wakulima wenu kabisa wewe.
Sema ndio hvyo tu imetokea Magu hayupo ila kama angekaa kwa miaka mingine mitano kwakweli mngeipata pata, na tulikuwa na mpango wa kumuongezea muda wa kukaa madarakani yn chamoto mngekiona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sema ndio hvyo tu imetokea Magu hayupo ila kama angekaa kwa miaka mingine mitano kwakweli mngeipata pata, na tulikuwa na mpango wa kumuongezea muda wa kukaa madarakani yn chamoto mngekiona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe kama mtu aliyesomea biashara unastahili kujua kwamba upuuzi wa kulipizana kisasi una madhara mabaya kibiashara. Hivyo visasi vya Magufuli vinawaumiza Watanzania pia hususan Wakulima wenu ambao wanavuna mazao kwa wingi ila hawana soko. Kinachofuatia ni bei ya bidhaa kushuka kwa sababu supply inaizidi demand ndani ya nchi yenu.
 
Hawa jamaa hawaaminiki leo mnakubaliana hivi kesho wanageuka uki retaliate wanapiga kelele utawaonea huruma. Lakini hiyo yote inaonekana kuna mkubwa fulani kwenye serikali anafanya biashara hiyo hiyo ndio maana wali frustrate Rostam kuwekeza kwenye gas Kenya

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wamepigwa BAO kwenye exports ndio maana.Sio hilo tuu hata kwenye clearance pale mpaka wa horohoro wanakiuka utaratibu na kusababisha msururu wa malari upande wa Tanzania..

Waziri wa Fedha amesema anaenda kutoa concern hiyo Mombasa kuna meeting wanafanya.
 
Wewe kama mtu aliyesomea biashara unastahili kujua kwamba upuuzi wa kulipizana kisasi una madhara mabaya kibiashara. Hivyo visasi vya Magufuli vinawaumiza Watanzania pia hususan Wakulima wenu ambao wanavuna mazao kwa wingi ila hawana soko. Kinachofuatia ni bei ya bidhaa kushuka kwa sababu supply inaizidi demand ndani ya nchi yenu.
Lakini mnatakiwa kuacha ushenzi.
 
Sgr ya Rwanda is loading 👇

Screenshot_20220513-141933.png


Screenshot_20220513-141451.png
 
Lakini mnatakiwa kuacha ushenzi.
Mambo haya yanastahili kusuluhishwa kupitia mazungumzo. Ushenzi ni Serikali ya Magufuli kulipiza kisasi na kusababisha Wakulima wenu kupoteza pesa. Mazungumzo yamesababisha tariffs na vikwazo zaidi ya 15 kuondolewa. Na vikwazo hivi vilikuwa vya pande zote mbili.
 
Back
Top Bottom