The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Wewe ndio fala nani hajui BRI? Hata kabla ya hiyo BRI ya China,Tanzania tulishakuwa na mpango wa kujenga Bagamoyo Port kitambo tuu,huyo China kadandia kwa mbele na hiyo Initiative yake ya unyonyaji.Jua BRI ni nini kwanza halafu ujiulize location ya the US kama mradi wa Bagamoyo port ni strategic kwake! halafu wacha upumbavu wa kikenge! Yaani the US aje ajenge $10 bln port indian ocean badala ya Atlantic ocean! halafu stop what u r smoking! wacha upumbavu wa kikenge!
Kabla ya Bagamoyo Port , Kigamboni ilikuwa na thamani kiasi gani? Kwa hiyo China ndio atakuja kutoa hiyo $10 bln bure sio?
Attention