Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rostam ana biashara nyingi sana tz na nje ya nchi juzijuzi hapa kauza shares zake vodacom kachukua kama usd 460m na bado kanunua tigo na zantel huyu ni dollar billionaire hata mzee bhakresa ni dollar billionaire pia
By the way Jay Z, Kanye West na Rihanna wote ni dollar billionaires na walitangazwa na forbes kuwa dollar billionaires. Forbes isipokutangaza kuwa dollar billionaire basi hakuna anayekutambua kama dollar billionaire.
 
Maana yake nini kwamba mna watu wawili ambao mmoja tayari ni dollar billionaire na mwingine amekaribia kuwa dollar billionaire ndani ya uchumi wa $71 billion ilhali Ivory coast ambayo ina uchumi almost sawia na yenu haina dollar billionaire. Ethiopia ambayo uchumi wake ni mkubwa kushinda wenu haina dollar billionaire. Kenya ambayo uchumi wake ni mkubwa kushinda wenu haina dollar billionaire. Iweje nyie na uchumi wenu mdogo muwe na dollar billionaire wawili? Hio inaonyesha wealth disparity kubwa ndani uchumi wenu. Mna uchumi mdogo lakini watu wawili tayari ni dollar billionaire hio ni ishara mbaya sana. Kwanza ukizingatia kwamba mna dollar millionaires wachache kushinda Kenya. Hao watu wawili ndio wanaomiliki property nyingi Tanzania. Halafu huwa mnasema Kenya inamilikiwa na watu wachache. Na nyie je mbona hamjiangalii?
Sio wawili bali ni 3 Rostam, Mo and Bhakressa halafu uchumi wa Tanzania ni the most diversified and inclusive than any economy in east africa
 
Huyu Rostam sio dollar billionaire. Nyie mna dollar billionaire mmoja tu kwa jina Mo.
Hujui kusoma au? Kwa hiyo unabishana na Forbes au? Hiyo article ni ya lini? Tzn sio level yenu.Soma hiyooo 👇

Screenshot_20220427-184050.png
 
Boss as long as Forbes haimtambui kama dollar billionaire wewe ni nani ulazimishe kwamba yeye ni dollar billionaire? Duniani kote kama Forbes haikutambui kama dollar billionaire basi wewe sio dollar billionaire. Usilazimishe mambo. Ila amekaribia kufika, maybe soon forbes itamtambua.
Forbes ipi ambayo haimtambui? Soma vizuri hapa chini 👇

Screenshot_20220427-184050.png
 
nimedaka ingine...!!, tofaut ya kiswahili cha kikenya na bongo...... eti

"Usiguze" kenya

vs

"Usiguse" bongo"

The best 007 na Sama boy 255 , heb msije mkanicheka tena, jua kiswahili inatofautiana kwa kiasi. so before u laugh, criticise and correct... please please do research first. who said tz ksw is always correct.!? kiswahili started at the kenyan coast afterall..
Embu define "guze" to me tucheke kidogo, maana neno gusa ni verb na maana yake ni touch.
 
Najua vizuri sana kwamba huyu Rostam kuna wakati forbes ilimtambua kama dollar billionaire ila sijui janga gani lilimkuta akafilisika sana na kurudi kuwa dollar centi-millionaire. Kwa sasa yeye sio dollar billionaire, usilazimishe.
Juzi kanunua Tigo ndio kwanza kaongeza utajiri wake na Sasa bila shaka atakuwa kavuka maana ka strike dili huko Kenya .
 
Juzi kanunua Tigo ndio kwanza kaongeza utajiri wake na Sasa bila shaka atakuwa kavuka maana ka strike dili huko Kenya .
Kuna ule wakati mama alikuja Kenya, huyu Rostam alikuwa kwenye msafara wa mama. Rostam alipopewa fursa ya kuongea, alilia sana kwa uchungu mwingi kwamba Kenya imemfungia nje na imekataa kumruhusu kujenga kiwanda cha gas Kenya. Nadhani tangu hio siku serikali ya Kenya ikaamua kumruhusu kuinvest Kenya. Hii yote ni matunda ya mama. Yule mzee roho mbaya kama bado angekuwa madarakani basi Kenya na Tanzania bado tungekuwa tunafungiana border na kuchomeana vifaranga.
 
the widest road tanzania ever have, kimara-kibaha highway 6lanes.! only.!View attachment 2202457


kisumu nyamasaria highway, 8lanes.!View attachment 2202475View attachment 2202474



nakuru section58 highway 10lanes.!View attachment 2202461View attachment 2202464



kericho moi highway 6lanes.!View attachment 2202463View attachment 2202462
Kwaiyo ww unamletea utoto wako nani hapaa?ivi huo ujinga mtacha lini wa kunya unaenda kuscreen shot outlet ya flyover ndio uhesab lines alfu kama macho yako ni kipofu ntakutafutia spock ya moto nitoboe usione kabisa ...kwaiyo izo line mbili huoni kabisa apo centre?
 
Back
Top Bottom