Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_16509906889078747.jpeg
 
Tanzania no.2 kwa international tourists arrival in Africa just behind South Africa by Business Insiders..

Hizi ndio sekta Tzn inafaa kukomaa nazo badala ya kuhangaika na supermarket na mall👇

View attachment 2201951

View attachment 2201952
Sasa unapost mavi hapa kisha unasherehekea. Business Insider sio watu wa kuaminiwa. Mbona Kenya haipo kwenye list? Mbona Seychelles iliopokea 200,000 tourists iko kwenye list ila Kenya iliopokea revenue nyingi from tourism kuwashinda haipo kwenye list? Usiwe unapost 💩💩 humu. Tourism sector ya Kenya imezidi yenu.
1651031225196.png


1651031183132.png
 
Sasa unapost mavi hapa kisha unasherehekea. Business Insider sio watu wa kuaminiwa. Mbona Kenya haipo kwenye list? Mbona Seychelles iliopokea 200,000 tourists iko kwenye list ila Kenya iliopokea revenue nyingi from tourism kuwashinda haipo kwenye list? Usiwe unapost humu. Tourism sector ya Kenya imezidi yenu.
View attachment 2201986

View attachment 2201985
Hivi Tanzania na Kenya ipi imepokea watalii wengi mwaka Jana?.

Sasa unasema business insider haiaminiki, wewe unatumia "pulse" Kama "source", Sasa Kati ya hizo mbili kipi ni chanzo chenye kuaminika zaidi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Yeah meaning it's a totally different system devolution Kila county Ina Bunge yake governor ndiye kama president deputy governor wako Na senator Na MCA's wa Kila ward to attend the Bunge
Kwahiyo kwasababu Kenya Local government Kuna bunge, lazima nchi zote zifuate mfumo huo, nje ya hapo sio devolution?.

Jiulize Kama ulishawahi kuona nchi mbili zilizoungana zikawa na serikali 2 badala ya serikali Moja au serikali 3. Tanzania ni nchi pekee yenye serikali 2 baada ya kuunganisha nchi 2. Sio lazima kila kitu lazima kuiga nchi zingine


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
vikwazo vimegonga mwamba
Tony254
It is just a matter of time rouble ita collapse at the moment serikali ya urusi inatumia reserves zake zilizobaki nchini kununua rouble lakini reserve za ndani zinaelekea kupungua na zilizokuwa nje hawana access nazo sasa every week wanatumia USD 50bn to prop up the rouble what you see now is artificial correction ya trend ya rouble.
 
It is just a matter of time rouble ita collapse at the moment serikali ya urusi inatumia reserves zake zilizobaki nchini kununua rouble lakini reserve za ndani zinaelekea kupungua na zilizokuwa nje hawana access nazo sasa every week wanatumia USD 50bn tu prop up the rouble what you see now is artificial correct ya trend ya rouble.
Boss sidhani India wananunua mafuta in euro au roubles kutoka Russia same to China i think ndio inagain more power sanasana yuan
 
Back
Top Bottom