Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi mombasa hakuna bandari au imefungwa
shp.JPG
 
Meanwhile
Safaricom saw its net profit (excluding Ethiopia) rebound to pre-Covid-19 levels, growing by 12.2 per cent to Sh77 billion in the full year ended December 2021.

The telco’s mobile money platform M-Pesa continued to be the firm’s cash cow earning Sh107.7billion during the year.

Biggest company in this region by far
 
Huwa unajitoa akili kuchangamsha genge au uko serious? Unabisha usichokijua. Brt wanahana hapo Jangwani wanahamia Ubungo ambapo zamani ilikuwa central bus station ambayo imehamia Mbezi(Magufuli terminal).
Btw masika hii Jangwani hapajajaa maji,wamechimba MTO Msimbazi
Muache ajifurahishe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu alipewa mabehewa ya Mizigo tu kwenye SGR.hizo behewa za MGR sijui contract but for SGR mkataba uliotangazwa ni Behewa za mizigo
Naafikiana na wewe nakumbuka hadi wafanyabiashara wakubwa walishirikishwa kwa ajili ya kutoa input zao kwa ajili ya kujua demand ili mabehewa hayo yanayotengenezwa yaendane na soko!!Hakukuwa na coaches hapa!Juu ya MGR hata mimi sijui.
 
Back
Top Bottom