Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe punguza jazba. Mimi sio mjinga unavyofikiri. Hizi pipelines ni za EACOP, hizi sio pipelines na vifaa vya Tilenga na Kingfisher. Kuna miradi mitatu ndani ya Uganda. Kuna sehemu ndogo ya EACOP ambayo ipo ndani ya Uganda na pipeline zote za EACOP zinafanyiwa coating Tanzania kisha baadhi ya hizo pipeline zinakuwa transported to Uganda. Sasa cha kushangaza nini hapo?

Upande mwingine kuna miradi ya KIngfisher na Tilenga ambazo ni separate projects na vifaa vya hizi miradi tayari hata sasa hivi tunavyozungumza zinakuwa imported kutumia Mombasa port. Ujenzi wa Tilenga unaanza kisha Kingfisher utafuatia baadaye.


Sasa kwani ubaya uko wapi kama nanyie mtaambulia angalau kidogo? Unataka kituambukiza roho mbaya kama mliyo nayo!!??
Maana umemwaga povu siyo utani!!
🤣 😀
 
Battle jana ilikuwa kati ya bullet train ya Senegal, ya Morocco na ya Tanzania. Sisi hatujawahi kusema kwamba tuna bullet train. Nyie huwa mnaringa kwamba mna bullet train.

Utopolo SGR.
😝 🤣 😁
 
tangu lini Mmarekani akatoa ushauri kwa mradi wa Mchina halafu tukaona matokeo mazuri! Wakati mwingine common sense iwe ndani yetu! Mama awe makini hapa!

Yaani ushauri atoe mmarekani, halafu financier awe mChina. Naomba mfano wa project syndicate kama hii.
 
Wacha nikufundishe kitu kidogo tu kama utaniruhusu. Reli kutoka Indian Ocean hadi Atlantic ocean kupitia DR Congo haiwezi kujengwa na hata ikijengwa, haiwezi kutumika sana kwa sababu kiuchumi safari kutumia maji ni much cheaper ikilinganishwa na safari ya kutumia reli. Kiuchumi kuna hii step ladder ya costs inayohusu different modes of transport. The cheapest mode of transport ni pipeline transport (lakini tatizo ni kuwa bidhaa nyingi haziwezi kusafirishwa kutumia pipeline) ikifuatiwa na water transport, ikifuatiwa na rail transport, ikifuatiwa na road transport, ikifuatiwa na air transport. Kwa hivyo siku zote kutumia Suez Canal ni cheaper kushinda kutumia reli.

Kama Suez Canal itafungwa kwa sababu moja au nyingine basi kuzunguka kusini mwa Afrika kupitia cape of good hope na kupanda juu kuelekea Nigeria kisha kuzunguka maeneo ya Morocco kisha kuingia Europe bado ni cheaper kushinda kutumia reli. Wanabiashara wanaoshughulika na logistics wanachozingatia zaidi ni cost of transportation. Wachumi kazi yao ni kucalculate na kuadvice hizi kampuni watumie mode gani ya transport ili kupunguza cost of transportation. Reli itatumika tu ikiwa option ya kutumia usafiri wa maji haupo.
Na hapa ndipo nilikuwa na mashaka ukizingatia uchumi wa nchi zetu hizi.Kwa somo lako nakushukuru asante sana.Bila shaka viongozi wataliona hili otherwise wana mtazamo wao wa tofauti na hiki ulichokisema.
 
Me nassuport waje watoe ushauri ikibidi hata wafanye uwekezeji wachina wanatuchezea sana. Tangu mwanzo Mmarekani alishasem wachina wanawaingiza mkenge Waafrika kwenye mikataba hivyo wawe wanaiweka wazi.
Wachina hawaaminiki maana wameleta sokomoko Zambia na Sri Lanka kiasi kwamba nao Zambia wameamua ku side na America 👇

Screenshot_20220512-185525.png
 
Yaani ushauri atoe mmarekani, halafu financier awe mChina. Naomba mfano wa project syndicate kama hii.
Hivi reli ya Isaka to Mwanza iko asilimia ngapi na kwa muda gani? Me hawa jamaa huwa siwaamini wasiposimamiwa wanalete majanga hawa watu, anagali kule Srilanka kinachoendelea.Mikataba yao inatakiwa kuwekwa wazi.

Wanapenda kutengenea vitu cheap and locally.
 
Wachina hawaaminiki maana wameleta sokomoko Zambia na Sri Lanka kiasi kwamba nao Zambia wameamua ku side na America

View attachment 2221893
Kabisa mkuu.Hawaaminiki hawa watu hata miradi yao mpaka mpigiane nao kelele. Angalia Yerp Mackenzie na Straberg mjerumani wapo vizuri ni nadra kusikia miradi kusuasua hadi wapigiwe kelele au wafanyakazi wao wakilalamika either mishahara yao au kunyanyasa wafanyakazi wao.
 
Wachina hawaaminiki maana wameleta sokomoko Zambia na Sri Lanka kiasi kwamba nao Zambia wameamua ku side na America 👇

View attachment 2221893
hapo ndo undumilakuwili huanza kuamini the USA wana genuine intentions nasi! Jaribuni kujua BRI kwanza ni nini na opposition ya muamerika kwenye hili! Inaelekea nyie mkipewa nafasi za uongozi mtavurunda sana kwa kukosa upeo! Mmarekani hajawahi kutaka silk road ijengwe hata siku moja!
 
hapo ndo undumilakuwili huanza kuamini the USA wana genuine intentions nasi! Jaribuni kujua BRI kwanza ni nini na opposition ya too muamerika kwenye hili! Inaelekea nyie mkipewa nafasi za uongozi mtavurunda sana kwa kukosa upeo! Mmarekani hajawahi kutaka silk road ijengwe hata siku moja!
Inatosha kabisa akijenga yeye badala ya China..

