Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Mombasa,
Nitajie nchi yoyote maskini ambayo ina export zaidi kwa nchi tajiri kuliko ku import toka kwa hiyo nchi tajiri.How is this related to poverty in Tanzania?
Just because your exports increased doesn't mean a lot bongolala. It only means that you are now exporting more than you used to export before. Ndio maana neno "grow" limetumika hapo. Try and understand the contents you are posting here.
Lastly, can you name for me just five consumable products from Tanzania zinazojaza shelves zetu as you say?
According to mama ngina, alafu kuna mkunya mwenzio kaileta nyingine kama hyo msha edit mmeweka eti nyie mbwa mnaiwaza USA










So hii huitakiThis is the same place that is flooded and mudy bongolala. Unafikiri hatuna macho? Aren't these brt buses? View attachment 2220781











Ulivyo na wivu plus roho mbaya umeshindwa hata ku like mbwa wewe wkt vitu vyote nilivyoweka humo nyie hamnaAre you showing me rail tracks???![]()
![]()
![]()








Unamtafuta ugomvi ngoja aje


Bongo hakuna upinzani kuna wachumia tumbo tu, hata pale CCM kuna malaya wengi sana, wakipewa uteuzi wanaanza mapambio, wakitolewa wanaponda. Kama tungelikuwa na upinzani makini hakuna kipindi CCM ingepata shida kama 2025 but unfortunately hakuna jipya.Geza Ulole, huyu ndiye aliyekua anapita na begi lililojaa kura kipindi cha uchaguzi 2020 na kusema kwamba amekamata kura za wizi, na kudai kwamba uchaguzi haukua halali na kwamba uchaguzi ule ulikua ni uhuni wa CCM, bahati mbaya wengi waliamini maneno yake.
Leo hii anadai kura zilizopigwa na baraza kuu la CHADEMA pia ni uhuni kwasababu maamuzi yanamuumiza yeye, huo ndio upinzani wa Africa ulivyo
Tony254
The best 007
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Imepigwa punch za hatari na mpk ss wamebaki kuugulia maumivuHivi mombasa hakuna bandari au imefungwaView attachment 2221328




😁😁😁😁😁umeona usafiri wa nchi yenye gdp kubwa
Mtu mwenye uwezo wa kupika chakula tofauti anakula milo 3 anacheka kwamba ana njaa na anaona ni sawa na wale wa kwao ambao hawana hata kitu cha kupika mpaka wanakufia kwenye hema hata maji ya kunywa walikosa.
Hawezi kuja, jana alichezea punch moja hatari akakimbiaUnamtafuta ugomvi ngoja aje![]()









Wacha bhn, ndiyo pamekuwa hivi?




Ila wao wanatutengenezea mabasi makali wanayapakia kwenye meli inayotoka ulaya na kuyaleta Tzumeona usafiri wa nchi yenye gdp kubwa








Hii reli Hakuna nchi Afrika inaweza kuingiza pua kushindana kwa viwango bora labda morocco tuWe boya, Japan hakuna uswazi
Mkenya ukimsikia akiongea utafikiri anamiliki vyote vizuri kwao dawa ni kwenda nao ground🤣🤣🤣🤣🤣Mtu mwenye uwezo wa kupika chakula tofauti anakula milo 3 anacheka kwamba ana njaa na anaona ni sawa na wale wa kwao ambao hawana hata kitu cha kupika mpaka wanakufia kwenye hema hata maji ya kunywa walikosa.
Serikali yao haijigusi, haisikitiki kwa hali wanayopitia wananchi wake, haina mshipa wa aibu wanasingizia ukame. Nini maana serikali kama haiumizi kichwa wala kuumizwa na wananchi wake kufa njaa?
Serikali haina mfuko wa dharula wa chakula, wawakilishi wao wanawasemeaje huko Bungeni.? Hawa wakenya wana roho mbaya na ya kinyama sana yaani wanamuacha mtu anajifia kama mnyama bandani mwake kisa amekosa chakula kweli??
🤣🤣🤣🤣🤣akili ya mikunya wanaijua wenyewe🤣🤣🤣Ila wao wanatutengenezea mabasi makali wanayapakia kwenye meli inayotoka ulaya na kuyaleta TzView attachment 2221451