Wewe ni mpumbavu na mshamba Sana,kwa hiyo kipimo cha thamani ya Rais ni kuonana na Biden?
Bila shaka aliyekuwa na hamu ya kuonana na Samia ni Kamala kwa sababu mwenzie ni Rais na mkuu wa Nchi mwenye amri zote ila Kamala hana hiyo status..
Samia alienda US specifically kwa ajili ya Royal tour,kuonana na wafanyabiashara wa US,state visit aliyoalikwa na Kamala na kukutana na Wakuu wa IMF/ WB,hao wengine ndio waliomba kuonana na Rais kwa sababu zao kadha wa kadha na kwakuwa Rais wetu sio limbukeni na mnyanyua mabega akakubari kuwasikiliza...
Sasa yupi Bora Kati ya aliyekuwa anapiga simu clouds kwenye vipindi vya umbeya na Samia anaekutana na Watu muhimu kwenye sekta mbalimbali?



Matunda ya ziara ni haya hapa
View attachment 2198797
View attachment 2198798
View attachment 2198799
View attachment 2198800
View attachment 2198801
View attachment 2198802
View attachment 2198803
View attachment 2198804