Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ni kama tunakubaliana kwa sababu unachosema sio tofauti sana na nilichosema. Pipeline ya EACOP lazima ifanyiwe coating hapo Tanzania na ndio maana lazima iwe imported kutumia port ya Tanzania. Lakini nilichosema ni kuwa kuna mizigo mingi sana ya Tilenga project ambayo itatumia Mombasa port na senior officer wa Total Energy alikuwa Mombasa January kumake arrangements ya importation ya hivo vifaa. Pipeline is not the only thing being imported. Bandari zote mbili zitatumika. Yenu itaimport pipelines, yetu itaimport mizigo mingine ya Tilenga, around 500,000 tonnes kama alivyosema huyo afisa wa Total EnErgy kwa hio tweet ya KPA.
Hivi kwa akili ya kawaida kabisa, Kuna sababu gani ya "project" Moja kutumia bandari mbili tofauti Kama bandari Moja inatosheleza?, ngoja tuone, lakini ninakumbuka mkataba ulisema wazi wazi kwamba bandari ya Tanga ndiyo itakua ni "dedicated port" ya huu mradi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe gas reserves ya Tanzania ni ndogo hivi? Tanzania ina 0.23 trillion cubic feet (tcf) ambayo inatarajiwa kuisha baada ya miaka miwili kulingana na hii site.

Gas Reserves in Tanzania​

See also: List of countries by Gas Reserves

Tanzania holds 0.23 trillion cubic feet (Tcf) of proven gas reserves as of 2017, ranking 82nd in the world and accounting for about 0.003% of the world's total natural gas reserves of 6,923 Tcf.

Tanzania has proven reserves equivalent to 2.1 times its annual consumption. This means it has about 2 years of gas left (at current consumption levels and excluding unproven reserves).

TANZANIA GAS RESERVES
230,000 MMcf
Global Rank: 82nd | Share of World's Gas: 0.003 %

Kulingana na hii site Mozambique ina 100 trillion cubic feet (tcf) of gas
Total is ready to invest $40B, to harvest only 0.2trl cf ya gas?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
I couldn't help but not this desperate Tanzania craving for attention from Kenyans. I love how maturely Kenyans dealt with him. These guys really are insecure towards us.

Yes, the guy was right, how can sane people embrace Tribalism in this century, killing each other just because of ethnicity?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
The best 007 nionyeshe infrastructure kama hii huko kwenu.

Geza Ulole joto la jiwe sasa kama Kenya tuna-manufacture electronic chips sasa dharau yenu kwa Kenya inatokea wapi?
tuusan utaipenda hii.
Cc Simon
Dharau inatokea pale mnaposhindwa kuchagua vipaumbele vya nchi yenu, kweli Kenya ni nchi ya kupoteza nguvu nyingi katika "Hi tech" sectors wakati hakuna "basic needs" Kama:
1)Chakula
2)Maji safi na salama
3)Amani na umoja
4)Makazi kwa wananchi
5)Huduma Bora za Afya za serikali
6)Usawa ktk umilikaji wa ardhi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Are you sure? Show me your National Surveillance, Communication and Control System or any national surveillance infrastructure
View attachment 2222213
View attachment 2222215View attachment 2222216View attachment 2222218View attachment 2222219View attachment 2222220View attachment 2222222
Kwani Tanzania tupo na shida ya usalama Kama Kenya?, Hatuna tatizo la "terror attacks" kwanini tuwekeze katika Mambo ambayo hatuhitaji?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
joto la jiwe wewe ndio ulikuwa unafungua mdomo ukisema kwamba makampuni ya ICT yanayokuja Kenya yanaajiri watu wachache. Kuna hii kampuni ya call centre na BPO inayojenga headquarters yake Kenya ndani ya Tatu city. Ujenzi utakapokamilika, wataajiri Wakenya 4,000 kufanya kazi ya call centre na BPO. Biashara hii ya BPO imeajiri watu wengi India na Phillipines.


.



Kama ni kweli, basi haya ndio makampuni ya kufurahia yanapokuja Kenya, "but this news is too good to be true, let's wait and see.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Walijisahau sana na kuona kwamba wakiwekeza miradi mikubwa mikubwa kwa Waafrika labda watanufaika sana , hasa Ulaya sasa ndio wamejua makali ya kutegemea sehemu moja kwa wenzao waliostaarabika. Wazungu nao sometimes wana wivu.
Ni kweli wako biased kwenye investment zao wanaona ni bora wawekeze kwa wazungu wenzao au kwa watu wengine wenye ngozi nyeupe hata kama hali ya amani ni hovyo lakini sio Africa. Sisi tumekuwa kama yatima na bado kwa ujinga wetu viongozi wanatuangusha sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hapa safi sana waje n Wajerumani na nchi nyingine kwenye mikataba hatutapigwa.
Kwajinsi walivyokuwa na shida ya nishati wataweka tuu mzigo kwenye LNG yetu. Halafu vile vijikelele ambavyo viko against EACOP sijavisikia hivi karibuni naona wenye wivu support toka kwa mabwana zao imekata sasa maana mabwana zao wamekabwa kende ile mbaya Mrusi nyoko sana

