Marekani anakumbuka shuka kumeshakucha hata Europeans ndio wanashtuka sasa na kuanza kutafuta energy supplies na madini from Africa.tangu lini Mmarekani akatoa ushauri kwa mradi wa Mchina halafu tukaona matokeo mazuri! Wakati mwingine common sense iwe ndani yetu! Mama awe makini hapa!
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
