Keep quiet cause we control your economy.
View attachment 2198816
Acha masihara, Kwenye hio list kenya haina faida yoyote kwa uchumi wa Tanzania sana sana ni mnufaika wa uchumi wa Tanzania , tukiyumba kenya ameyumba.
Nionyeshe sekta gani ya Muhimu kenya amewekeza mpaka unasema “we control your economy “
Hio list imewekwa kuonyesha kenya ni miongoni Lakini sio muhimu.
Sekta muhimu za uchumi wa Tanzania
Utalii, Madini , gesi na mafuta , ujenzi , viwanda, kilimo , mawasiliano, huduma za mabenki na bima
Nitajie kampuni yoyote ya kenya iliyofanya uwekezaji mkubwa na kushika kwa asilimia kubwa sekta yoyote 👆🏿.
Sana sana kenya ni mnufaika wa uchumi wa Tanzania .
Wakipatikani wateja wa kitanzania wakawekeza ela zao Kwenye benki zenu munanufaika uongo kweli ??
Mukinunua mbogamboga na matunda kwa Bei Chee ya kutupa mukapeleka nai mukafunga Kwenye box na kuandika made in Kenya na kuchuma euro na dola munanufaika uongo kweli ??
Mtalii mutamuambia Njoo kenya uone Mlima kili munanufaika uongo kweli ??
Mukitorosha Tanzanite mukauza nai na kwingineko munanufaika uongo kweli ?
Kwahio Hakuna kiongozi wa kenya atapenda kuikorofisha Tanzania .
Tanzania ni Muhimu kistratejia Katika ukanda Huu.
Hio list kenya imewekwa kama jirani kudumisha ujirani lakini yote kwa yote tungeweza kupata mwekezaji yoyote wa kununua kiwanda cha mgololo au kulima chai .
Nikupe siri moja , zao lolote linalolimwa Tanzania iwe ni kahawa, chai , parachichi , kakao , mchele nk ladha yake ni ubora wa kipekee nayo ni faida kubwa Kwenye soko la dunia Bei inakuwa kubwa.