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Yaani ushauri atoe mmarekani, halafu financier awe mChina. Naomba mfano wa project syndicate kama hii.
Atakacho shauri Marekani nadhani ni alternative financing mechanism kwa kuonesha caveats zilizopo kwenye mikataba ya China. Ni ushauri kwa serikali tuu sio mshauri wa mradi wakati wa ujenzi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Screenshot_20220513-070531_Chrome.jpg

😁😁😁😁😁😁
 
Wewe ndio fala nani hajui BRI? Hata kabla ya hiyo BRI ya China,Tanzania tulishakuwa na mpango wa kujenga Bagamoyo Port kitambo tuu,huyo China kadandia kwa mbele na hiyo Initiative yake ya unyonyaji.

Kabla ya Bagamoyo Port , Kigamboni ilikuwa na thamani kiasi gani? Kwa hiyo China ndio atakuja kutoa hiyo $10 bln bure sio?
Kwanza financier mkubwa kwenye huu mradi wa Bagamoyo sio mchina bali ni Oman stare reserves mchina merchant group anaweka usd 600m na anaendesha mradi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe gas reserves ya Tanzania ni ndogo hivi? Tanzania ina 0.23 trillion cubic feet (tcf) ambayo inatarajiwa kuisha baada ya miaka miwili kulingana na hii site.

Gas Reserves in Tanzania​

See also: List of countries by Gas Reserves

Tanzania holds 0.23 trillion cubic feet (Tcf) of proven gas reserves as of 2017, ranking 82nd in the world and accounting for about 0.003% of the world's total natural gas reserves of 6,923 Tcf.

Tanzania has proven reserves equivalent to 2.1 times its annual consumption. This means it has about 2 years of gas left (at current consumption levels and excluding unproven reserves).

TANZANIA GAS RESERVES
230,000 MMcf
Global Rank: 82nd | Share of World's Gas: 0.003 %

Kulingana na hii site Mozambique ina 100 trillion cubic feet (tcf) of gas
Hiyo blog ya Kenya

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe gas reserves ya Tanzania ni ndogo hivi? Tanzania ina 0.23 trillion cubic feet (tcf) ambayo inatarajiwa kuisha baada ya miaka miwili kulingana na hii site.

Gas Reserves in Tanzania​

See also: List of countries by Gas Reserves

Tanzania holds 0.23 trillion cubic feet (Tcf) of proven gas reserves as of 2017, ranking 82nd in the world and accounting for about 0.003% of the world's total natural gas reserves of 6,923 Tcf.

Tanzania has proven reserves equivalent to 2.1 times its annual consumption. This means it has about 2 years of gas left (at current consumption levels and excluding unproven reserves).

TANZANIA GAS RESERVES
230,000 MMcf
Global Rank: 82nd | Share of World's Gas: 0.003 %

Kulingana na hii site Mozambique ina 100 trillion cubic feet (tcf) of gas
Wacha kufedheheka mzee makubaliano ya over $30 bln yanaenda kusainiwa mwezi huu! Yaani kule Uganda tumewafinyilia mbali EACOP! SGR u r a shell of urself huku election violence is winking at ur sight!
 
Hivi kwa akili ya kawaida kabisa, Kuna sababu gani ya "project" Moja kutumia bandari mbili tofauti Kama bandari Moja inatosheleza?, ngoja tuone, lakini ninakumbuka mkataba ulisema wazi wazi kwamba bandari ya Tanga ndiyo itakua ni "dedicated port" ya huu mradi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa kati yako na mkurugenzi wa Total Energy ambaye amesema Total itatumia Mombasa port kwa baadhi ya mizigo yake nani anajua zaidi? Usijifanye mjuaji hata kushinda Total energy yenyewe.
 
Total is ready to invest $40B, to harvest only 0.2trl cf ya gas?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Total haijatia saini mkataba wowote na Tanzania kuhusu ujenzi wa lng plant. Sababu kubwa ni kwamba reserve ya gesi yenu ni ndogo sana. Ndio maana wote wametorokea Mozambique ambao wana 100 tcf wakati nyie mna 0.3 tcf tu.
 
Back
Top Bottom