Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,111
Yap ata huo mkataba wa lng unaokuja wauweke wazi bungeni ukafanye nn wazee wa yes no tu waleNdio maana nikasema wauweke wazi ili utazamwe upya kama kuna vipengele cha unyonyaji viondolewe. Ingekuwa vizuri zaidi kama wangeupelek bungeni ujadiliwe.
From ur media BusinessDaily!
MY TAKE
Preparing the Mombasa port to receive cargo and receiving the crude oil pipes cargo r two different things! All the pipes will need to be coated before being allowed to be used in the pipeline construction and the only coating facility in East and central Africa is in Nzega in Tabora region of Tanzania!
Nzega district in Tabora region
![]()
Mama icing the cake with Museveni!
Nimekuelewa mkuu. Hapa ni viongozi kuwa makini. Ndio maana huko nyuma nikasema unakuta wazungu wanakuja na mikataba ambayo haina unyonyaji lakini wakifika hapa wanabadilishwa mawazo 10% zinahitajika kwa wawekezaji. Ili mambo yaende sawa wanapindisha baadhi ya vipengele na kujikuta tumeshaumia.Mkuu ingawa mm na wewe tunatofautiana kimawazo kwenye ili swala ila siku zote nchi yoyote ikiwa na vingozi makini na wanaojali maslahi ya wananchi wao hakuna haja ya washahuri, wote hao mmarekani na mchina kila mmoja anavutia kwake cha muhimu ni viongozi wetu kuwa makini
Mbona Mfaransa amesema atakuwepo na sijaona akipingwa. Huyo Mangungu aliingizwa Chaka na nani kama siyo mshauri wake, kwa kipindi hiki tunaweza kusema ni wanasheria wetu wa sasa hivi wanavyotukaanga na mafuta yetu wenyewe.Kwa hiyo Mmarekani tu ndo anaweza kukuepusha na kinachotokea Sri Lanka? Kuna consultancy ngapi zipo duniani zinaweza kukuepusha na mikataba ya Kimangungu?
Itisha ng'ombe zote za jayden zipambane na JF.ng'ombe za South huwa hazipo vizuri kwenye ICT.
Kumbe gas reserves ya Tanzania ni ndogo hivi? Tanzania ina 0.23 trillion cubic feet (tcf) ambayo inatarajiwa kuisha baada ya miaka miwili kulingana na hii site.Yap ata huo mkataba wa lng unaokuja wauweke wazi bungeni ukafanye nn wazee wa yes no tu wale
Mzeee mimi sibishi kwa ajili ya kubisha ila Mmarekani sumu! Diamonds na madini ya DRC huuzwa in the US! Sasa hawezi leo kutushauri ati Mchina mbaya wakati tunajua hapo Djibouti anagombea bases! Hii maneno inahitaji upeo mkubwa!Mbona Mfaransa amesema atakuwepo na sijaona akipingwa. Huyo Mangungu aliingizwa Chaka na nani kama siyo mshauri wake, kwa kipindi hiki tunaweza kusema ni wanasheria wetu wa sasa hivi wanavyotukaanga na mafuta yetu wenyewe.
Mtazamo wangu ulikuwa ni kwamba mchina asibaki peke yake ikibidi Mmarekani kuwepo au kuwekeza ni sawa.Kama mchina na Mmarekani wote wana interest za kinyonyaji huu mradi hauna maana kwetu.
Mchina anakuja kwetu kuwekeza akiondoka anatuachia mabox eti nyumba, mbona wazungu huwa wanafanya vitu vizuri tu.
Tunawacheka Wakenya na express way yao nani kajenga,ni mzungu huyo au mchina. Hapa Afrika mchina amejenga nchi gani, na ni kampuni zipi zinaongoza kuvunja mikataba na kufurushwa.
Nigeria waliwahi kurudisha meli nzima ikiwa na wafanyakazi wa kichina baada ya kuja na vibarua wao wakiwa na lengo la kufanya kazi ambazo zingefanywa na wazawa.
Mtazamo wangu upo katika mlengo huu.
Hapa napo mkuu kuna shida sana.Hii nchi sijui tunatokaje hapa.Yap ata huo mkataba wa lng unaokuja wauweke wazi bungeni ukafanye nn wazee wa yes no tu wale
Ukitaka kuwa maskini basi shabikia hao wapuuzi wa Russia/ China/N.Korea 😄😄😄😄Kabisa. Uchumi wa Ujerumani umejengwa na US,ebu angalia Eastern Europe ni nchi gani iko vizuri sana kiuchumi zaidi ya Germany? Zile zote ambazo zilikuwa na Soviet uchumi wao uliyumba na ndio maana hawataki kubaki na Russia wanataka kujiunga na nchi ambazo ziko na Mmarekani.
Russia alishatoa msaada baada ya anguko lake miaka ya 90? Hata huko nyuma ulikuwa ni msaada wa silaha tu na siyo pesa kwa ajili ya kujenga uchumi.
Basi sawa tujipe muda tuone itakuwaje. Hili la DRC linajulikana kila mahali,sehemu yoyote inaweza kutokea kama nchi itakosa uzalendo na umakini katika mikataba inayoingia.Mzeee mimi sibishi kwa ajili ya kubisha ila Mmarekani sumu! Diamonds na madini ya DRC huuzwa in the US! Sasa hawezi leo kutushauri ati Mchina mbaya wakati tunajua hapo Djibouti anagombea bases! Hii maneno inahitaji upeo mkubwa!
Halafu wote wako kundi moja. Halafu karibia wote wana vikwazo vya uchumi. Bora Tanzania ambavyo hatukupiga kura hii vita ya Ukraine na Russia kwa hali tuliyonayo ebu fikiria tupigwe sanctions itakuwaje?Ukitaka kuwa maskini basi shabikia hao wapuuzi wa Russia/ China/N.Korea [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Utaskia wakikataa boldly, no shame hata..ng'ombe za South huwa hazipo vizuri kwenye ICT.
www.google.com