Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Parking lot hii mbona empty hv
Hapo ni saa nane ya usiku watu wengi wamo nyumbani. Wachawi, malaya, watchman na madereva wa lorry ndio wanatembea usiku. Lakini unaona jinsi taa imewaka mbele hadi mwisho utadhani ni Dubai?
 
Naunga mkono hoja na kuwapongeza Wakenya kwa kuchukua upande kuliko wanafiki wengine 👇

Screenshot_20220427-111614.png
 
Wakenya umeisha uko kwani
Kenya hakuna mgao wa umeme. Ila kwenu upo na ulitangazwa na Tanesco wazi wazi. By the way sisi tunaweza kuwauzia umeme kwa maana sisi tuna surplus. Tatizo ni kwamba ujenzi wa nyaya za umeme zinazounganisha KE na TZ bado haujakamilika.


 
Hapo ni saa nane ya usiku watu wengi wamo nyumbani. Wachawi, malaya, watchman na madereva wa lorry ndio wanatembea usiku. Lakini unaona jinsi taa imewaka mbele hadi mwisho utadhani ni Dubai?
Siwezi shangaa taa hata dar zipo kibao
 
Hii sio Thika super highway. Neno super halitumiki kwenye hii barabara. Halafu upande mmoja wa barabara bado unajengwa sasa unataka markings zitoke wapi?
Kuelimisha vilaza ni kazi ngumu mno, haswa mtanzania aliekata kauli kuamini fikra zake, itakua unapigia mbuzi guitar, can't dance to your 'tune' (fact) 😂 😂 😂 😂 ..,
 
Mwaka wa 1970, gdp ya USA ilikuwa thuluthi moja (1/3) ya gdp ya dunia nzima. Gdp ya China ilikuwa 2.7% ya gdp ya dunia nzima.




In 1970, the U.S. accounted for the largest share of global GDP, making up nearly one-third of the world economy. The table below shows the top 10 economies in 1970.

RankCountryGDP (1970)Share of Global GDP
#1
🇺🇸
United States
$1.1T31.4 %
#2☭ USSR$433B12.7 %
#3
🇩🇪
Germany
$216B6.3 %
#4
🇯🇵
Japan
$213B6.2 %
#5
🇫🇷
France
$148B4.3 %
#6
🇬🇧
UK
$131B3.8 %
#7
🇮🇹
Italy
$113B3.3 %
#8
🇨🇳
China
$93B2.7 %
#9
🇨🇦
Canada
$89B2.6 %
#10
🇮🇳
India
$62B1.8 %
 
Hapo ni saa nane ya usiku watu wengi wamo nyumbani. Wachawi, malaya, watchman na madereva wa lorry ndio wanatembea usiku. Lakini unaona jinsi taa imewaka mbele hadi mwisho utadhani ni Dubai?
Mbona Tabora streets zao zina lami standard hata Nairobi haina na zote ni full lighting at night?

 
Mwaka wa 2020, gdp ya USA imeshuka hadi 24.5% na gdp ya China imepanda hadi 17% ya gdp ya dunia. Gdp ya nchi hizi mbili ni zaidi ya 40% ya gdp ya dunia.

In 2020, the United States continued to hold onto the number one spot among the world’s largest economies. However, Japan’s slowdown created a rare opportunity for a new powerhouse to emerge: China.

RankCountry/AreaGDP (2020)Share of Global GDP
#1
🇺🇸
United States
$20.9T24.5 %
#2
🇨🇳
China
$14.7T17.3 %
#3
🇯🇵
Japan
$5.1T5.9 %
#4
🇩🇪
Germany
$3.8T4.5 %
#5
🇬🇧
UK
$2.8T3.2 %
#6
🇮🇳
India
$2.7T3.1 %
#7
🇫🇷
France
$2.6T3.1 %
#8
🇮🇹
Italy
$1.9T2.2 %
#9
🇨🇦
Canada
$1.6T1.9 %
#10
🇰🇷
South Korea
$1.6T1.9 %
 
slimming drugs ndo ilimuwaste huyu mtoto wema sepetu. ata sahizi akinipea, staki

B88CFD7C-1F4C-4914-BB45-D91380C1D389.jpeg
 
Back
Top Bottom