Kipindi cha JK ,US alikuwa mshirika mkubwa wa Tanzania hapa Africa baada ya Egypt na Ethiopia but Sie Tanzania Tulikuwa ndio target yao kuu..

MCC ilikuwa inatoa pesa nyingi sana Tanzania kuliko Nchi yeyote,Tulikuwa na mradi wa Feed the Future,Power Africa,Agra nk,ndio hapo tuliona mpango wa Ujenzi Kigamboni nk ..

Unadhani kama Mwendazake asingevuruga mahusiano na US na Ulaya tungekuwa wapi leo?

Sijawahi na sitowahi kuwa upande wa Chi a na Russia kwa sababu sipendi Siasa zao za kishenzi..

Kwa hiyo Zambia sio mjinga
 
hapo ndo undumilakuwili huanza kuamini the USA wana genuine intentions nasi! Jaribuni kujua BRI kwanza ni nini na opposition ya muamerika kwenye hili! Inaelekea nyie mkipewa nafasi za uongozi mtavurunda sana kwa kukosa upeo! Mmarekani hajawahi kutaka silk road ijengwe hata siku moja!
Ila misaada yake akitoa tunapokea kwa mikono miwili na bado tunamdenda denda atusaidie zaidi hapo ndio tuna upeo siyo? Huyo mchina alishawahi kutupatia msaada gani wa zaidi,kabla ya royal tour si alikuwa anatangaza utalii wetu kwenye vyombo vyake vya habari, imeleta impact gani kwetu.?

Ninachokiona hapa wewe una chuki binafsi na Mmarekani.
 
Ila misaada yake akitoa tunapokea kwa mikono miwili na bado tunamdenda denda atusaidie zaidi hapo ndio tuna upeo siyo? Huyo mchina alishawahi kutupatia msaada gani wa zaidi,kabla ya royal tour si alikuwa anatangaza utalii wetu kwenye vyombo vyake vya habari, imeleta impact gani kwetu.?

Ninachokiona hapa wewe una chuki binafsi na Mmarekani.
kwahiyo kwa akili yako fupi huoni upinzani wa Mmarekani dhidi ya BRI? Na mbona asijenge yake aje kushauri dhidi ya mradi wa Mchina? Yaani tumruhusu Mmrekani kuingilia miradi mikubwa ya Mchina katika Bagamoyo port kisa Royal Tour! Upeo wako mdogo sana! Sijui hata kiwango cha elimu yako!
 
Ila misaada yake akitoa tunapokea kwa mikono miwili na bado tunamdenda denda atusaidie zaidi hapo ndio tuna upeo siyo? Huyo mchina alishawahi kutupatia msaada gani wa zaidi,kabla ya royal tour si alikuwa anatangaza utalii wetu kwenye vyombo vyake vya habari, imeleta impact gani kwetu.?

Ninachokiona hapa wewe una chuki binafsi na Mmarekani.
Umempatia,huyo ni Pro China/Russia kwa hiyo hamtaelewana...

Hao Wachina zaidi ya kuwa matapeli Wana nini cha maana wanafanya hapa Tanzania?

Hawajawahi fadhili hata mradi wa reli toka walipojengaga reli ya Tazara Ili kuwafikisha Nchi za Kusini Mwa Africa kunyonya rasilimali..

Umeme wa US ndio unawaka Kigoma,Barabara za US ndio zimefungua Rukwa na Ruvuma achilia mbali miradi mingine mingi ya size ya Kati..
 
kwahiyo kwa akili yako fupi huoni upinzani wa Mmarekani dhidi ya RBI? Na mbona asijenge yake aje kushauri dhidi ya mradi wa Mchina?
Sio upinzani wewe tumbili Mzee bali ana offer mbadala wake kwa sababu za geopolitics something which is good..

Nchi zote zilizo ji associate na US ziliendelea kama South Korea,Japan,Ulaya nk kinyume na China ambae ni tapeli na anaingiza wenzie mkenge.
 
Inatosha kabisa akijenga yeye badala ya China..

Kipindi cha JK ,US alikuwa mshirika mkubwa wa Tanzania hapa Africa baada ya Egypt na Ethiopia but Sie Tanzania Tulikuwa ndio target yao kuu..

MCC ilikuwa inatoa pesa nyingi sana Tanzania kuliko Nchi yeyote,Tulikuwa na mradi wa Feed the Future,Power Africa,Agra nk,ndio hapo tuliona mpango wa Ujenzi Kigamboni nk ..

Unadhani kama Mwendazake asingevuruga mahusiano na US na Ulaya tungekuwa wapi leo?

Sijawahi na sitowahi kuwa upande wa Chi a na Russia kwa sababu sipendi Siasa zao za kishenzi..

Kwa hiyo Zambia sio mjinga
Jua BRI ni nini kwanza halafu ujiulize location ya the US kama mradi wa Bagamoyo port ni strategic kwake! halafu wacha upumbavu wa kikenge! Yaani the US aje ajenge $10 bln port indian ocean badala ya Atlantic ocean! halafu stop what u r smoking! wacha upumbavu wa kikenge!
 
Me nassuport waje watoe ushauri ikibidi hata wafanye uwekezeji wachina wanatuchezea sana. Tangu mwanzo Mmarekani alishasem wachina wanawaingiza mkenge Waafrika kwenye mikataba hivyo wawe wanaiweka wazi.
Tatizo sio wachina tatizo ni viongozi wetu jpm sio mjinga kuukata ule mkataba wa kwanza akati kikwete alikua ashatia kalamu
 
Back
Top Bottom